Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Methali—Yaliyomo

      • Kusudi la methali (1-7)

      • Hatari za marafiki wabaya (8-19)

      • Hekima ya kweli hupaza sauti hadharani (20-33)

Methali 1:1

Marejeo

  • +1Fa 4:29, 32; Mhu 12:9
  • +2Sa 12:24
  • +1Fa 2:12

Methali 1:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ajue.”

Marejeo

  • +Met 8:11

Methali 1:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “jambo lililo la haki.”

  • *

    Au “kutokuwa na ubaguzi.”

Marejeo

  • +Met 3:11, 12
  • +Ebr 12:11
  • +1Fa 3:28

Methali 1:4

Marejeo

  • +Met 15:5
  • +Met 2:11; 3:21; 8:12

Methali 1:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mwongozo wenye hekima.”

Marejeo

  • +Met 9:9
  • +1Sa 25:32, 33; Met 24:6

Methali 1:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mfano.”

Marejeo

  • +Mhu 12:11

Methali 1:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Kumheshimu.”

Marejeo

  • +Ayu 28:28; Met 9:10
  • +Met 5:12, 13; 18:2

Methali 1:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “usiiache sheria.”

Marejeo

  • +Kum 6:6, 7; Efe 6:4; Ebr 12:9
  • +Law 19:3; Met 31:26; 2Ti 1:5

Methali 1:9

Marejeo

  • +Met 4:7, 9
  • +Met 3:21, 22

Methali 1:10

Marejeo

  • +Mwa 39:7, 8; Kum 13:6-8

Methali 1:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

Methali 1:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Liweke fungu lako pamoja na letu.”

  • *

    Au “tutakuwa na mfuko mmoja (kibeti kimoja).”

Methali 1:15

Marejeo

  • +Met 4:14; 13:20; 1Ko 15:33

Methali 1:16

Marejeo

  • +Met 6:16-18; Ro 3:15

Methali 1:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “waangamize nafsi za.”

Methali 1:19

Marejeo

  • +Met 15:27

Methali 1:20

Marejeo

  • +Ro 16:27; 1Ko 1:20; Yak 3:17
  • +Mt 10:27
  • +Met 8:1-3; 9:1, 3

Methali 1:21

Marejeo

  • +Yoh 18:20; Mdo 20:20

Methali 1:22

Marejeo

  • +Met 5:12, 13; Yoh 3:20

Methali 1:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Geukeni ninapowakaripia.”

Marejeo

  • +Zb 141:5; Ufu 3:19
  • +Isa 54:13

Methali 1:24

Marejeo

  • +Isa 65:12

Methali 1:26

Marejeo

  • +Amu 10:13, 14

Methali 1:28

Marejeo

  • +Omb 3:44

Methali 1:29

Marejeo

  • +Ho. 4:6
  • +Amu 5:8

Methali 1:31

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “watakula matunda.”

  • *

    Au “njama zao; mipango yao.”

Marejeo

  • +Yer 6:19; Gal 6:7

Methali 1:33

Marejeo

  • +Isa 48:18
  • +2Fa 6:15, 16; Isa 26:3; 2Pe 2:9

Jumla

Met. 1:11Fa 4:29, 32; Mhu 12:9
Met. 1:12Sa 12:24
Met. 1:11Fa 2:12
Met. 1:2Met 8:11
Met. 1:3Met 3:11, 12
Met. 1:3Ebr 12:11
Met. 1:31Fa 3:28
Met. 1:4Met 15:5
Met. 1:4Met 2:11; 3:21; 8:12
Met. 1:51Sa 25:32, 33; Met 24:6
Met. 1:5Met 9:9
Met. 1:6Mhu 12:11
Met. 1:7Ayu 28:28; Met 9:10
Met. 1:7Met 5:12, 13; 18:2
Met. 1:8Kum 6:6, 7; Efe 6:4; Ebr 12:9
Met. 1:8Law 19:3; Met 31:26; 2Ti 1:5
Met. 1:9Met 4:7, 9
Met. 1:9Met 3:21, 22
Met. 1:10Mwa 39:7, 8; Kum 13:6-8
Met. 1:15Met 4:14; 13:20; 1Ko 15:33
Met. 1:16Met 6:16-18; Ro 3:15
Met. 1:19Met 15:27
Met. 1:20Ro 16:27; 1Ko 1:20; Yak 3:17
Met. 1:20Mt 10:27
Met. 1:20Met 8:1-3; 9:1, 3
Met. 1:21Yoh 18:20; Mdo 20:20
Met. 1:22Met 5:12, 13; Yoh 3:20
Met. 1:23Zb 141:5; Ufu 3:19
Met. 1:23Isa 54:13
Met. 1:24Isa 65:12
Met. 1:26Amu 10:13, 14
Met. 1:28Omb 3:44
Met. 1:29Ho. 4:6
Met. 1:29Amu 5:8
Met. 1:31Yer 6:19; Gal 6:7
Met. 1:33Isa 48:18
Met. 1:332Fa 6:15, 16; Isa 26:3; 2Pe 2:9
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Methali 1:1-33

Methali

1 Methali za Sulemani+ mwana wa Daudi,+ mfalme wa Israeli:+

 2 Ili mtu ajifunze* hekima+ na nidhamu;

Ili aelewe maneno ya hekima;

 3 Ili apate nidhamu+ inayoleta ufahamu,

Uadilifu,+ busara,*+ na unyoofu;*

 4 Ili kumfanya mjinga awe mwerevu;+

Ili kumpa kijana ujuzi na uwezo wa kufikiri.+

 5 Mtu mwenye hekima husikiliza na kujifunza zaidi;+

Mtu mwenye uelewaji hupata mwelekezo stadi*+

 6 Ili kuelewa methali na fumbo,*

Maneno ya wenye hekima na vitendawili vyao.+

 7 Kumwogopa* Yehova ndio mwanzo wa ujuzi.+

Ni wapumbavu tu wanaodharau hekima na nidhamu.+

 8 Mwanangu, sikiliza nidhamu ya baba yako,+

Wala usiyaache mafundisho* ya mama yako.+

 9 Ni shada linalovutia kwenye kichwa chako+

Na pambo maridadi shingoni mwako.+

10 Mwanangu, watenda dhambi wakijaribu kukushawishi, usikubali.+

11 Wakisema: “Njoo twende.

Acha tuvizie ili kumwaga damu.

Tutajificha na kuwashambulia bila sababu watu wasio na hatia.

12 Tutawameza wakiwa hai kama Kaburi* linavyomeza,

Wazima-wazima, kama wale wanaoshuka shimoni.

13 Na tunyakue mali zao zote zenye thamani;

Nyumba zetu tutazijaza nyara.

14 Unapaswa kujiunga nasi,*

Nasi sote tutagawana sawasawa vitu tunavyoiba.”*

15 Mwanangu, usiwafuate.

Iepushe miguu yako na njia yao.+

16 Kwa maana miguu yao hukimbilia kutenda uovu;

Wanaenda haraka kumwaga damu.+

17 Kwa kweli ni kazi bure kutandaza wavu huku ndege akitazama.

18 Ndio sababu wanavizia ili kumwaga damu;

Wanajificha ili wawaue* wengine.

19 Hizo ndizo njia za wale wanaotafuta faida isiyo ya haki,

Ambayo itawaangamiza wale wanaoipata.+

20 Hekima ya kweli+ hupaza sauti kubwa barabarani.+

Huendelea kuinua sauti yake katika viwanja vya jiji.+

21 Hupaza sauti kwenye makutano ya barabara zenye watu wengi.

Nayo husema hivi kwenye malango ya jiji:+

22 “Ninyi wajinga mtaendelea kuupenda ujinga mpaka lini?

Nanyi wadhihaki mtaendelea kufurahia dhihaka mpaka lini?

Nanyi wapumbavu mtaendelea kuchukia ujuzi mpaka lini?+

23 Sikilizeni karipio langu.*+

Ndipo nitakapowamiminia roho yangu;

Nitawajulisha maneno yangu.+

24 Kwa sababu niliwaita, lakini mkaendelea kukataa,

Niliunyoosha mkono wangu, lakini hakuna yeyote aliyejali,+

25 Mliendelea kupuuza ushauri wangu wote

Na kukataa karipio langu,

26 Mimi pia nitawacheka mtakapopatwa na msiba;

Nitawadhihaki jambo mnaloogopa litakapokuja,+

27 Jambo mnaloogopa litakapokuja kama dhoruba,

Na msiba wenu utakapofika kama upepo wa dhoruba,

Wakati dhiki na taabu zitakapowapata.

28 Wakati huo wataendelea kuniita, lakini sitajibu;

Watanitafuta kwa bidii, lakini hawatanipata,+

29 Kwa sababu walichukia ujuzi,+

Nao hawakuchagua kumwogopa Yehova.+

30 Walikataa ushauri wangu;

Waliyadharau makaripio yangu yote.

31 Basi watapata matokeo* ya njia yao,+

Nao watashiba kabisa mashauri yao* wenyewe.

32 Kwa maana upotovu wa wajinga utawaua,

Na kutojali kwa wapumbavu kutawaangamiza.

33 Lakini yule anayenisikiliza ataishi kwa usalama+

Naye hatahangaishwa na woga wa msiba.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki