Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 3:11
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 11 Mimi ninawabatiza kwa maji kwa sababu mmetubu,+ lakini yule anayekuja baada yangu ana nguvu kuliko mimi, nami sistahili kuvivua viatu vyake.+ Yeye atawabatiza ninyi kwa roho takatifu+ na kwa moto.+

  • Matendo 1:5
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 5 kwa maana Yohana, kwa kweli, alibatiza kwa maji, lakini ninyi mtabatizwa kwa roho takatifu+ baada ya siku chache.”

  • Matendo 10:45
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 45 Nao waamini* waliotahiriwa ambao walikuwa wamekuja pamoja na Petro wakashangaa, kwa sababu zawadi ya bure ya roho takatifu ilikuwa ikimiminwa pia juu ya watu wa mataifa.

  • Matendo 19:5, 6
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 5 Waliposikia hivyo, wakabatizwa katika jina la Bwana Yesu. 6 Paulo alipoweka mikono juu yao, wakapokea roho takatifu,+ nao wakaanza kuzungumza kwa lugha za kigeni na kutoa unabii.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki