Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 105
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Matendo ya uaminifu ya Yehova kuelekea watu wake

        • Mungu anakumbuka agano lake (8-10)

        • “Msiwaguse watiwa-mafuta wangu” (15)

        • Yosefu aliye utumwani atumiwa na Mungu (17-22)

        • Miujiza ya Mungu nchini Misri (23-36)

        • Waisraeli watoka Misri (37-39)

        • Mungu akumbuka agano alilofanya pamoja na Abrahamu (42)

Zaburi 105:1

Marejeo

  • +Zb 136:1
  • +1Nya 16:8-13; Zb 96:3; 145:11, 12; Isa 12:4

Zaburi 105:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mpigieni muziki.”

  • *

    Au labda, “Zungumzieni.”

Marejeo

  • +Zb 77:12; 119:27

Zaburi 105:3

Marejeo

  • +Yer 9:24
  • +Zb 119:2

Zaburi 105:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “uwepo.”

Marejeo

  • +Amo 5:4; Sef 2:3

Zaburi 105:5

Marejeo

  • +Kum 7:18, 19

Zaburi 105:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wazao wa.” Tnn., “mbegu ya.”

Marejeo

  • +Kut 3:6
  • +Kut 19:5, 6; Isa 41:8

Zaburi 105:7

Marejeo

  • +Kut 20:2; Zb 100:3
  • +1Nya 16:14-18; Isa 26:9; Ufu 15:4

Zaburi 105:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Neno aliloamuru.”

Marejeo

  • +Ne 1:5
  • +Kum 7:9; Lu 1:72, 73

Zaburi 105:9

Marejeo

  • +Mwa 17:1, 2; 22:15-18
  • +Mwa 26:3

Zaburi 105:11

Marejeo

  • +Mwa 12:7; 13:14, 15; 15:18; 26:3; 28:13
  • +Zb 78:55

Zaburi 105:12

Marejeo

  • +Mwa 34:30
  • +Mwa 17:8; 23:4; 1Nya 16:19-22; Mdo 7:4, 5

Zaburi 105:13

Marejeo

  • +Mwa 20:1; 46:6

Zaburi 105:14

Marejeo

  • +Mwa 31:7, 42
  • +Mwa 12:17; 20:2, 3

Zaburi 105:15

Marejeo

  • +Mwa 26:9, 11

Zaburi 105:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Aliuvunja kila ufito wa mikate.” Labda ni fito zilizotumiwa kuhifadhia mikate.

Marejeo

  • +Mwa 41:30, 54; 42:5; Mdo 7:11

Zaburi 105:17

Marejeo

  • +Mwa 37:28, 36; 45:4, 5; 50:20

Zaburi 105:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Waliitesa.”

  • *

    Au “Nafsi yake iliingia katika chuma.”

Marejeo

  • +Mwa 39:20

Zaburi 105:19

Marejeo

  • +Mdo 7:10

Zaburi 105:20

Marejeo

  • +Mwa 41:14

Zaburi 105:21

Marejeo

  • +Mwa 41:39-41, 48; 45:8

Zaburi 105:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Ili awafunge.”

  • *

    Au “kama nafsi ilivyotaka.”

Marejeo

  • +Mwa 41:33, 38

Zaburi 105:23

Marejeo

  • +Mwa 46:4, 6

Zaburi 105:24

Marejeo

  • +Kut 1:7; Mdo 7:17
  • +Kut 1:8, 9

Zaburi 105:25

Marejeo

  • +Kut 1:10; Mdo 7:18, 19

Zaburi 105:26

Marejeo

  • +Kut 3:10; 4:12; 6:11
  • +Kut 4:14; 7:1

Zaburi 105:27

Marejeo

  • +Ne 9:10; Zb 78:43-51

Zaburi 105:28

Marejeo

  • +Kut 10:22, 23

Zaburi 105:29

Marejeo

  • +Kut 7:20, 21

Zaburi 105:30

Marejeo

  • +Kut 8:6

Zaburi 105:31

Maelezo ya Chini

  • *

    Aina ya mbu anayeitwa hak·kin·namʹ katika Kiebrania.

Marejeo

  • +Kut 8:17, 24

Zaburi 105:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “miali ya moto.”

Marejeo

  • +Kut 9:23-26

Zaburi 105:34

Marejeo

  • +Kut 10:13-15

Zaburi 105:36

Marejeo

  • +Kut 12:29

Zaburi 105:37

Marejeo

  • +Mwa 15:13, 14; Kut 3:22; 12:35, 36

Zaburi 105:38

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “hofu yao.”

Marejeo

  • +Kut 12:33

Zaburi 105:39

Marejeo

  • +Kut 14:19, 20
  • +Kut 13:21

Zaburi 105:40

Marejeo

  • +Zb 78:27
  • +Kut 16:12-15; Zb 78:24

Zaburi 105:41

Marejeo

  • +Kut 17:6; 1Ko 10:1, 4
  • +Zb 78:15, 16

Zaburi 105:42

Marejeo

  • +Mwa 12:7; 15:13, 14; Kut 2:24; Kum 9:5

Zaburi 105:43

Marejeo

  • +Hes 33:3

Zaburi 105:44

Marejeo

  • +Yos 11:23; 21:43; Ne 9:22; Zb 78:55; Mdo 13:19
  • +Kum 6:10, 11; Yos 5:11, 12

Zaburi 105:45

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Haleluya!” “Yah” ni ufupisho wa jina Yehova.

Marejeo

  • +Kum 4:40

Jumla

Zab. 105:1Zb 136:1
Zab. 105:11Nya 16:8-13; Zb 96:3; 145:11, 12; Isa 12:4
Zab. 105:2Zb 77:12; 119:27
Zab. 105:3Yer 9:24
Zab. 105:3Zb 119:2
Zab. 105:4Amo 5:4; Sef 2:3
Zab. 105:5Kum 7:18, 19
Zab. 105:6Kut 3:6
Zab. 105:6Kut 19:5, 6; Isa 41:8
Zab. 105:7Kut 20:2; Zb 100:3
Zab. 105:71Nya 16:14-18; Isa 26:9; Ufu 15:4
Zab. 105:8Ne 1:5
Zab. 105:8Kum 7:9; Lu 1:72, 73
Zab. 105:9Mwa 17:1, 2; 22:15-18
Zab. 105:9Mwa 26:3
Zab. 105:11Mwa 12:7; 13:14, 15; 15:18; 26:3; 28:13
Zab. 105:11Zb 78:55
Zab. 105:12Mwa 34:30
Zab. 105:12Mwa 17:8; 23:4; 1Nya 16:19-22; Mdo 7:4, 5
Zab. 105:13Mwa 20:1; 46:6
Zab. 105:14Mwa 31:7, 42
Zab. 105:14Mwa 12:17; 20:2, 3
Zab. 105:15Mwa 26:9, 11
Zab. 105:16Mwa 41:30, 54; 42:5; Mdo 7:11
Zab. 105:17Mwa 37:28, 36; 45:4, 5; 50:20
Zab. 105:18Mwa 39:20
Zab. 105:19Mdo 7:10
Zab. 105:20Mwa 41:14
Zab. 105:21Mwa 41:39-41, 48; 45:8
Zab. 105:22Mwa 41:33, 38
Zab. 105:23Mwa 46:4, 6
Zab. 105:24Kut 1:7; Mdo 7:17
Zab. 105:24Kut 1:8, 9
Zab. 105:25Kut 1:10; Mdo 7:18, 19
Zab. 105:26Kut 3:10; 4:12; 6:11
Zab. 105:26Kut 4:14; 7:1
Zab. 105:27Ne 9:10; Zb 78:43-51
Zab. 105:28Kut 10:22, 23
Zab. 105:29Kut 7:20, 21
Zab. 105:30Kut 8:6
Zab. 105:31Kut 8:17, 24
Zab. 105:32Kut 9:23-26
Zab. 105:34Kut 10:13-15
Zab. 105:36Kut 12:29
Zab. 105:37Mwa 15:13, 14; Kut 3:22; 12:35, 36
Zab. 105:38Kut 12:33
Zab. 105:39Kut 14:19, 20
Zab. 105:39Kut 13:21
Zab. 105:40Zb 78:27
Zab. 105:40Kut 16:12-15; Zb 78:24
Zab. 105:41Kut 17:6; 1Ko 10:1, 4
Zab. 105:41Zb 78:15, 16
Zab. 105:42Mwa 12:7; 15:13, 14; Kut 2:24; Kum 9:5
Zab. 105:43Hes 33:3
Zab. 105:44Yos 11:23; 21:43; Ne 9:22; Zb 78:55; Mdo 13:19
Zab. 105:44Kum 6:10, 11; Yos 5:11, 12
Zab. 105:45Kum 4:40
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 105:1-45

Zaburi

105 Mshukuruni Yehova,+ liitieni jina lake,

Yajulisheni mataifa matendo yake!+

 2 Mwimbieni, mwimbieni sifa,*

Tafakarini* kazi zake zote zinazostaajabisha.+

 3 Jivunieni jina lake takatifu.+

Mioyo ya wale wanaomtafuta Yehova na ishangilie.+

 4 Mtafuteni Yehova+ na nguvu zake.

Utafuteni uso* wake daima.

 5 Kumbukeni kazi zinazostaajabisha alizofanya,

Miujiza yake na hukumu alizotangaza,+

 6 Enyi uzao wa* Abrahamu mtumishi wake,+

Enyi wana wa Yakobo, watu wake aliowachagua.+

 7 Yeye ni Yehova Mungu wetu.+

Hukumu zake ziko duniani kote.+

 8 Anakumbuka agano lake milele,+

Ahadi aliyotoa,* hata kufikia vizazi elfu,+

 9 Agano alilofanya na Abrahamu,+

Na kiapo alichomwapia Isaka,+

10 Alichotoa kama amri kwa Yakobo

Na kama agano la kudumu kwa Israeli,

11 Akisema, “Nitakupa nchi ya Kanaani+

Kuwa urithi wako uliogawiwa.”+

12 Wakati walipokuwa wachache,+

Naam, wachache sana, nao walikuwa wageni nchini.+

13 Walitembeatembea kutoka taifa moja hadi taifa lingine,

Kutoka ufalme mmoja hadi ufalme mwingine.+

14 Hakumruhusu mtu yeyote awakandamize,+

Lakini kwa sababu yao aliwakaripia wafalme,+

15 Akisema, “Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,

Wala msiwatendee manabii wangu jambo lolote baya.”+

16 Alileta njaa kali nchini;+

Alifanya wakose mikate.*

17 Alimtuma mtu awatangulie

Ambaye aliuzwa kuwa mtumwa, Yosefu.+

18 Waliifunga* miguu yake kwa pingu,+

Shingo yake ilitiwa katika vyuma;*

19 Mpaka wakati ambapo neno lake lilitimia,+

Neno la Yehova ndilo lililomsafisha.

20 Mfalme aliamuru afunguliwe,+

Mtawala wa mataifa akamweka huru.

21 Akamweka kuwa bwana mkubwa wa nyumba yake,

Mtawala wa mali zake zote,+

22 Ili awe na mamlaka juu ya* wakuu wake kama alivyopenda*

Na kuwafundisha wazee wake hekima.+

23 Kisha Israeli akaja Misri,+

Na Yakobo akakaa akiwa mgeni katika nchi ya Hamu.

24 Mungu aliwafanya watu wake waongezeke sana;+

Aliwafanya wawe na nguvu kuliko maadui wao,+

25 Akaruhusu mioyo yao ibadilike ili wawachukie watu wake,

Ili wapange njama dhidi ya watumishi wake.+

26 Alimtuma Musa mtumishi wake,+

Na Haruni,+ aliyekuwa amemchagua.

27 Walifanya ishara zake kati yao,

Miujiza yake katika nchi ya Hamu.+

28 Alilituma giza na nchi ikawa giza;+

Hawakuasi maneno yake.

29 Alibadili maji yao yakawa damu

Na kuwaua samaki wao.+

30 Nchi yao ikajaa vyura,+

Hata katika vyumba vya mfalme.

31 Aliagiza nzi wavamie

Na mbu* katika maeneo yao yote.+

32 Aliibadili mvua yao ikawa mvua ya mawe

Naye akatuma radi* katika nchi yao.+

33 Aliipiga mizabibu yao na mitini yao

Na kuivunjavunja miti ya eneo lao.

34 Aliagiza nzige wavamie,

Nzige wachanga wasio na idadi.+

35 Walikula kabisa mimea yote nchini,

Nao wakala kabisa mazao ya ardhi.

36 Kisha akamuua kila mzaliwa wa kwanza katika nchi yao,+

Mwanzo wa nguvu zao za uzazi.

37 Aliwatoa nje watu wake wakiwa na fedha na dhahabu;+

Na hakuna yeyote katika makabila yake aliyejikwaa.

38 Misri ilishangilia walipoondoka,

Kwa maana hofu ya Israeli* ilikuwa imewashika.+

39 Alitandaza wingu ili liwafunike+

Na moto uangaze wakati wa usiku.+

40 Waliomba, naye akaleta kware;+

Aliendelea kuwashibisha mkate kutoka mbinguni.+

41 Alifungua mwamba, maji yakatiririka kutoka humo;+

Maji hayo yalitiririka jangwani kama mto.+

42 Kwa maana aliikumbuka ahadi takatifu aliyompa Abrahamu mtumishi wake.+

43 Kwa hiyo akawatoa watu wake wakishangilia,+

Watu wake aliowachagua aliwatoa kwa kilio cha shangwe.

44 Aliwapa nchi za mataifa;+

Walirithi vitu ambavyo mataifa mengine yalikuwa yametaabika kuvipata,+

45 Ili waweze kutii maagizo yake+

Na kushika sheria zake.

Msifuni Yah!*

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki