Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Waroma—Yaliyomo

      • “Mungu na aonekane kuwa wa kweli” (1-8)

      • Wayahudi na Wagiriki wako chini ya dhambi (9-20)

      • Uadilifu kupitia imani (21-31)

        • Wote wanapungukiwa na utukufu wa Mungu (23)

Waroma 3:2

Marejeo

  • +Kum 4:8; Zb 147:19, 20; Mdo 7:38

Waroma 3:4

Marejeo

  • +Isa 55:10, 11; Yoh 8:26; 2Ti 2:13
  • +Hes 23:19; Zb 116:11
  • +Zb 51:4

Waroma 3:6

Marejeo

  • +Zb 9:8; 96:13; 98:9; Mdo 17:31

Waroma 3:8

Marejeo

  • +Ebr 2:2, 3

Waroma 3:9

Marejeo

  • +Ro 3:23; Gal 3:22

Waroma 3:10

Marejeo

  • +Met 20:9; Mhu 7:20

Waroma 3:12

Marejeo

  • +Zb 14:1-3

Waroma 3:13

Marejeo

  • +Zb 5:9
  • +Zb 140:3

Waroma 3:14

Marejeo

  • +Zb 10:7; Yak 3:8, 9

Waroma 3:15

Marejeo

  • +Met 1:16

Waroma 3:17

Marejeo

  • +Isa 59:7, 8

Waroma 3:18

Marejeo

  • +Zb 36:1

Waroma 3:19

Marejeo

  • +Ro 2:12; 5:13; Gal 3:10

Waroma 3:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mwili wowote utakaotangazwa.”

Marejeo

  • +Gal 2:16; 3:11
  • +Ro 7:9, 13; Gal 3:19

Waroma 3:21

Marejeo

  • +Ro 1:16, 17
  • +Isa 53:11; Yer 31:34; Da 9:24

Waroma 3:22

Marejeo

  • +Gal 3:28

Waroma 3:23

Marejeo

  • +Mhu 7:20

Waroma 3:24

Marejeo

  • +Ro 5:17
  • +Efe 2:8
  • +Mt 20:28; 1Ti 2:5, 6; 1Pe 2:24

Waroma 3:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “dhabihu ya kufunika dhambi.”

  • *

    Au “ustahimilivu.”

Marejeo

  • +Isa 53:11; 2Ko 5:19; 1Yo 2:1, 2; 4:10
  • +Law 17:11; Mdo 13:39; Efe 1:7

Waroma 3:26

Marejeo

  • +Zb 89:14
  • +1Ko 1:30; 1Yo 1:9

Waroma 3:27

Marejeo

  • +Mdo 13:38, 39; Efe 2:8, 9

Waroma 3:28

Marejeo

  • +Gal 2:15, 16; Yak 2:24

Waroma 3:29

Marejeo

  • +Mdo 17:26, 27
  • +Mdo 10:4
  • +Isa 54:5; Ro 10:12; Gal 3:14

Waroma 3:30

Marejeo

  • +Kum 6:4; 1Ko 8:6; Efe 4:6
  • +1Ko 7:18
  • +Gal 3:8

Waroma 3:31

Marejeo

  • +Mt 5:17; Ro 8:3, 4; 13:10

Jumla

Rom. 3:2Kum 4:8; Zb 147:19, 20; Mdo 7:38
Rom. 3:4Isa 55:10, 11; Yoh 8:26; 2Ti 2:13
Rom. 3:4Hes 23:19; Zb 116:11
Rom. 3:4Zb 51:4
Rom. 3:6Zb 9:8; 96:13; 98:9; Mdo 17:31
Rom. 3:8Ebr 2:2, 3
Rom. 3:9Ro 3:23; Gal 3:22
Rom. 3:10Met 20:9; Mhu 7:20
Rom. 3:12Zb 14:1-3
Rom. 3:13Zb 5:9
Rom. 3:13Zb 140:3
Rom. 3:14Zb 10:7; Yak 3:8, 9
Rom. 3:15Met 1:16
Rom. 3:17Isa 59:7, 8
Rom. 3:18Zb 36:1
Rom. 3:19Ro 2:12; 5:13; Gal 3:10
Rom. 3:20Gal 2:16; 3:11
Rom. 3:20Ro 7:9, 13; Gal 3:19
Rom. 3:21Ro 1:16, 17
Rom. 3:21Isa 53:11; Yer 31:34; Da 9:24
Rom. 3:22Gal 3:28
Rom. 3:23Mhu 7:20
Rom. 3:24Ro 5:17
Rom. 3:24Efe 2:8
Rom. 3:24Mt 20:28; 1Ti 2:5, 6; 1Pe 2:24
Rom. 3:25Isa 53:11; 2Ko 5:19; 1Yo 2:1, 2; 4:10
Rom. 3:25Law 17:11; Mdo 13:39; Efe 1:7
Rom. 3:261Ko 1:30; 1Yo 1:9
Rom. 3:26Zb 89:14
Rom. 3:27Mdo 13:38, 39; Efe 2:8, 9
Rom. 3:28Gal 2:15, 16; Yak 2:24
Rom. 3:29Mdo 17:26, 27
Rom. 3:29Mdo 10:4
Rom. 3:29Isa 54:5; Ro 10:12; Gal 3:14
Rom. 3:30Kum 6:4; 1Ko 8:6; Efe 4:6
Rom. 3:301Ko 7:18
Rom. 3:30Gal 3:8
Rom. 3:31Mt 5:17; Ro 8:3, 4; 13:10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Waroma 3:1-31

Kwa Waroma

3 Basi, Myahudi ana ubora gani, au kutahiriwa kuna faida gani? 2 Ni nyingi katika kila njia. Kwanza kabisa, wao walikabidhiwa maneno matakatifu ya Mungu.+ 3 Basi, hali ikoje? Ikiwa wengine walikosa imani, je, ukosefu wao wa imani utaondoa uaminifu wa Mungu? 4 La hasha! Bali Mungu na aonekane kuwa wa kweli,+ hata ikiwa kila mwanadamu ataonekana kuwa mwongo,+ kama ilivyoandikwa: “Ili uthibitike kuwa mwadilifu katika maneno yako na ushinde wakati unapohukumiwa.”+ 5 Hata hivyo, ikiwa ukosefu wetu wa uadilifu unaonyesha wazi uadilifu wa Mungu, tuseme nini? Mungu hakosi kutenda kwa haki anapoonyesha ghadhabu yake, sivyo? (Ninaongea kama mwanadamu.) 6 Hapana! Ikiwa hivyo, Mungu atauhukumu ulimwengu jinsi gani?+

7 Lakini ikiwa kupitia uwongo wangu kweli ya Mungu imeonekana wazi zaidi kwa utukufu wake, kwa nini mimi pia ninahukumiwa kuwa mtenda dhambi? 8 Na kwa nini tusiseme, kama watu fulani wanavyodai kwa uwongo kwamba tunasema, “Tufanye mambo mabaya ili mambo mema yaje”? Hukumu dhidi ya watu hao inapatana na haki.+

9 Tuseme nini basi? Je, sisi tuna hali bora zaidi? Sivyo hata kidogo! Kwa maana hapo juu tumefanya shtaka kwamba Wayahudi na vilevile Wagiriki wote wako chini ya dhambi;+ 10 kama ilivyoandikwa: “Hakuna mwanadamu mwadilifu, hakuna hata mmoja;+ 11 hakuna yeyote aliye na ufahamu; hakuna yeyote anayemtafuta Mungu. 12 Watu wote wamegeuka kando, wote wamekuwa wasiofaa kitu; hakuna yeyote anayetenda kwa fadhili, hakuna hata mmoja.”+ 13 “Koo lao ni kaburi lililo wazi, wamedanganya kwa ndimi zao.”+ “Sumu ya nyoka iko nyuma ya midomo yao.”+ 14 “Na kinywa chao kimejaa kulaani na uchungu.”+ 15 “Miguu yao inaharakisha kwenda kumwaga damu.”+ 16 “Njia zao zina uharibifu na maumivu, 17 nao hawajaijua njia ya amani.”+ 18 “Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yao.”+

19 Sasa tunajua kwamba mambo yote ambayo Sheria inasema, inawaambia wale walio chini ya Sheria, ili kila kinywa kinyamazishwe na ulimwengu wote ustahili adhabu kutoka kwa Mungu.+ 20 Kwa hiyo, hakuna mtu yeyote atakayetangazwa* kuwa mwadilifu mbele zake kupitia matendo ya sheria,+ kwa maana kupitia sheria tunapata ujuzi sahihi kuhusu dhambi.+

21 Lakini sasa uadilifu wa Mungu umefunuliwa bila sheria,+ kama inavyoshuhudiwa na Sheria na Manabii,+ 22 ndiyo, uadilifu wa Mungu kupitia imani katika Yesu Kristo, kwa wote walio na imani. Kwa maana hakuna tofauti.+ 23 Kwa maana wote wamefanya dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu,+ 24 nayo ni zawadi ya bure+ kwamba wanatangazwa kuwa waadilifu kwa fadhili zake zisizostahiliwa+ kupitia kuachiliwa huru kwa njia ya fidia ambayo Kristo Yesu alilipa.+ 25 Mungu alimtoa kuwa dhabihu ya upatanisho*+ kupitia imani katika damu yake.+ Ilikuwa hivyo ili kuonyesha uadilifu wake mwenyewe, kwa sababu Mungu kwa uvumilivu* wake alikuwa akizisamehe dhambi zilizofanywa wakati uliopita. 26 Ilikuwa hivyo ili kuonyesha uadilifu wake+ katika majira haya, ili awe mwadilifu hata anapomtangaza kuwa mwadilifu mtu aliye na imani katika Yesu.+

27 Basi, je, tuna sababu ya kujisifu? Hatuna sababu. Kupitia sheria gani? Ile ya matendo?+ Hapana, bali kupitia sheria ya imani. 28 Kwa maana tunajua kwamba mtu hutangazwa kuwa mwadilifu kwa imani bila matendo ya sheria.+ 29 Au je, yeye ni Mungu wa Wayahudi peke yao?+ Je, yeye si Mungu wa watu wa mataifa pia?+ Ndiyo, pia wa watu wa mataifa.+ 30 Kwa kuwa Mungu ni mmoja,+ atawatangaza watu waliotahiriwa kuwa waadilifu+ kutokana na imani na watu wasiotahiriwa kuwa waadilifu+ kupitia imani yao. 31 Basi, je, tunaifuta sheria kupitia imani yetu? La hasha! Badala yake, tunaiunga mkono sheria.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki