Zaburi
Muziki wa Daudi.
23 Yehova ni Mchungaji wangu.+
Sitakosa chochote.+
2 Hunilaza katika malisho yenye majani mengi;
Huniongoza katika njia za* uadilifu kwa ajili ya jina lake.+
4 Hata nikitembea katika bonde lenye kivuli kizito,+
Siogopi madhara yoyote,+
Kwa maana wewe uko pamoja nami;+
Fimbo yako na gongo lako hunipa uhakika.*
5 Wewe huniandalia meza mbele ya maadui wangu.+