Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 56
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Sala ya mtu anayeteswa

        • “Katika Mungu ninaweka tumaini langu” (4)

        • “Machozi yangu katika kiriba chako cha ngozi” (8)

        • “Mwanadamu ambaye ni duni tu atanifanya nini?” (4, 11)

Zaburi 56:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +1Sa 21:10

Zaburi 56:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anataka kuning’ata.”

Zaburi 56:3

Marejeo

  • +1Sa 21:12
  • +Zb 18:2

Zaburi 56:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Mwili wa nyama utanifanya.”

Marejeo

  • +Zb 27:1; 56:10, 11; Ro 8:31; Ebr 13:6

Zaburi 56:5

Marejeo

  • +Yer 18:18

Zaburi 56:6

Marejeo

  • +Lu 20:20
  • +Zb 59:3; 71:10

Zaburi 56:7

Marejeo

  • +Yer 18:23

Zaburi 56:8

Marejeo

  • +1Sa 27:1
  • +Zb 39:12
  • +Mal 3:16

Zaburi 56:9

Marejeo

  • +Zb 18:40
  • +Ro 8:31

Zaburi 56:11

Marejeo

  • +Zb 27:1
  • +Zb 56:4; Isa 51:7, 12

Zaburi 56:12

Marejeo

  • +Hes 30:2; Mhu 5:4
  • +Zb 50:23

Zaburi 56:13

Marejeo

  • +2Ko 1:10
  • +Zb 94:18; 116:8
  • +Ayu 33:29, 30

Jumla

Zab. 56:utangulizi1Sa 21:10
Zab. 56:31Sa 21:12
Zab. 56:3Zb 18:2
Zab. 56:4Zb 27:1; 56:10, 11; Ro 8:31; Ebr 13:6
Zab. 56:5Yer 18:18
Zab. 56:6Lu 20:20
Zab. 56:6Zb 59:3; 71:10
Zab. 56:7Yer 18:23
Zab. 56:81Sa 27:1
Zab. 56:8Zb 39:12
Zab. 56:8Mal 3:16
Zab. 56:9Zb 18:40
Zab. 56:9Ro 8:31
Zab. 56:11Zb 27:1
Zab. 56:11Zb 56:4; Isa 51:7, 12
Zab. 56:12Hes 30:2; Mhu 5:4
Zab. 56:12Zb 50:23
Zab. 56:132Ko 1:10
Zab. 56:13Zb 94:18; 116:8
Zab. 56:13Ayu 33:29, 30
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 56:1-13

Zaburi

Kwa kiongozi; umepatanishwa na mtindo wa “Njiwa Mnyamavu Aliye Mbali.” Wa Daudi. Miktamu.* Wafilisti walipomkamata kule Gathi.+

56 Nionyeshe kibali, Ee Mungu, kwa sababu mwanadamu anayeweza kufa ananishambulia.*

Mchana kutwa wanaendelea kunipiga vita na kunikandamiza.

 2 Maadui wangu wanajaribu mchana kutwa kuning’ata;

Wengi wanapigana nami kwa kiburi.

 3 Ninapoogopa,+ ninakutumaini wewe.+

 4 Katika Mungu—ninayelisifu neno lake—

Katika Mungu ninaweka tumaini langu; siogopi.

Mwanadamu ambaye ni duni tu atanifanya* nini?+

 5 Mchana kutwa wanavuruga mambo yangu;

Jambo pekee wanalowazia ni kunidhuru.+

 6 Wanajificha ili wanishambulie,

Wanachunguza kila hatua yangu,+

Wakikusudia kuuondoa uhai wangu.+

 7 Wakatae kwa sababu ya uovu wao.

Yaangushe mataifa kwa hasira yako, Ee Mungu.+

 8 Unafuatia kutangatanga kwangu.+

Yakusanye machozi yangu katika kiriba chako cha ngozi.+

Je, hayajaandikwa katika kitabu chako?+

 9 Maadui wangu watakimbia siku nitakayoomba msaada.+

Nina hakika kuhusu jambo hili: Mungu yuko upande wangu.+

10 Katika Mungu—ninayelisifu neno lake—

Katika Yehova—ninayelisifu neno lake—

11 Katika Mungu ninaweka tumaini langu; siogopi.+

Mwanadamu ambaye ni duni tu atanifanya nini?+

12 Nimefungwa na nadhiri nilizokuwekea, Ee Mungu;+

Nitakutolea matoleo ya shukrani.+

13 Kwa maana umeniokoa kutoka katika kifo+

Na kuizuia miguu yangu isijikwae,+

Ili nitembee mbele za Mungu katika nuru ya walio hai.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki