Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 1:21
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 21 Atamzaa mwana, nawe utamwita jina Yesu,*+ kwa maana atawaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao.”+

  • Yohana 3:17
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 17 Kwa maana Mungu hakumtuma Mwanawe ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe kupitia kwake.+

  • Yohana 12:47
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 47 Lakini ikiwa yeyote anasikia maneno yangu na hayashiki, simhukumu; kwa maana sikuja kuuhukumu ulimwengu, bali kuuokoa.+

  • Matendo 5:31
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 31 Mungu alimwinua huyo kuwa Wakili Mkuu+ na Mwokozi+ kwenye mkono wake wa kuume,+ ili kuwapa Israeli toba na msamaha wa dhambi zao.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki