Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 57
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Mtu mwadilifu na watu washikamanifu waangamia (1, 2)

      • Ukahaba wa kiroho wa Israeli wafunuliwa (3-13)

      • Faraja kwa watu wa hali ya chini (14-21)

        • Waovu ni kama bahari iliyochafuka (20)

        • Hakuna amani kwa waovu (21)

Isaya 57:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, katika kifo.

  • *

    Au labda, “Kutokana na.”

Marejeo

  • +Mik 7:2

Isaya 57:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, kaburini.

Isaya 57:4

Marejeo

  • +Isa 1:4; 30:9

Isaya 57:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “makorongo.”

Marejeo

  • +Isa 1:29
  • +Kum 12:2; 1Fa 14:22, 23
  • +2Fa 16:1, 3; Yer 7:31

Isaya 57:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “korongoni.”

  • *

    Au “Je, nijifariji.”

Marejeo

  • +Yer 3:9
  • +Yer 7:18

Isaya 57:7

Marejeo

  • +Yer 2:20; Eze 16:16; 23:17
  • +Eze 20:28

Isaya 57:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Huenda maneno hayo yanarejelea ibada ya sanamu.

Marejeo

  • +Eze 16:25, 33; 23:18

Isaya 57:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “mfalme.”

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

Isaya 57:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “huchoki.”

Isaya 57:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kuficha mambo.”

Marejeo

  • +Isa 30:9, 10; 59:3
  • +Isa 1:3; Yer 2:32; 9:3
  • +Isa 42:24, 25
  • +Zb 50:21

Isaya 57:12

Marejeo

  • +Isa 58:2
  • +Isa 66:3
  • +Yer 7:4; Mik 3:4

Isaya 57:13

Marejeo

  • +Amu 10:14; Isa 42:17
  • +Isa 56:6, 7; 66:20; Eze 20:40; Yoe 3:17

Isaya 57:14

Marejeo

  • +Isa 35:8; 40:3; 62:10

Isaya 57:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Anayekaa.”

Marejeo

  • +Mwa 21:33; Zb 90:2; Isa 40:28; 1Ti 1:17
  • +Kut 15:11; Lu 1:46, 49
  • +1Fa 8:27
  • +Zb 34:18; 147:3; Isa 61:1; 66:2

Isaya 57:16

Marejeo

  • +Zb 103:9; Mik 7:18
  • +Ayu 34:14, 15

Isaya 57:17

Marejeo

  • +Yer 6:13; 8:10
  • +Yer 3:14

Isaya 57:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kufidia kwa kumpa.”

Marejeo

  • +Yer 33:6; Ho. 14:4
  • +Isa 49:10
  • +Isa 12:1
  • +Isa 61:2; Omb 1:4

Isaya 57:19

Marejeo

  • +Isa 48:18; Efe 2:17

Isaya 57:21

Marejeo

  • +Met 13:9; Isa 3:11

Jumla

Isa. 57:1Mik 7:2
Isa. 57:4Isa 1:4; 30:9
Isa. 57:5Isa 1:29
Isa. 57:5Kum 12:2; 1Fa 14:22, 23
Isa. 57:52Fa 16:1, 3; Yer 7:31
Isa. 57:6Yer 3:9
Isa. 57:6Yer 7:18
Isa. 57:7Yer 2:20; Eze 16:16; 23:17
Isa. 57:7Eze 20:28
Isa. 57:8Eze 16:25, 33; 23:18
Isa. 57:11Isa 30:9, 10; 59:3
Isa. 57:11Isa 1:3; Yer 2:32; 9:3
Isa. 57:11Isa 42:24, 25
Isa. 57:11Zb 50:21
Isa. 57:12Isa 58:2
Isa. 57:12Isa 66:3
Isa. 57:12Yer 7:4; Mik 3:4
Isa. 57:13Amu 10:14; Isa 42:17
Isa. 57:13Isa 56:6, 7; 66:20; Eze 20:40; Yoe 3:17
Isa. 57:14Isa 35:8; 40:3; 62:10
Isa. 57:15Mwa 21:33; Zb 90:2; Isa 40:28; 1Ti 1:17
Isa. 57:15Kut 15:11; Lu 1:46, 49
Isa. 57:151Fa 8:27
Isa. 57:15Zb 34:18; 147:3; Isa 61:1; 66:2
Isa. 57:16Zb 103:9; Mik 7:18
Isa. 57:16Ayu 34:14, 15
Isa. 57:17Yer 6:13; 8:10
Isa. 57:17Yer 3:14
Isa. 57:18Yer 33:6; Ho. 14:4
Isa. 57:18Isa 49:10
Isa. 57:18Isa 12:1
Isa. 57:18Isa 61:2; Omb 1:4
Isa. 57:19Isa 48:18; Efe 2:17
Isa. 57:21Met 13:9; Isa 3:11
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 57:1-21

Isaya

57 Mwadilifu ameangamia,

Lakini hakuna yeyote anayetia jambo hilo moyoni.

Watu washikamanifu wanaondolewa,*+

Na hakuna mtu anayetambua kwamba mwadilifu ameondolewa

Kwa sababu ya* msiba.

 2 Yeye huingia katika amani.

Wanapumzika vitandani mwao,* wote wanaotembea kwa unyoofu.

 3 “Lakini ninyi karibieni,

Enyi wana wa mwanamke mlozi,

Ninyi watoto wa mzinzi na kahaba:

 4 Mnamkejeli nani?

Ni nani mnayemfungulia kinywa wazi na kumtolea ulimi?

Je, ninyi si watoto wa ukosaji,

Watoto wa udanganyifu,+

 5 Wale wanaowaka tamaa kati ya miti mikubwa,+

Chini ya kila mti wenye majani mengi,+

Wanaowachinja watoto kwenye mabonde,*+

Chini ya mipasuko ya majabali?

 6 Mawe laini ya bondeni* ndilo fungu lako.

Naam, hayo ndiyo fungu lako.+

Hata unayamiminia matoleo ya kinywaji na kutoa zawadi juu yake.+

Je, niridhike* na mambo hayo?

 7 Ulikitayarisha kitanda chako juu ya mlima mrefu ulioinuka,+

Nawe ukapanda huko ili kutoa dhabihu.+

 8 Uliweka ukumbusho wako nyuma ya mlango na nyuma ya mwimo wa mlango.

Uliniacha nawe ukajifunua;

Ulipanda huko na kukipanua kitanda chako.

Nawe ukafanya agano pamoja nao.

Ulipenda kulala nao kitandani mwao,+

Nawe ulikitazama kiungo cha kiume.*

 9 Ulishuka kwa Meleki* ukiwa na mafuta

Na ukiwa na manukato mengi.

Uliwatuma wajumbe wako mbali,

Hivi kwamba ukashuka Kaburini.*

10 Umejitaabisha ukifuata njia zako nyingi,

Lakini hukusema, ‘Hakuna matumaini!’

Ulipata nguvu mpya.

Ndiyo sababu hukati tamaa.*

11 Ulimhofu na kumwogopa nani

Hivi kwamba ukaanza kusema uwongo?+

Hukunikumbuka mimi.+

Hukutia jambo lolote moyoni mwako.+

Je, sijakaa kimya na kujiondoa?*+

Kwa hiyo hukuniogopa mimi.

12 Nitatangaza ‘uadilifu’ wako+ na kazi zako,+

Nazo hazitakunufaisha.+

13 Unapolilia msaada,

Sanamu ulizojikusanyia hazitakuokoa.+

Upepo utazipeperusha zote mbali sana,

Zitapeperushwa na pumzi tu,

Lakini yule anayenikimbilia atairithi nchi

Naye ataumiliki mlima wangu mtakatifu.+

14 Itasemwa, ‘Tengenezeni, tengenezeni barabara! Tayarisheni njia!+

Ondoeni kizuizi chochote katika njia ya watu wangu.’”

15 Kwa maana Yule Aliye Juu na Aliyetukuka Sana,

Anayeishi* milele+ na ambaye jina lake ni takatifu+ anasema hivi:

“Ninaishi mahali palipo juu na patakatifu,+

Lakini ninaishi pia na wale waliopondwa na wenye roho ya unyenyekevu,

Ili kuihuisha roho ya watu wa hali ya chini

Na kuuhuisha moyo wa wale wanaopondwa.+

16 Kwa maana sitawapinga milele

Wala kuwa na hasira daima;+

Kwa sababu roho ya mwanadamu itadhoofika kwa sababu yangu,+

Hata viumbe wanaopumua ambao niliwaumba.

17 Nilikasirika kwa sababu alitenda dhambi kwa kufuatilia faida isiyo ya haki,+

Basi nikampiga, nikauficha uso wangu, nami nikashikwa na hasira.

Lakini aliendelea kuwa mwasi+ akifuata njia ya moyo wake.

18 Nimeziona njia zake,

Lakini nitamponya+ na kumwongoza+

Na kumrudishia* faraja yeye+ na watu wake wanaoomboleza.”+

19 “Ninaumba matunda ya midomo.

Yule aliye mbali sana atapewa amani ya kudumu na pia yule aliye karibu,”+ asema Yehova,

“Nami nitamponya.”

20 “Lakini waovu ni kama bahari iliyochafuka ambayo haiwezi kutulia,

Na maji yake yanaendelea kurusharusha juu magugu ya baharini na matope.

21 Hakuna amani kwa waovu,”+ asema Mungu wangu.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki