-
Marko 1:11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 Sauti ikasikika kutoka mbinguni ikisema: “Wewe ni Mwanangu, mpendwa; nimekukubali.”+
-
-
Yohana 1:32-34Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
32 Yohana pia alitoa ushahidi akisema: “Niliona roho ikishuka kama njiwa kutoka mbinguni, nayo ikakaa juu yake.+ 33 Hata mimi sikumjua, bali Yule aliyenituma nikabatize katika maji aliniambia: ‘Yeyote ambaye utaona roho ikishuka na kukaa juu yake,+ huyo ndiye anayebatiza kwa roho takatifu.’+ 34 Mimi nimeona, nami nimetoa ushahidi kwamba huyo ndiye Mwana wa Mungu.”+
-