Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 15
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Methali—Yaliyomo

    • METHALI ZA SULEMANI (10:1–24:34)

Methali 15:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “tulivu.”

  • *

    Au “linaloumiza.”

Marejeo

  • +Amu 8:2, 3; 1Sa 25:32, 33; Met 25:15
  • +1Fa 12:14, 16

Methali 15:2

Marejeo

  • +Met 16:23; Isa 50:4

Methali 15:3

Marejeo

  • +2Nya 16:9; Zb 11:4; Ebr 4:13

Methali 15:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Ulimi unaoponya.”

  • *

    Tnn., “huiponda roho.”

Marejeo

  • +Met 12:18; 16:24; 17:27

Methali 15:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “karipio.”

Marejeo

  • +1Sa 2:22-25
  • +Zb 141:5; Met 13:1; Ebr 12:11

Methali 15:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mapato.”

Marejeo

  • +Yak 5:3, 4

Methali 15:7

Marejeo

  • +Zb 37:30; Mt 10:27
  • +Mt 12:34, 35

Methali 15:8

Marejeo

  • +Isa 1:11
  • +Yak 5:16; 1Pe 3:12; 1Yo 3:21, 22

Methali 15:9

Marejeo

  • +Zb 146:9
  • +Isa 26:7

Methali 15:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kali.”

Marejeo

  • +1Fa 18:17, 18
  • +Law 26:21; Met 1:32

Methali 15:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

  • *

    Au “na Abadoni.”

Marejeo

  • +Zb 139:8
  • +Yer 17:10; Ebr 4:13

Methali 15:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anayemkaripia.”

Marejeo

  • +Met 9:7; Yoh 3:20; 7:7
  • +2Nya 18:6, 7

Methali 15:13

Marejeo

  • +Met 12:25; 17:22

Methali 15:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hufuatia.”

Marejeo

  • +Zb 119:97; Mdo 17:11
  • +Isa 30:9, 10

Methali 15:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mzuri.”

Marejeo

  • +Ayu 3:11
  • +Mdo 16:23-25

Methali 15:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “vurugu.”

Marejeo

  • +Zb 37:16
  • +Met 15:17

Methali 15:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “aliyelishwa kwenye hori.”

Marejeo

  • +Zb 133:1
  • +Met 17:1

Methali 15:18

Marejeo

  • +Met 10:12
  • +Mwa 13:8, 9; 1Sa 25:23, 24; Met 25:15; Yak 1:19

Methali 15:19

Marejeo

  • +Met 26:13-15
  • +Isa 30:21

Methali 15:20

Marejeo

  • +Met 27:11
  • +Met 23:22; 30:17

Methali 15:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “aliyepungukiwa moyoni.”

Marejeo

  • +Met 26:18, 19; Mhu 7:4
  • +Met 10:23; Efe 5:15, 16; Yak 3:13

Methali 15:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “watu wasipokuwa na mazungumzo ya siri.”

Marejeo

  • +Met 20:18

Methali 15:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “hushangilia jibu la kinywa chake.”

Marejeo

  • +Efe 4:29
  • +1Sa 25:32, 33; Met 25:11

Methali 15:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Mt 7:13, 14
  • +Met 8:35, 36

Methali 15:25

Marejeo

  • +Lu 18:14
  • +Zb 146:9

Methali 15:26

Marejeo

  • +Met 6:16, 18
  • +Zb 19:14

Methali 15:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “aibu.”

Marejeo

  • +Kum 16:19; 1Sa 8:1, 3; Met 1:19
  • +Isa 33:15, 16

Methali 15:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hufikiria kwa uangalifu jinsi ya kujibu; hufikiria kabla ya kuongea.”

Marejeo

  • +Met 16:23

Methali 15:29

Marejeo

  • +Zb 34:15, 16; 138:6; 145:19; Yoh 9:31

Methali 15:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Kumtupia mtu jicho kwa uchangamfu.”

  • *

    Tnn., “huinenepesha mifupa.”

Marejeo

  • +Met 16:24; 25:25

Methali 15:31

Marejeo

  • +Met 9:8; 19:20

Methali 15:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anaidharau nafsi yake.”

  • *

    Tnn., “moyo.”

Marejeo

  • +Met 5:12, 14; Ebr 12:25
  • +Met 13:18; Mt 7:24, 25

Methali 15:33

Marejeo

  • +Zb 111:10
  • +Met 18:12; Yak 4:10

Jumla

Met. 15:1Amu 8:2, 3; 1Sa 25:32, 33; Met 25:15
Met. 15:11Fa 12:14, 16
Met. 15:2Met 16:23; Isa 50:4
Met. 15:32Nya 16:9; Zb 11:4; Ebr 4:13
Met. 15:4Met 12:18; 16:24; 17:27
Met. 15:51Sa 2:22-25
Met. 15:5Zb 141:5; Met 13:1; Ebr 12:11
Met. 15:6Yak 5:3, 4
Met. 15:7Zb 37:30; Mt 10:27
Met. 15:7Mt 12:34, 35
Met. 15:8Isa 1:11
Met. 15:8Yak 5:16; 1Pe 3:12; 1Yo 3:21, 22
Met. 15:9Zb 146:9
Met. 15:9Isa 26:7
Met. 15:101Fa 18:17, 18
Met. 15:10Law 26:21; Met 1:32
Met. 15:11Zb 139:8
Met. 15:11Yer 17:10; Ebr 4:13
Met. 15:12Met 9:7; Yoh 3:20; 7:7
Met. 15:122Nya 18:6, 7
Met. 15:13Met 12:25; 17:22
Met. 15:14Zb 119:97; Mdo 17:11
Met. 15:14Isa 30:9, 10
Met. 15:15Ayu 3:11
Met. 15:15Mdo 16:23-25
Met. 15:16Zb 37:16
Met. 15:16Met 15:17
Met. 15:17Zb 133:1
Met. 15:17Met 17:1
Met. 15:18Met 10:12
Met. 15:18Mwa 13:8, 9; 1Sa 25:23, 24; Met 25:15; Yak 1:19
Met. 15:19Met 26:13-15
Met. 15:19Isa 30:21
Met. 15:20Met 27:11
Met. 15:20Met 23:22; 30:17
Met. 15:21Met 26:18, 19; Mhu 7:4
Met. 15:21Met 10:23; Efe 5:15, 16; Yak 3:13
Met. 15:22Met 20:18
Met. 15:23Efe 4:29
Met. 15:231Sa 25:32, 33; Met 25:11
Met. 15:24Mt 7:13, 14
Met. 15:24Met 8:35, 36
Met. 15:25Lu 18:14
Met. 15:25Zb 146:9
Met. 15:26Met 6:16, 18
Met. 15:26Zb 19:14
Met. 15:27Kum 16:19; 1Sa 8:1, 3; Met 1:19
Met. 15:27Isa 33:15, 16
Met. 15:28Met 16:23
Met. 15:29Zb 34:15, 16; 138:6; 145:19; Yoh 9:31
Met. 15:30Met 16:24; 25:25
Met. 15:31Met 9:8; 19:20
Met. 15:32Met 5:12, 14; Ebr 12:25
Met. 15:32Met 13:18; Mt 7:24, 25
Met. 15:33Zb 111:10
Met. 15:33Met 18:12; Yak 4:10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Methali 15:1-33

Methali

15 Jibu la upole* hutuliza hasira,+

Lakini neno kali* huchochea hasira.+

 2 Ulimi wa mwenye hekima hutumia vizuri ujuzi,+

Lakini kinywa cha mpumbavu hububujika ujinga.

 3 Macho ya Yehova yako kila mahali,

Yakiwaangalia waovu na wema.+

 4 Ulimi mtulivu* ni mti wa uzima,+

Lakini maneno yaliyopotoka hukatisha tamaa.*

 5 Mjinga hudharau nidhamu ya baba yake,+

Lakini mwerevu hukubali kurekebishwa.*+

 6 Nyumba ya mwadilifu ina hazina tele,

Lakini mazao* ya mwovu humletea taabu.+

 7 Midomo ya wenye hekima hueneza ujuzi,+

Lakini moyo wa mpumbavu haufanyi hivyo.+

 8 Dhabihu ya waovu humchukiza Yehova,+

Lakini sala ya wanyoofu humfurahisha Yeye.+

 9 Yehova huchukia njia ya mwovu,+

Lakini humpenda mtu anayefuatia uadilifu.+

10 Nidhamu huonekana kuwa mbaya* kwa mtu anayeiacha njia,+

Lakini yeyote anayechukia karipio atakufa.+

11 Kaburi* na mahali pa maangamizi* viko wazi kabisa machoni pa Yehova.+

Sembuse mioyo ya wanadamu!+

12 Mtu mwenye dhihaka hampendi anayemrekebisha.*+

Hatatafuta ushauri kutoka kwa wenye hekima.+

13 Moyo wenye shangwe hufanya uso uchangamke,

Lakini maumivu ya moyo huiponda roho.+

14 Moyo wenye uelewaji hutafuta ujuzi,+

Lakini kinywa cha wapumbavu hula* ujinga.+

15 Siku zote za mtu anayeteseka ni mbaya,+

Lakini mtu aliye na moyo mchangamfu* huwa na karamu daima.+

16 Ni afadhali kuwa na vichache na kumwogopa Yehova+

Kuliko kuwa na mali nyingi pamoja na mahangaiko.*+

17 Ni afadhali kula mboga za majani mahali penye upendo+

Kuliko kula ng’ombe dume aliyenoneshwa* mahali penye chuki.+

18 Mtu mwenye hasira kali huchochea mzozo,+

Lakini mtu asiyekasirika upesi hutuliza ugomvi.+

19 Njia ya mvivu ni kama uzio wa miiba,+

Lakini kijia cha wanyoofu ni kama barabara iliyosawazika.+

20 Mwana mwenye hekima humfanya baba yake ashangilie,+

Lakini mtu mpumbavu humdharau mama yake.+

21 Mtu asiye na busara* hufurahia ujinga,+

Lakini mtu mwenye utambuzi huenda mbele moja kwa moja.+

22 Mipango huvunjika watu wasiposhauriana,*

Lakini mambo hufanikiwa kupitia washauri wengi.+

23 Mtu hushangilia anapotoa jibu linalofaa,*+

Na neno linalosemwa wakati unaofaa—ni jema sana!+

24 Kwa mwenye ufahamu kijia cha uzima huelekea juu,+

Ili kumwepusha na Kaburi* lililo chini.+

25 Yehova ataibomoa nyumba ya mtu mwenye kiburi,+

Lakini ataulinda mpaka wa mjane.+

26 Yehova huchukia njama za mtu mwovu,+

Lakini maneno yanayopendeza ni safi Kwake.+

27 Mtu anayepata faida isiyo ya haki huwaletea taabu* watu wa nyumba yake mwenyewe,+

Lakini anayechukia rushwa ataendelea kuishi.+

28 Moyo wa mwadilifu hutafakari kabla ya kujibu,*+

Lakini kinywa cha waovu hububujika mambo mabaya.

29 Yehova yuko mbali sana na waovu,

Lakini huisikia sala ya waadilifu.+

30 Macho yanayong’aa* huufanya moyo ushangilie;

Habari njema huitia nguvu mifupa.*+

31 Mtu anayesikiliza karipio la uzima

Hutulia miongoni mwa wenye hekima.+

32 Yeyote anayekataa nidhamu anaudharau uhai wake,*+

Lakini yeyote anayesikiliza karipio hupata uelewaji.*+

33 Kumwogopa Yehova ni mazoezi ya kupata hekima,+

Na kabla ya utukufu kuna unyenyekevu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki