Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 1:21-23
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 21 Atamzaa mwana, nawe utamwita jina Yesu,*+ kwa maana atawaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao.”+ 22 Kwa kweli, yote hayo yalitukia ili kutimiza maneno haya yaliyosemwa na Yehova* kupitia nabii wake: 23 “Tazama! Bikira atapata mimba naye atazaa mwana, nao watamwita jina Imanueli,”+ ambalo linapotafsiriwa linamaanisha, “Mungu Yuko Pamoja Nasi.”+

  • Luka 2:21
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 21 Baada ya siku nane, wakati ulipofika wa kumtahiri,+ wakampa jina Yesu, jina alilopewa na malaika kabla ya Maria kupata mimba.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki