Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 66
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Kazi za Mungu zinazostaajabisha

        • “Njooni mwone kazi za Mungu” (5)

        • “Nitatimiza nadhiri zangu kwako” (13)

        • Mungu husikia sala (18-20)

Zaburi 66:1

Marejeo

  • +Zb 98:4

Zaburi 66:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Lipigieni muziki.”

Marejeo

  • +Zb 72:19; Ufu 4:11

Zaburi 66:3

Marejeo

  • +Kut 15:16; Zb 76:12; Isa 2:19; Yer 10:10
  • +Zb 81:15

Zaburi 66:4

Marejeo

  • +Zb 22:27; Mal 1:11
  • +Isa 42:10; Ufu 15:4

Zaburi 66:5

Marejeo

  • +Zb 46:8; Sef 2:11

Zaburi 66:6

Marejeo

  • +Kut 14:21, 22
  • +Yos 3:15, 16
  • +Kut 15:1

Zaburi 66:7

Marejeo

  • +Da 4:34; 1Ti 1:17
  • +Zb 11:4; Met 15:3; Ebr 4:13
  • +Isa 37:29

Zaburi 66:8

Marejeo

  • +Kum 32:43; Ro 15:10

Zaburi 66:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Hufanya nafsi zetu kuwa hai.”

  • *

    Au “iyumbeyumbe; itetemeke.”

Marejeo

  • +1Sa 25:29
  • +1Sa 2:9; Zb 121:3

Zaburi 66:10

Marejeo

  • +Kum 8:2

Zaburi 66:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Uliweka mzigo mzito kwenye viuno vyetu.”

Zaburi 66:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “juu ya vichwa vyetu.”

Zaburi 66:13

Marejeo

  • +Hes 15:3
  • +Zb 56:12; 116:14; Mhu 5:4, 5

Zaburi 66:14

Marejeo

  • +Hes 30:2; Amu 11:35

Zaburi 66:16

Marejeo

  • +Zb 22:24

Zaburi 66:18

Marejeo

  • +Ayu 27:8, 9; Met 15:29; 28:9; Isa 1:15; Yoh 9:31

Zaburi 66:19

Marejeo

  • +Zb 34:6; 65:2; 116:1; 1Yo 3:22
  • +Ebr 5:7

Jumla

Zab. 66:1Zb 98:4
Zab. 66:2Zb 72:19; Ufu 4:11
Zab. 66:3Kut 15:16; Zb 76:12; Isa 2:19; Yer 10:10
Zab. 66:3Zb 81:15
Zab. 66:4Zb 22:27; Mal 1:11
Zab. 66:4Isa 42:10; Ufu 15:4
Zab. 66:5Zb 46:8; Sef 2:11
Zab. 66:6Kut 14:21, 22
Zab. 66:6Yos 3:15, 16
Zab. 66:6Kut 15:1
Zab. 66:7Da 4:34; 1Ti 1:17
Zab. 66:7Zb 11:4; Met 15:3; Ebr 4:13
Zab. 66:7Isa 37:29
Zab. 66:8Kum 32:43; Ro 15:10
Zab. 66:91Sa 25:29
Zab. 66:91Sa 2:9; Zb 121:3
Zab. 66:10Kum 8:2
Zab. 66:13Hes 15:3
Zab. 66:13Zb 56:12; 116:14; Mhu 5:4, 5
Zab. 66:14Hes 30:2; Amu 11:35
Zab. 66:16Zb 22:24
Zab. 66:18Ayu 27:8, 9; Met 15:29; 28:9; Isa 1:15; Yoh 9:31
Zab. 66:19Zb 34:6; 65:2; 116:1; 1Yo 3:22
Zab. 66:19Ebr 5:7
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 66:1-20

Zaburi

Kwa kiongozi. Wimbo. Muziki.

66 Mpazieni Mungu sauti ya ushindi, dunia yote.+

 2 Liimbieni sifa* jina lake tukufu.

Tukuzeni sifa yake.+

 3 Mwambieni Mungu: “Kazi zako zinaogopesha kwelikweli!+

Kwa sababu ya nguvu zako nyingi,

Maadui wako watajikunyata mbele zako.+

 4 Dunia yote itakuinamia;+

Watakuimbia sifa;

Wataliimbia sifa jina lako.”+ (Sela)

 5 Njooni mwone kazi za Mungu.

Mambo aliyowatendea wanadamu yanaogopesha.+

 6 Aliigeuza bahari kuwa nchi kavu;+

Walivuka mto kwa miguu.+

Huko tulishangilia kwa sababu yake.+

 7 Anatawala milele+ kwa nguvu zake.

Macho yake yanachunguza mataifa.+

Wale ambao ni wakaidi hawapaswi kujikweza.+ (Sela)

 8 Msifuni Mungu wetu, enyi mataifa,+

Sauti ya sifa yake na isikiwe.

 9 Yeye hutuhifadhi hai;*+

Haruhusu miguu yetu ijikwae.*+

10 Kwa maana umetuchunguza, Ee Mungu;+

Umetusafisha kama fedha inavyosafishwa.

11 Ulituingiza katika wavu wa kuwindia;

Ulitutwika mzigo mzito.*

12 Ulimruhusu mwanadamu anayeweza kufa apande juu yetu;*

Tulipita motoni na katika maji;

Kisha ukatuleta mahali penye kitulizo.

13 Nitaingia katika nyumba yako nikiwa na dhabihu nzima za kuteketezwa;+

Nitatimiza nadhiri zangu kwako+

14 Ambazo midomo yangu iliahidi+

Na kinywa changu kilisema nilipokuwa katika taabu.

15 Nitakutolea dhabihu za kuteketezwa za wanyama waliononeshwa

Pamoja na moshi wa dhabihu za kondoo dume.

Nitatoa ng’ombe dume pamoja na mbuzi dume. (Sela)

16 Njooni msikilize, ninyi nyote mnaomwogopa Mungu,

Nami nitawaambia mambo aliyonitendea.+

17 Nilimwita kwa kinywa changu

Na kumtukuza kwa ulimi wangu.

18 Ikiwa nilihifadhi moyoni mwangu jambo lolote linalodhuru,

Yehova hangenisikia.+

19 Lakini Mungu alinisikia;+

Aliisikiliza sala yangu.+

20 Asifiwe Mungu, ambaye hakukataa sala yangu

Wala kuninyima upendo wake mshikamanifu.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki