Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo 12
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Ufunuo—Yaliyomo

      • Mwanamke, mtoto wa kiume, na joka (1-6)

      • Mikaeli apigana na yule joka (7-12)

        • Joka atupwa duniani (9)

        • Ibilisi anajua kwamba ana kipindi kifupi (12)

      • Joka amtesa mwanamke (13-17)

Ufunuo 12:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “aliyevikwa.”

Marejeo

  • +Mwa 3:15

Ufunuo 12:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “tepe saba za kichwani za kifalme.”

Marejeo

  • +Ufu 12:9; 20:2

Ufunuo 12:4

Marejeo

  • +Ayu 38:7
  • +Mwa 6:2; Yud 6
  • +Mwa 3:15

Ufunuo 12:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “akachukuliwa.”

Marejeo

  • +Ufu 11:15
  • +Zb 2:9; 110:2; Ufu 19:15

Ufunuo 12:6

Marejeo

  • +Ufu 12:14

Ufunuo 12:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Ni Nani Aliye Kama Mungu?”

Marejeo

  • +Da 10:13; 12:1; Yud 9

Ufunuo 12:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “lakini alishindwa [yaani, joka].”

Ufunuo 12:9

Marejeo

  • +Ufu 12:3; 20:2
  • +Mwa 3:1; 2Ko 11:3; Ufu 12:14
  • +Mt 4:1; Yoh 8:44; Ebr 2:14; Yak 4:7; 1Pe 5:8
  • +1Nya 21:1; Ayu 1:6; Zek 3:2; Mt 4:10; Yoh 13:27; Ro 16:20; 2Th 2:9
  • +2Ko 4:4; 11:14; Efe 2:2; 1Yo 5:19
  • +Lu 10:18; Ufu 12:13

Ufunuo 12:10

Marejeo

  • +Ro 13:11; Ebr 9:28; 1Pe 1:5
  • +Ufu 11:15, 17
  • +Ayu 1:9; Zek 3:1

Ufunuo 12:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “uhai wao.” Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +1Yo 2:14
  • +1Pe 1:18, 19
  • +Mdo 1:8; 2Ti 1:8; Ufu 1:9
  • +Mt 16:25; Lu 14:26; Mdo 20:24

Ufunuo 12:12

Marejeo

  • +Isa 57:20; 60:2; Ufu 17:15
  • +Mt 24:34; Ro 16:20; 2Ti 3:1; 2Pe 3:3

Ufunuo 12:13

Marejeo

  • +Lu 10:18
  • +Mwa 3:15; Ufu 12:1

Ufunuo 12:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, nyakati tatu na nusu.

Marejeo

  • +Kut 19:4; Isa 40:31
  • +Ufu 12:6
  • +Mwa 3:1; 2Ko 11:3

Ufunuo 12:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu yake.”

Marejeo

  • +Mwa 3:15
  • +Mt 24:9; Mdo 1:8; Ufu 1:9; 6:9

Jumla

Ufu. 12:1Mwa 3:15
Ufu. 12:3Ufu 12:9; 20:2
Ufu. 12:4Ayu 38:7
Ufu. 12:4Mwa 6:2; Yud 6
Ufu. 12:4Mwa 3:15
Ufu. 12:5Ufu 11:15
Ufu. 12:5Zb 2:9; 110:2; Ufu 19:15
Ufu. 12:6Ufu 12:14
Ufu. 12:7Da 10:13; 12:1; Yud 9
Ufu. 12:9Ufu 12:3; 20:2
Ufu. 12:9Mwa 3:1; 2Ko 11:3; Ufu 12:14
Ufu. 12:9Mt 4:1; Yoh 8:44; Ebr 2:14; Yak 4:7; 1Pe 5:8
Ufu. 12:91Nya 21:1; Ayu 1:6; Zek 3:2; Mt 4:10; Yoh 13:27; Ro 16:20; 2Th 2:9
Ufu. 12:92Ko 4:4; 11:14; Efe 2:2; 1Yo 5:19
Ufu. 12:9Lu 10:18; Ufu 12:13
Ufu. 12:10Ro 13:11; Ebr 9:28; 1Pe 1:5
Ufu. 12:10Ufu 11:15, 17
Ufu. 12:10Ayu 1:9; Zek 3:1
Ufu. 12:111Yo 2:14
Ufu. 12:111Pe 1:18, 19
Ufu. 12:11Mdo 1:8; 2Ti 1:8; Ufu 1:9
Ufu. 12:11Mt 16:25; Lu 14:26; Mdo 20:24
Ufu. 12:12Isa 57:20; 60:2; Ufu 17:15
Ufu. 12:12Mt 24:34; Ro 16:20; 2Ti 3:1; 2Pe 3:3
Ufu. 12:13Lu 10:18
Ufu. 12:13Mwa 3:15; Ufu 12:1
Ufu. 12:14Kut 19:4; Isa 40:31
Ufu. 12:14Ufu 12:6
Ufu. 12:14Mwa 3:1; 2Ko 11:3
Ufu. 12:17Mwa 3:15
Ufu. 12:17Mt 24:9; Mdo 1:8; Ufu 1:9; 6:9
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Ufunuo 12:1-17

Ufunuo kwa Yohana

12 Kisha ishara kubwa ikaonekana mbinguni: Mwanamke+ aliyepambwa* jua, na mwezi ulikuwa chini ya miguu yake, na juu ya kichwa chake palikuwa na taji la nyota 12, 2 naye alikuwa na mimba. Na alikuwa akilia akiwa katika maumivu na uchungu wa kuzaa.

3 Ishara nyingine ikaonekana mbinguni. Tazama! Joka mkubwa wa rangi ya moto,+ mwenye vichwa saba na pembe kumi na mataji saba* juu ya vichwa vyake; 4 na mkia wake unakokota theluthi moja ya nyota+ za mbinguni, naye akazitupa chini duniani.+ Na huyo joka akaendelea kusimama mbele ya yule mwanamke+ aliyekuwa karibu kuzaa, ili atakapozaa, ammeze mtoto wake.

5 Na yule mwanamke akazaa mwana,+ wa kiume, atakayechunga mataifa yote kwa fimbo ya chuma.+ Na mtoto wake akanyakuliwa* mpaka kwa Mungu na kwenye kiti chake cha ufalme. 6 Na yule mwanamke akakimbilia nyikani, ambapo ana mahali palipotayarishwa na Mungu, na hapo watamlisha kwa siku 1,260.+

7 Na vita vikatokea ghafla mbinguni: Mikaeli*+ na malaika zake wakapigana na yule joka, naye joka na malaika zake wakapigana nao 8 lakini hawakushinda,* wala mahali hapakupatikana tena mbinguni kwa ajili yao. 9 Basi yule joka mkubwa+ akatupwa chini, yule nyoka wa zamani,+ anayeitwa Ibilisi+ na Shetani,+ anayeipotosha dunia nzima inayokaliwa;+ akatupwa chini duniani,+ na malaika zake wakatupwa chini pamoja naye. 10 Nikasikia sauti kubwa mbinguni ikisema:

“Sasa kumekuwa na wokovu+ na nguvu na Ufalme wa Mungu wetu+ na mamlaka ya Kristo wake, kwa sababu mshtaki wa ndugu zetu ametupwa chini, anayewashtaki mchana na usiku mbele za Mungu wetu!+ 11 Nao wakamshinda+ kwa sababu ya damu ya Mwanakondoo+ na kwa sababu ya neno lao la kutoa ushahidi,+ nao hawakupenda nafsi zao*+ hata walipokabili kifo. 12 Kwa sababu hiyo furahini, enyi mbingu nanyi mnaokaa ndani yake! Ole wa dunia na wa bahari,+ kwa sababu Ibilisi ameshuka kwenu, akiwa na hasira kali, akijua kwamba ana kipindi kifupi cha wakati.”+

13 Sasa yule joka alipoona kwamba ametupwa chini duniani,+ alimtesa yule mwanamke+ aliyezaa mtoto wa kiume. 14 Lakini yule mwanamke akapewa mabawa mawili ya tai mkubwa,+ ili aruke kwenda nyikani mahali pake, ambapo atalishwa kwa wakati na nyakati na nusu ya wakati*+ mbali na uso wa yule nyoka.+

15 Naye nyoka akatapika maji kama mto kutoka katika kinywa chake nyuma ya yule mwanamke, ili kumzamisha katika mto huo. 16 Lakini dunia ikaja kumsaidia mwanamke, nayo dunia ikafungua kinywa chake na kuumeza mto ambao yule joka aliutapika kutoka katika kinywa chake. 17 Basi yule joka akawa na ghadhabu kumwelekea yule mwanamke, naye akaenda zake kupigana na wale waliobaki wa uzao wake,*+ wanaoshika amri za Mungu na walio na kazi ya kutoa ushahidi kumhusu Yesu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki