Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Petro 3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Petro—Yaliyomo

      • Wake na waume (1-7)

      • Iweni na hisia-mwenzi; tafuteni amani (8-12)

      • Kuteseka kwa ajili ya uadilifu (13-22)

        • Muwe tayari kutetea tumaini lenu (15)

        • Ubatizo na dhamiri njema (21)

1 Petro 3:1

Marejeo

  • +Ro 7:2; 1Ko 11:3; Efe 5:22
  • +1Ko 7:16

1 Petro 3:2

Marejeo

  • +1Pe 2:12

1 Petro 3:3

Marejeo

  • +Met 11:22

1 Petro 3:4

Marejeo

  • +Efe 4:24; Kol 3:10, 12; 1Ti 2:9, 10

1 Petro 3:6

Marejeo

  • +Mwa 18:12; Efe 5:33
  • +Met 3:25; Flp 1:28

1 Petro 3:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mkiwafikiria na kuwajali; kuwaelewa.”

Marejeo

  • +Efe 5:25
  • +Gal 3:28

1 Petro 3:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kwa umoja wa akili.”

Marejeo

  • +1Ko 1:10; Flp 2:2
  • +Ro 12:10
  • +Ro 15:5; Kol 3:12

1 Petro 3:9

Marejeo

  • +Ro 12:17; 1Th 5:15
  • +1Pe 2:23
  • +Ro 12:14; 1Ko 4:12

1 Petro 3:10

Marejeo

  • +Yak 3:8

1 Petro 3:11

Marejeo

  • +Met 8:13
  • +3Yo 11
  • +1Th 5:13; Yak 3:17

1 Petro 3:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +1Yo 3:22
  • +Zb 34:12-16

1 Petro 3:13

Marejeo

  • +Ro 13:3, 4

1 Petro 3:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “msiogope vitisho vyao.”

Marejeo

  • +Mt 5:11, 12; Mdo 5:41; 1Pe 2:19
  • +Mt 10:28

1 Petro 3:15

Marejeo

  • +Met 15:1; 2Ti 2:24, 25; Tit 3:1, 2
  • +Kol 4:6

1 Petro 3:16

Marejeo

  • +Mdo 23:1; 24:16; 1Ti 1:5, 18, 19; 3:9
  • +Tit 2:8
  • +Ro 12:21; 1Pe 2:12

1 Petro 3:17

Marejeo

  • +2Ko 1:7; Kol 1:24
  • +1Pe 4:15

1 Petro 3:18

Marejeo

  • +Ebr 9:28
  • +Ro 5:6
  • +2Ko 5:18
  • +1Ko 15:50
  • +1Ti 3:16

1 Petro 3:19

Marejeo

  • +2Pe 2:4; Yud 6

1 Petro 3:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “subira ya Mungu ilikuwa ikingoja.”

  • *

    Au “watu wanane.”

Marejeo

  • +Mwa 6:2, 3
  • +Mwa 6:14
  • +Mwa 7:13, 23

1 Petro 3:21

Marejeo

  • +Ebr 9:14; 10:22

1 Petro 3:22

Marejeo

  • +Zb 110:1; Mdo 7:55; Ebr 10:12
  • +Mt 28:18; 1Ko 15:25; Efe 1:20, 21; Flp 2:9, 10; Ebr 1:6

Jumla

1 Pet. 3:1Ro 7:2; 1Ko 11:3; Efe 5:22
1 Pet. 3:11Ko 7:16
1 Pet. 3:21Pe 2:12
1 Pet. 3:3Met 11:22
1 Pet. 3:4Efe 4:24; Kol 3:10, 12; 1Ti 2:9, 10
1 Pet. 3:6Mwa 18:12; Efe 5:33
1 Pet. 3:6Met 3:25; Flp 1:28
1 Pet. 3:7Efe 5:25
1 Pet. 3:7Gal 3:28
1 Pet. 3:81Ko 1:10; Flp 2:2
1 Pet. 3:8Ro 12:10
1 Pet. 3:8Ro 15:5; Kol 3:12
1 Pet. 3:9Ro 12:17; 1Th 5:15
1 Pet. 3:91Pe 2:23
1 Pet. 3:9Ro 12:14; 1Ko 4:12
1 Pet. 3:10Yak 3:8
1 Pet. 3:11Met 8:13
1 Pet. 3:113Yo 11
1 Pet. 3:111Th 5:13; Yak 3:17
1 Pet. 3:121Yo 3:22
1 Pet. 3:12Zb 34:12-16
1 Pet. 3:13Ro 13:3, 4
1 Pet. 3:14Mt 5:11, 12; Mdo 5:41; 1Pe 2:19
1 Pet. 3:14Mt 10:28
1 Pet. 3:15Met 15:1; 2Ti 2:24, 25; Tit 3:1, 2
1 Pet. 3:15Kol 4:6
1 Pet. 3:16Mdo 23:1; 24:16; 1Ti 1:5, 18, 19; 3:9
1 Pet. 3:16Tit 2:8
1 Pet. 3:16Ro 12:21; 1Pe 2:12
1 Pet. 3:172Ko 1:7; Kol 1:24
1 Pet. 3:171Pe 4:15
1 Pet. 3:18Ebr 9:28
1 Pet. 3:18Ro 5:6
1 Pet. 3:182Ko 5:18
1 Pet. 3:181Ko 15:50
1 Pet. 3:181Ti 3:16
1 Pet. 3:192Pe 2:4; Yud 6
1 Pet. 3:20Mwa 6:2, 3
1 Pet. 3:20Mwa 6:14
1 Pet. 3:20Mwa 7:13, 23
1 Pet. 3:21Ebr 9:14; 10:22
1 Pet. 3:22Zb 110:1; Mdo 7:55; Ebr 10:12
1 Pet. 3:22Mt 28:18; 1Ko 15:25; Efe 1:20, 21; Flp 2:9, 10; Ebr 1:6
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
1 Petro 3:1-22

Barua ya Kwanza ya Petro

3 Vivyo hivyo, ninyi wake, jitiisheni kwa waume zenu,+ ili ikiwa kuna wale wasiotii lile neno, wavutwe bila neno kupitia mwenendo wa wake zao,+ 2 kwa sababu wameshuhudia kwa macho yao mwenendo wenu ulio safi kiadili+ pamoja na heshima kubwa. 3 Kujipamba kwenu kusiwe kwa nje—kusuka nywele na kuvaa mapambo ya dhahabu+ au mavazi bora— 4 bali kuwe yule mtu wa siri wa moyoni katika mapambo yasiyoharibika ya roho ya utulivu na ya upole,+ ambayo ni ya thamani kubwa machoni pa Mungu. 5 Kwa maana hapo zamani ndivyo walivyokuwa wakijipamba wale wanawake watakatifu, waliomtumaini Mungu, wakijitiisha kwa waume zao, 6 kama Sara alivyomtii Abrahamu, akimwita bwana.+ Nanyi mmekuwa watoto wake, mradi tu mnaendelea kutenda mema, bila kuogopa.+

7 Enyi waume, vivyo hivyo endeleeni kukaa nao kulingana na ujuzi.* Wapeni heshima+ kama chombo dhaifu zaidi, yaani, mwanamke, kwa kuwa wao pia ni warithi pamoja nanyi+ wa pendeleo lisilostahiliwa la uzima, ili sala zenu zisizuiwe.

8 Mwishowe, ninyi nyote fikirini kwa upatano,*+ muwe na hisia-mwenzi, upendo wa kindugu, huruma nyororo,+ na unyenyekevu.+ 9 Msilipe ubaya kwa ubaya+ au matukano kwa matukano.+ Badala yake, lipeni kwa baraka,+ kwa sababu mliitwa kwenye mwendo huu, ili mrithi baraka.

10 Kwa maana “yeyote anayependa uzima na kuona siku zilizo njema, lazima aulinde ulimi wake usiseme mabaya+ na midomo yake isiseme udanganyifu. 11 Na aache mabaya,+ atende mema;+ na atafute amani na kuifuatilia.+ 12 Kwa maana macho ya Yehova* yanawatazama waadilifu, na masikio yake yanasikiliza dua yao,+ lakini uso wa Yehova* uko dhidi ya wale wanaotenda maovu.”+

13 Kwa kweli, ni nani atakayewadhuru mkifanya yaliyo mema kwa bidii?+ 14 Lakini hata mkiteseka kwa ajili ya uadilifu, ninyi ni wenye furaha.+ Hata hivyo, msiogope kile wanachokiogopa,* wala msiwe na wasiwasi.+ 15 Bali mtakaseni Kristo kuwa Bwana katika mioyo yenu, sikuzote mkiwa tayari kujitetea mbele ya kila mtu anayewauliza sababu ya tumaini mlilo nalo, lakini mkifanya hivyo kwa upole+ na heshima kubwa.+

16 Iweni na dhamiri njema,+ ili katika kila jambo ambalo wanasema vibaya dhidi yenu, wale wanaosema vibaya dhidi yenu waaibishwe+ kwa sababu ya mwenendo wenu mzuri mkiwa wafuasi wa Kristo.+ 17 Kwa maana ni afadhali kuteseka kwa sababu mnatenda mema,+ ikiwa ni mapenzi ya Mungu kuruhusu jambo hilo, kuliko kuteseka kwa sababu mnatenda maovu.+ 18 Kwa maana Kristo alikufa mara moja kwa wakati wote kwa ajili ya dhambi,+ mtu mwadilifu kwa ajili ya wasio waadilifu,+ ili awaongoze ninyi kwa Mungu.+ Aliuawa katika mwili,+ lakini akafanywa kuwa hai katika roho.+ 19 Na katika hali hiyo alienda na kuwahubiria roho walio gerezani,+ 20 ambao mwanzoni hawakuwa watiifu Mungu alipokuwa akingoja kwa subira* katika siku za Noa,+ safina ilipokuwa ikijengwa,+ ambayo ndani yake watu wachache, yaani, nafsi nane,* walichukuliwa salama kupitia maji.+

21 Ubatizo, ambao unalingana na hili, unawaokoa ninyi sasa pia (si kwa kuondoa uchafu wa mwili, bali kwa ombi linalotolewa kwa Mungu ili kupata dhamiri njema),+ kupitia ufufuo wa Yesu Kristo. 22 Yeye yuko kwenye mkono wa kuume wa Mungu,+ kwa maana alienda mbinguni, nao malaika na mamlaka na nguvu vilitiishwa kwake.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki