Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 48
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Watu wa Israeli wakemewa na kusafishwa (1-11)

      • Yehova atachukua hatua dhidi ya Babiloni (12-16a)

      • Mafundisho ya Mungu ni yenye faida (16b-19)

      • “Tokeni Babiloni!” (20-22)

Isaya 48:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “mnaotoka Yuda.”

Marejeo

  • +Mwa 32:28
  • +Kum 6:13
  • +Law 19:12; Sef 1:4, 5

Isaya 48:2

Marejeo

  • +Isa 52:1
  • +Yer 21:1, 2

Isaya 48:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “awali.”

Marejeo

  • +Isa 42:9
  • +Yos 21:45; Isa 55:10, 11

Isaya 48:4

Marejeo

  • +Kut 32:9; 2Fa 17:13, 14; 2Nya 36:15, 16; Zb 78:8; Eze 3:7

Isaya 48:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “sanamu yangu ya kuyeyushwa.”

Isaya 48:6

Marejeo

  • +Isa 43:10
  • +Isa 42:9; 65:17

Isaya 48:8

Marejeo

  • +Isa 29:10
  • +Yer 5:11; 9:2
  • +Kum 9:7; Zb 95:10

Isaya 48:9

Marejeo

  • +1Sa 12:22; Zb 25:11; 79:9; Yer 14:7
  • +Ne 9:30, 31; Zb 78:38

Isaya 48:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nimekuchunguza.” Au labda, “Nimekuchagua.”

Marejeo

  • +Met 17:3
  • +Isa 1:25; Yer 9:7

Isaya 48:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sishiriki utukufu wangu na yeyote.”

Marejeo

  • +Isa 48:9
  • +Eze 20:9

Isaya 48:12

Marejeo

  • +Isa 43:13; 46:4
  • +Isa 44:6; Ufu 1:8; 22:13

Isaya 48:13

Marejeo

  • +Ayu 38:4
  • +Isa 40:22; 42:5

Isaya 48:14

Marejeo

  • +Isa 45:1
  • +Isa 44:28
  • +Isa 13:19; Yer 50:13

Isaya 48:15

Marejeo

  • +Isa 41:2
  • +Isa 45:5

Isaya 48:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “pamoja na.”

Marejeo

  • +Isa 45:19

Isaya 48:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kwa faida yako.”

Marejeo

  • +Isa 43:14; 44:6; 54:5
  • +1Fa 8:36; Zb 25:8; Isa 54:13; Mik 4:2
  • +Zb 32:8; Isa 30:20, 21; 49:10

Isaya 48:18

Marejeo

  • +Kum 5:29; Zb 81:13, 14
  • +Zb 119:165; Isa 32:18; 66:12
  • +Amo 5:23, 24

Isaya 48:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Mbegu yako ingekuwa nyingi.”

Marejeo

  • +Mwa 22:15, 17; Yer 33:22; Ho. 1:10

Isaya 48:20

Marejeo

  • +Yer 50:8; Ufu 18:4
  • +Isa 49:13
  • +Yer 50:2
  • +Yer 31:10, 11

Isaya 48:21

Marejeo

  • +Kut 15:24, 25; Kum 8:14, 15; Isa 43:19
  • +Kut 17:5, 6; Hes 20:11

Isaya 48:22

Marejeo

  • +Isa 57:20, 21

Jumla

Isa. 48:1Mwa 32:28
Isa. 48:1Kum 6:13
Isa. 48:1Law 19:12; Sef 1:4, 5
Isa. 48:2Isa 52:1
Isa. 48:2Yer 21:1, 2
Isa. 48:3Isa 42:9
Isa. 48:3Yos 21:45; Isa 55:10, 11
Isa. 48:4Kut 32:9; 2Fa 17:13, 14; 2Nya 36:15, 16; Zb 78:8; Eze 3:7
Isa. 48:6Isa 43:10
Isa. 48:6Isa 42:9; 65:17
Isa. 48:8Isa 29:10
Isa. 48:8Yer 5:11; 9:2
Isa. 48:8Kum 9:7; Zb 95:10
Isa. 48:91Sa 12:22; Zb 25:11; 79:9; Yer 14:7
Isa. 48:9Ne 9:30, 31; Zb 78:38
Isa. 48:10Met 17:3
Isa. 48:10Isa 1:25; Yer 9:7
Isa. 48:11Isa 48:9
Isa. 48:11Eze 20:9
Isa. 48:12Isa 43:13; 46:4
Isa. 48:12Isa 44:6; Ufu 1:8; 22:13
Isa. 48:13Ayu 38:4
Isa. 48:13Isa 40:22; 42:5
Isa. 48:14Isa 45:1
Isa. 48:14Isa 44:28
Isa. 48:14Isa 13:19; Yer 50:13
Isa. 48:15Isa 41:2
Isa. 48:15Isa 45:5
Isa. 48:16Isa 45:19
Isa. 48:17Isa 43:14; 44:6; 54:5
Isa. 48:171Fa 8:36; Zb 25:8; Isa 54:13; Mik 4:2
Isa. 48:17Zb 32:8; Isa 30:20, 21; 49:10
Isa. 48:18Kum 5:29; Zb 81:13, 14
Isa. 48:18Zb 119:165; Isa 32:18; 66:12
Isa. 48:18Amo 5:23, 24
Isa. 48:19Mwa 22:15, 17; Yer 33:22; Ho. 1:10
Isa. 48:20Yer 50:8; Ufu 18:4
Isa. 48:20Isa 49:13
Isa. 48:20Yer 50:2
Isa. 48:20Yer 31:10, 11
Isa. 48:21Kut 15:24, 25; Kum 8:14, 15; Isa 43:19
Isa. 48:21Kut 17:5, 6; Hes 20:11
Isa. 48:22Isa 57:20, 21
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 48:1-22

Isaya

48 Sikieni hili, enyi watu wa nyumba ya Yakobo,

Ninyi mnaojiita kwa jina la Israeli+

Na ambao mmetoka katika maji ya Yuda,*

Ninyi mnaoapa kwa jina la Yehova+

Na mnaomwitia Mungu wa Israeli,

Ingawa si katika kweli na uadilifu.+

 2 Kwa maana wanajiita kwa jina la jiji takatifu+

Na kutafuta msaada wa Mungu wa Israeli,+

Ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi.

 3 “Mambo ya kwanza* niliwaambia zamani za kale.

Yalitoka kinywani mwangu,

Nami niliyatangaza.+

Kwa ghafla nilichukua hatua, nayo yakatokea.+

 4 Kwa sababu nilijua jinsi ulivyo mkaidi

—Kwamba shingo yako ni kano ya chuma na paji la uso wako ni shaba+—

 5 Nilikuambia zamani za kale.

Kabla halijatukia, nilikufanya ulisikie,

Hivi kwamba hungeweza kusema, ‘Sanamu yangu ilifanya hivi;

Sanamu yangu ya kuchongwa na sanamu yangu ya chuma* ziliamuru jambo hili.’

 6 Umesikia na kuona mambo haya yote.

Je, hutayatangaza?+

Kuanzia sasa na kuendelea ninakutangazia mambo mapya,+

Siri zilizofichwa ambazo hujazijua.

 7 Ni sasa yanapoumbwa, si zamani za kale,

Mambo ambayo kabla ya leo hukuwahi kuyasikia,

Hivi kwamba huwezi kusema, ‘Tazama! Tayari ninayajua.’

 8 Hapana, hujasikia,+ hujajua,

Na zamani masikio yako hayakuwa yamefunguliwa.

Kwa maana ninajua kwamba wewe ni mwenye hila sana,+

Nawe umeitwa mkosaji tangu ulipozaliwa.+

 9 Lakini kwa sababu ya jina langu nitaizuia hasira yangu;+

Kwa ajili ya sifa yangu mwenyewe nitajizuia,

Nami sitakuangamiza.+

10 Tazama! Nimekusafisha, lakini si kama fedha.+

Nimekujaribu* katika tanuru la kuyeyushia la mateso.+

11 Nitatenda kwa ajili yangu mwenyewe, kwa ajili yangu mwenyewe nitatenda,+

Ninawezaje kukubali nitiwe unajisi?+

Simpi yeyote utukufu wangu.*

12 Nisikilize mimi, Ee Yakobo, na Israeli, ambaye nimemwita.

Mimi ni yuleyule.+ Mimi ndiye wa kwanza; mimi pia ndiye wa mwisho.+

13 Mkono wangu mwenyewe uliuweka msingi wa dunia,+

Na mkono wangu wa kuume ulizitandaza mbingu.+

Ninapoziita, zinasimama pamoja.

14 Kusanyikeni pamoja, ninyi nyote, msikilize.

Ni nani kati yao ameyatangaza mambo haya?

Yehova amempenda.+

Atatekeleza mapenzi yake dhidi ya Babiloni,+

Na mkono wake utawashambulia Wakaldayo.+

15 Mimi mwenyewe nimesema, nami nimemwita.+

Nimemleta, na njia yake itafanikiwa.+

16 Nikaribieni, msikie jambo hili.

Tangu mwanzoni kabisa sijasema kwa siri.+

Tangu lilipotokea nilikuwapo.”

Na sasa Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amenituma, na* roho yake.

17 Yehova, Mkombozi wako, Mtakatifu wa Israeli,+ anasema hivi:

“Mimi, Yehova, ni Mungu wako,

Ninayekufundisha ili ujifaidi mwenyewe,*+

Ninayekuongoza katika njia unayopaswa kutembea.+

18 Laiti ungesikiliza amri zangu!+

Ndipo amani yako ingekuwa kama mto+

Na uadilifu wako kama mawimbi ya bahari.+

19 Uzao wako ungekuwa mwingi* kama mchanga

Na wazao wako kama chembe zake.+

Jina lao halingefutiliwa mbali kamwe wala kuangamizwa kutoka mbele zangu.”

20 Tokeni Babiloni!+

Kimbieni kutoka kwa Wakaldayo!

Litangazeni kwa vigelegele vya shangwe! Litangazeni!+

Lijulisheni mpaka kwenye miisho ya dunia.+

Semeni: “Yehova amemkomboa mtumishi wake Yakobo.+

21 Hawakupata kiu alipowaongoza katika maeneo yaliyoharibiwa.+

Alifanya maji yatiririke kutoka kwenye mwamba kwa ajili yao;

Aliupasua mwamba maji yakabubujika.”+

22 “Hakuna amani kwa waovu,”+ asema Yehova.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki