Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 15:7, 8
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 7 “Ikiwa mmoja wa ndugu zenu atakuwa maskini miongoni mwenu katika mojawapo ya majiji yaliyo katika nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa, msiifanye mioyo yenu iwe migumu au kumfumbia mkono ndugu yenu maskini.+ 8 Kwa maana mnapaswa kumfumbulia mkono wenu kwa ukarimu+ na kufanya yote mwezayo kumkopesha* chochote anachohitaji au alichopungukiwa.

  • Mathayo 25:35, 36
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • Luka 3:11
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 11 Akawajibu: “Mtu aliye na mavazi mawili* ampe vazi moja yule ambaye hana, na aliye na chakula afanye vivyo hivyo.”+

  • Waroma 12:13
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1 Timotheo 5:4
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 4 Lakini ikiwa mjane yeyote ana watoto au wajukuu, wanapaswa kwanza kujifunza ujitoaji-kimungu* katika nyumba zao wenyewe+ na kuwalipa wazazi wao na wazazi wa wazazi wao kinachowastahili,+ kwa maana hilo linakubalika machoni pa Mungu.+

  • Yakobo 1:27
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1 Yohana 3:17
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki