Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 17
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Methali—Yaliyomo

    • METHALI ZA SULEMANI (10:1–24:34)

Methali 17:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “utulivu.”

  • *

    Tnn., “dhabihu.”

Marejeo

  • +Zb 37:16
  • +Met 15:16, 17; 21:9, 19

Methali 17:3

Marejeo

  • +Met 27:21
  • +Zb 26:2; Met 21:2; 24:12

Methali 17:4

Marejeo

  • +Yer 5:31

Methali 17:5

Marejeo

  • +Met 14:31
  • +Met 24:17; Oba 12

Methali 17:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wazazi.”

  • *

    Au “watoto.”

Methali 17:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mazuri.”

  • *

    Au “kiongozi.”

Marejeo

  • +Met 26:7
  • +Met 16:10

Methali 17:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ni kito kinachomletea kibali.”

Marejeo

  • +Mwa 32:20; 2Sa 16:1
  • +1Sa 25:18, 35; Met 18:16; 19:6

Methali 17:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “anayefunika.”

Marejeo

  • +Met 10:12; 1Pe 4:8
  • +Met 16:28

Methali 17:10

Marejeo

  • +Zb 141:5; Met 9:8
  • +Met 27:22

Methali 17:11

Marejeo

  • +2Sa 18:15; 20:1, 22; 1Fa 2:22, 24

Methali 17:12

Marejeo

  • +Met 27:3

Methali 17:13

Marejeo

  • +2Sa 12:8-10

Methali 17:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kufungulia maji bwawani.” Tnn., “kufungulia maji.”

Marejeo

  • +Mwa 13:8, 9; Met 25:8; Mt 5:39; Ro 12:18

Methali 17:15

Marejeo

  • +Kut 23:7; 1Fa 21:13; Isa 5:22, 23

Methali 17:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Ilhali hana busara?”

Marejeo

  • +Met 1:22; Ro 1:20, 21

Methali 17:17

Marejeo

  • +Met 18:24; Yoh 15:13
  • +Ru 1:16, 17; 1Sa 19:2

Methali 17:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “aliyepungukiwa moyoni.”

Marejeo

  • +Met 11:15; 22:26, 27

Methali 17:19

Marejeo

  • +Yak 3:16
  • +2Sa 15:2-4

Methali 17:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mema.”

Marejeo

  • +Zb 18:26; Met 6:14, 15

Methali 17:21

Marejeo

  • +1Sa 2:22-25; 8:1-3; 2Sa 15:14

Methali 17:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “humsaidia mtu kupona.”

  • *

    Au “huikausha kabisa mifupa.”

Marejeo

  • +Met 12:25; 15:13
  • +Met 18:14

Methali 17:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “rushwa kutoka kifuani.”

Marejeo

  • +Kut 23:8

Methali 17:24

Marejeo

  • +Mhu 2:14

Methali 17:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Na kumletea uchungu.”

Marejeo

  • +Met 15:20

Methali 17:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kumtoza faini.”

Methali 17:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “atabaki na roho iliyotulia.”

Marejeo

  • +Met 10:19; Yak 1:19
  • +Met 15:4; Mhu 9:17; Yak 3:13

Jumla

Met. 17:1Zb 37:16
Met. 17:1Met 15:16, 17; 21:9, 19
Met. 17:3Met 27:21
Met. 17:3Zb 26:2; Met 21:2; 24:12
Met. 17:4Yer 5:31
Met. 17:5Met 14:31
Met. 17:5Met 24:17; Oba 12
Met. 17:7Met 26:7
Met. 17:7Met 16:10
Met. 17:8Mwa 32:20; 2Sa 16:1
Met. 17:81Sa 25:18, 35; Met 18:16; 19:6
Met. 17:9Met 10:12; 1Pe 4:8
Met. 17:9Met 16:28
Met. 17:10Zb 141:5; Met 9:8
Met. 17:10Met 27:22
Met. 17:112Sa 18:15; 20:1, 22; 1Fa 2:22, 24
Met. 17:12Met 27:3
Met. 17:132Sa 12:8-10
Met. 17:14Mwa 13:8, 9; Met 25:8; Mt 5:39; Ro 12:18
Met. 17:15Kut 23:7; 1Fa 21:13; Isa 5:22, 23
Met. 17:16Met 1:22; Ro 1:20, 21
Met. 17:17Met 18:24; Yoh 15:13
Met. 17:17Ru 1:16, 17; 1Sa 19:2
Met. 17:18Met 11:15; 22:26, 27
Met. 17:19Yak 3:16
Met. 17:192Sa 15:2-4
Met. 17:20Zb 18:26; Met 6:14, 15
Met. 17:211Sa 2:22-25; 8:1-3; 2Sa 15:14
Met. 17:22Met 12:25; 15:13
Met. 17:22Met 18:14
Met. 17:23Kut 23:8
Met. 17:24Mhu 2:14
Met. 17:25Met 15:20
Met. 17:27Met 10:19; Yak 1:19
Met. 17:27Met 15:4; Mhu 9:17; Yak 3:13
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Methali 17:1-28

Methali

17 Ni afadhali kipande kikavu cha mkate mahali penye amani*+

Kuliko nyumba iliyojaa karamu* pamoja na ugomvi.+

 2 Mtumishi mwenye ufahamu atamtawala mwana anayetenda kwa aibu;

Atapokea urithi kama ndugu za mwana huyo.

 3 Chungu cha kusafishia ni kwa ajili ya fedha na tanuru ni kwa ajili ya dhahabu,+

Lakini Yehova ndiye mchunguzaji wa mioyo.+

 4 Mtu mwovu husikiliza maneno yanayoumiza,

Na mtu mdanganyifu husikiliza ulimi unaodhuru.+

 5 Yeyote anayemdhihaki maskini anamtukana Muumba wake,+

Na yeyote anayeshangilia msiba wa mwingine hatakosa kuadhibiwa.+

 6 Wajukuu ni taji kwa waliozeeka,

Na akina baba* ni utukufu wa wana* wao.

 7 Maneno manyoofu* hayamfai mpumbavu.+

Sembuse maneno ya uwongo kwa mtawala!*+

 8 Zawadi ni kama kito chenye thamani kwa* aliye nayo;+

Humletea mafanikio, kila mahali anapoenda.+

 9 Yeyote anayesamehe* kosa hutafuta upendo,+

Lakini yule anayeendelea kuongea kuhusu jambo huwatenganisha marafiki wa karibu.+

10 Kemeo humgusa moyo zaidi mtu mwenye uelewaji+

Kuliko kumpiga mpumbavu mara mia moja.+

11 Mtu mwovu hutafuta uasi tu,

Lakini mjumbe mkatili atatumwa kumwadhibu.+

12 Ni afadhali kukutana na dubu aliyenyang’anywa watoto wake

Kuliko kukutana na mtu mpumbavu katika ujinga wake.+

13 Mtu yeyote akilipa uovu kwa wema,

Uovu hautaondoka katika nyumba yake.+

14 Kuanzisha vita ni kama kufungua lango la mafuriko;*

Kabla ugomvi haujalipuka, ondoka.+

15 Yeyote anayetangaza kwamba mwovu hana hatia na yeyote anayemshutumu mwadilifu+

—Wote wawili wanamchukiza Yehova.

16 Kuna faida gani kwa mpumbavu kuwa na uwezo wa kupata hekima

Ilhali hana moyo wa kuipata?*+

17 Rafiki wa kweli hupenda nyakati zote+

Naye ni ndugu ambaye amezaliwa kwa ajili ya nyakati za taabu.+

18 Mtu ambaye hana busara* humpa mwingine mkono na kukubali

Kuweka dhamana mbele ya jirani yake.+

19 Mtu anayependa ugomvi anapenda dhambi.+

Yeyote anayeliinua juu lango lake anaalika msiba.+

20 Mtu aliyepotoka moyoni hatapata mafanikio,*+

Na yule anayesema maneno ya udanganyifu ataanguka kwenye maangamizi.

21 Baba anayezaa mtoto mpumbavu atahuzunika;

Na baba ya mtoto asiye na akili hana shangwe.+

22 Moyo wenye shangwe ni dawa nzuri,*+

Lakini roho iliyopondeka humfyonza mtu nguvu.*+

23 Mtu mwovu atachukua rushwa kwa siri*

Ili apotoshe njia ya haki.+

24 Hekima iko mbele kabisa ya uso wa mtu mwenye utambuzi,

Lakini macho ya mpumbavu hutangatanga mpaka kwenye miisho ya dunia.+

25 Mwana mpumbavu humletea huzuni baba yake

Na kumletea maumivu ya moyo* yule aliyemzaa.+

26 Si vema kumwadhibu* mwadilifu,

Na kuwapiga viboko watu wanaoheshimiwa si jambo linalofaa.

27 Mtu mwenye ujuzi huyazuia maneno yake,+

Na mtu mwenye utambuzi atabaki mtulivu.*+

28 Hata mjinga anayekaa kimya ataonwa kuwa mwenye hekima,

Na yule anayefunga midomo yake, ataonwa kuwa mwenye utambuzi.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki