Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 23
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • “Yehova ni Mchungaji wangu”

        • “Sitakosa chochote” (1)

        • “Huniburudisha” (3)

        • “Kikombe changu kimejazwa vizuri” (5)

Zaburi 23:1

Marejeo

  • +Zb 80:1; Yer 23:3; Eze 34:12; 1Pe 2:25
  • +Zb 34:9; 84:11; Mt 6:33; Flp 4:19; Ebr 13:5

Zaburi 23:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “maji matulivu.”

Marejeo

  • +Eze 34:13, 14

Zaburi 23:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Huiburudisha nafsi yangu.”

  • *

    Tnn., “mapito ya; vijia vya.”

Marejeo

  • +Zb 19:7; 51:12
  • +Zb 31:3

Zaburi 23:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hunifariji.”

Marejeo

  • +Ayu 38:17
  • +Zb 3:6; 27:1; Isa 41:10
  • +Isa 43:2; Ro 8:31

Zaburi 23:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Unakipaka.”

Marejeo

  • +Zb 22:26; 31:19
  • +Lu 7:46; Yak 5:14
  • +Zb 16:5

Zaburi 23:6

Marejeo

  • +Zb 103:17
  • +Zb 15:1-5; 27:4; 65:4; 122:1

Jumla

Zab. 23:1Zb 80:1; Yer 23:3; Eze 34:12; 1Pe 2:25
Zab. 23:1Zb 34:9; 84:11; Mt 6:33; Flp 4:19; Ebr 13:5
Zab. 23:2Eze 34:13, 14
Zab. 23:3Zb 19:7; 51:12
Zab. 23:3Zb 31:3
Zab. 23:4Ayu 38:17
Zab. 23:4Zb 3:6; 27:1; Isa 41:10
Zab. 23:4Isa 43:2; Ro 8:31
Zab. 23:5Zb 22:26; 31:19
Zab. 23:5Lu 7:46; Yak 5:14
Zab. 23:5Zb 16:5
Zab. 23:6Zb 103:17
Zab. 23:6Zb 15:1-5; 27:4; 65:4; 122:1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 23:1-6

Zaburi

Muziki wa Daudi.

23 Yehova ni Mchungaji wangu.+

Sitakosa chochote.+

 2 Hunilaza katika malisho yenye majani mengi;

Huniongoza kwenye sehemu za kupumzika zenye maji mengi.*+

 3 Huniburudisha.*+

Huniongoza katika njia za* uadilifu kwa ajili ya jina lake.+

 4 Hata nikitembea katika bonde lenye kivuli kizito,+

Siogopi madhara yoyote,+

Kwa maana wewe uko pamoja nami;+

Fimbo yako na gongo lako hunipa uhakika.*

 5 Wewe huniandalia meza mbele ya maadui wangu.+

Unakiburudisha* kichwa changu kwa mafuta;+

Kikombe changu kimejazwa vizuri.+

 6 Kwa hakika wema na upendo mshikamanifu utanifuatia sikuzote za maisha yangu,+

Nami nitakaa katika nyumba ya Yehova siku zangu zote.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki