13 Hata hivyo, malaika akamwambia: “Usiogope, Zekaria, kwa sababu dua yako imesikiwa vema, na mke wako Elisabeti atakuzalia mwana, nawe utamwita Yohana.+
17 Pia, atamtangulia kwa roho na nguvu za Eliya,+ ili kurudisha mioyo ya akina baba kwa watoto+ na wale wasiotii kwenye hekima ya waadilifu, na kumwandalia Yehova* watu waliotayarishwa.”+