-
Mathayo 1:21-23Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
21 Atamzaa mwana, nawe utamwita jina Yesu,*+ kwa maana atawaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao.”+ 22 Kwa kweli, yote hayo yalitukia ili kutimiza maneno haya yaliyosemwa na Yehova* kupitia nabii wake: 23 “Tazama! Bikira atapata mimba naye atazaa mwana, nao watamwita jina Imanueli,”+ ambalo linapotafsiriwa linamaanisha, “Mungu Yuko Pamoja Nasi.”+
-