Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 24
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Mfalme mtukufu aingia malangoni

        • ‘Dunia ni ya Yehova’ (1)

Zaburi 24:1

Marejeo

  • +1Nya 29:11; Ayu 41:11; 1Ko 10:26

Zaburi 24:2

Marejeo

  • +Mwa 1:9; Ayu 38:11; Zb 136:6; Yer 5:22

Zaburi 24:3

Marejeo

  • +Zb 15:1-5

Zaburi 24:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi Yangu,” ikirejelea mtu kuapa kwa uhai wa Yehova.

Marejeo

  • +2Sa 22:21; Isa 33:15, 16; Mt 5:8
  • +Zb 34:12, 13; Mal 3:5

Zaburi 24:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “haki.”

Marejeo

  • +Zb 128:1-5
  • +Isa 12:2

Zaburi 24:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Inukeni.”

Marejeo

  • +Zb 118:19; 122:2
  • +2Sa 6:15; Zb 48:1-3

Zaburi 24:8

Marejeo

  • +Zb 93:1
  • +Kut 15:3; 1Sa 17:47; 2Nya 20:15; Isa 42:13

Zaburi 24:9

Marejeo

  • +Zb 118:19

Zaburi 24:10

Marejeo

  • +1Nya 29:11

Jumla

Zab. 24:11Nya 29:11; Ayu 41:11; 1Ko 10:26
Zab. 24:2Mwa 1:9; Ayu 38:11; Zb 136:6; Yer 5:22
Zab. 24:3Zb 15:1-5
Zab. 24:42Sa 22:21; Isa 33:15, 16; Mt 5:8
Zab. 24:4Zb 34:12, 13; Mal 3:5
Zab. 24:5Zb 128:1-5
Zab. 24:5Isa 12:2
Zab. 24:7Zb 118:19; 122:2
Zab. 24:72Sa 6:15; Zb 48:1-3
Zab. 24:8Zb 93:1
Zab. 24:8Kut 15:3; 1Sa 17:47; 2Nya 20:15; Isa 42:13
Zab. 24:9Zb 118:19
Zab. 24:101Nya 29:11
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 24:1-10

Zaburi

Muziki wa Daudi.

24 Dunia na vyote vilivyomo ni vya Yehova,+

Nchi inayozaa na wale wanaokaa ndani yake.

 2 Kwa maana ameiweka imara kabisa juu ya bahari+

Na kuiweka imara kabisa juu ya mito.

 3 Ni nani anayeweza kuupanda mlima wa Yehova,+

Na ni nani anayeweza kusimama mahali pake patakatifu?

 4 Yeyote mwenye mikono isiyo na hatia na mwenye moyo safi,+

Ambaye hajaapa kwa uwongo kwa uhai Wangu,*

Wala kuapa kwa udanganyifu.+

 5 Atapokea baraka kutoka kwa Yehova+

Na uadilifu* kutoka kwa Mungu wa wokovu wake.+

 6 Hiki ndicho kizazi cha wale wanaomtafuta,

Cha wale wanaoutafuta uso wako, Ee Mungu wa Yakobo. (Sela)

 7 Inueni vichwa vyenu, enyi malango;+

Fungukeni,* enyi milango ya kale,

Ili Mfalme mtukufu aingie!+

 8 Mfalme huyu mtukufu ni nani?

Yehova, mwenye nguvu na hodari,+

Yehova, hodari katika vita.+

 9 Inueni vichwa vyenu, enyi malango;+

Fungukeni, enyi milango ya kale,

Ili Mfalme mtukufu aingie!

10 Mfalme huyu mtukufu ni nani?

Yehova wa majeshi—yeye ndiye Mfalme mtukufu.+ (Sela)

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki