Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 41
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Isaya—Yaliyomo

      • Mshindi kutoka mashariki (1-7)

      • Israeli achaguliwa kuwa mtumishi wa Mungu (8-20)

        • “Rafiki yangu Abrahamu” (8)

      • Miungu mingine yajaribiwa (21-29)

Isaya 41:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nyamazeni mbele zangu.”

Marejeo

  • +Isa 41:21

Isaya 41:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “upande wa mapambazuko ya jua.”

  • *

    Yaani, ili amtumikie Yeye.

Marejeo

  • +Isa 44:28; 46:11; Ufu 16:12
  • +Isa 45:1

Isaya 41:4

Marejeo

  • +Isa 43:10; 44:6; 48:12; Ufu 1:8
  • +Isa 46:4; Mal 3:6; Yak 1:17

Isaya 41:7

Marejeo

  • +Isa 44:12; 46:6

Isaya 41:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Mbegu ya.”

Marejeo

  • +Kut 19:5, 6; Law 25:42
  • +Kum 7:6; Zb 33:12
  • +2Nya 20:7; Yak 2:23

Isaya 41:9

Marejeo

  • +Zb 107:2, 3
  • +Isa 43:10
  • +1Sa 12:22; Yer 33:25, 26

Isaya 41:10

Marejeo

  • +Kum 20:1; Zb 46:1; Ro 8:31
  • +Isa 60:19, 20
  • +Kum 33:27; Zb 115:9

Isaya 41:11

Marejeo

  • +Isa 45:24
  • +Isa 40:17; 60:12

Isaya 41:12

Marejeo

  • +Isa 54:17

Isaya 41:13

Marejeo

  • +Kum 33:29

Isaya 41:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, mtu wa hali ya chini asiye na ulinzi.

Marejeo

  • +Kum 7:7
  • +Isa 43:14; 47:4

Isaya 41:15

Marejeo

  • +Mik 4:13

Isaya 41:16

Marejeo

  • +Isa 25:9
  • +Isa 12:6

Isaya 41:17

Marejeo

  • +Kum 28:48; Amo 8:11
  • +Isa 30:19; 55:1
  • +Zb 94:14; Isa 42:16; Ebr 13:5

Isaya 41:18

Marejeo

  • +Isa 30:25
  • +Yoe 3:18
  • +Zb 107:35

Isaya 41:19

Marejeo

  • +Isa 32:14, 15; 60:21
  • +Isa 51:3; 55:13

Isaya 41:20

Marejeo

  • +Eze 39:28

Isaya 41:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kwanza.”

  • *

    Au “tuyaelekezee moyo wetu.”

Marejeo

  • +Isa 42:9; 46:9, 10; 48:5

Isaya 41:23

Marejeo

  • +Isa 44:6, 7
  • +Yer 10:5

Isaya 41:24

Marejeo

  • +Isa 44:10; Yer 10:14, 15
  • +Kum 7:26; 27:15; Zb 115:4, 8

Isaya 41:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mashariki.”

  • *

    Au “watawala wasaidizi.”

Marejeo

  • +Isa 44:28; 45:1; Yer 51:28, 29
  • +Isa 46:11; Ufu 16:12
  • +Mik 7:10

Isaya 41:26

Marejeo

  • +Isa 43:9; 44:7; 45:21
  • +Hab 2:18, 19

Isaya 41:27

Marejeo

  • +Isa 43:10
  • +Ezr 1:1, 2; Isa 40:9

Isaya 41:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kitu kisichokuwepo.”

  • *

    Au “Sanamu zao za kuyeyushwa.”

Marejeo

  • +Zb 115:4-8; Isa 44:9; 1Ko 8:4

Jumla

Isa. 41:1Isa 41:21
Isa. 41:2Isa 44:28; 46:11; Ufu 16:12
Isa. 41:2Isa 45:1
Isa. 41:4Isa 43:10; 44:6; 48:12; Ufu 1:8
Isa. 41:4Isa 46:4; Mal 3:6; Yak 1:17
Isa. 41:7Isa 44:12; 46:6
Isa. 41:8Kut 19:5, 6; Law 25:42
Isa. 41:8Kum 7:6; Zb 33:12
Isa. 41:82Nya 20:7; Yak 2:23
Isa. 41:9Zb 107:2, 3
Isa. 41:9Isa 43:10
Isa. 41:91Sa 12:22; Yer 33:25, 26
Isa. 41:10Kum 20:1; Zb 46:1; Ro 8:31
Isa. 41:10Isa 60:19, 20
Isa. 41:10Kum 33:27; Zb 115:9
Isa. 41:11Isa 45:24
Isa. 41:11Isa 40:17; 60:12
Isa. 41:12Isa 54:17
Isa. 41:13Kum 33:29
Isa. 41:14Kum 7:7
Isa. 41:14Isa 43:14; 47:4
Isa. 41:15Mik 4:13
Isa. 41:16Isa 25:9
Isa. 41:16Isa 12:6
Isa. 41:17Kum 28:48; Amo 8:11
Isa. 41:17Isa 30:19; 55:1
Isa. 41:17Zb 94:14; Isa 42:16; Ebr 13:5
Isa. 41:18Isa 30:25
Isa. 41:18Yoe 3:18
Isa. 41:18Zb 107:35
Isa. 41:19Isa 32:14, 15; 60:21
Isa. 41:19Isa 51:3; 55:13
Isa. 41:20Eze 39:28
Isa. 41:22Isa 42:9; 46:9, 10; 48:5
Isa. 41:23Isa 44:6, 7
Isa. 41:23Yer 10:5
Isa. 41:24Isa 44:10; Yer 10:14, 15
Isa. 41:24Kum 7:26; 27:15; Zb 115:4, 8
Isa. 41:25Isa 44:28; 45:1; Yer 51:28, 29
Isa. 41:25Isa 46:11; Ufu 16:12
Isa. 41:25Mik 7:10
Isa. 41:26Isa 43:9; 44:7; 45:21
Isa. 41:26Hab 2:18, 19
Isa. 41:27Isa 43:10
Isa. 41:27Ezr 1:1, 2; Isa 40:9
Isa. 41:29Zb 115:4-8; Isa 44:9; 1Ko 8:4
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Isaya 41:1-29

Isaya

41 “Nisikilizeni mkiwa kimya,* enyi visiwa;

Mataifa na yapate nguvu tena.

Na yakaribie; kisha yaongee.+

Na tukutane pamoja kwenye hukumu.

 2 Ni nani amemwinua mtu kutoka mashariki,*+

Akimwita katika uadilifu aje miguuni Pake,*

Ili amkabidhi mataifa

Na kumfanya awatiishe wafalme?+

Ambaye anawafanya wawe mavumbi mbele ya upanga wake,

Kama majani makavu yanayopeperushwa na upepo mbele ya upinde wake?

 3 Anawafuatia, anapita bila kuzuiwa

Kwenye njia ambazo miguu yake haijawahi kupita.

 4 Ni nani ametenda na kufanya jambo hili,

Kuviita vizazi tangu mwanzoni?

Mimi, Yehova, Ndiye wa Kwanza;+

Na kwa wale wa mwisho mimi ni yuleyule.”+

 5 Visiwa vimeona hivyo na kuogopa.

Miisho ya dunia ilianza kutetemeka.

Wanakaribia na kuja mbele.

 6 Kila mmoja anamsaidia mwenzake

Na kumwambia ndugu yake: “Uwe imara.”

 7 Kwa hiyo fundi anamwimarisha mfua chuma;+

Yule anayelainisha kwa nyundo ya chuma

Anamwimarisha yule agongaye kwenye fuawe.

Anasema hivi kuhusu lehemu: “Ni nzuri.”

Kisha inapigiliwa misumari ili isianguke.

 8 “Lakini wewe ni mtumishi wangu, Ee Israeli,+

Wewe niliyekuchagua, Ee Yakobo,+

Uzao wa* rafiki yangu Abrahamu,+

 9 Wewe, niliyekuchukua kutoka kwenye miisho ya dunia,+

Na wewe, niliyekuita kutoka sehemu zake za mbali zaidi.

Nilikuambia, ‘Wewe ni mtumishi wangu;+

Nimekuchagua wewe; sijakukataa.+

10 Usiogope, kwa maana mimi niko pamoja nawe.+

Usihangaike, kwa maana mimi ni Mungu wako.+

Nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia,+

Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume wa uadilifu.’

11 Tazama! Wale wote wanaowaka hasira dhidi yako wataaibishwa na kufedheheshwa.+

Wale wanaopigana nawe watafanywa kuwa si kitu na wataangamia.+

12 Utawatafuta watu wanaopambana nawe, lakini hutawapata;

Watu wanaopigana nawe watakuwa kama kitu kisichokuwepo, watakuwa si kitu kabisa.+

13 Kwa maana mimi, Yehova Mungu wako, ninaushika kwa nguvu mkono wako wa kulia,

Mimi ninayekuambia, ‘Usiogope. Nitakusaidia.’+

14 Usiogope, wewe mnyoo* Yakobo,+

Ninyi watu wa Israeli, nitawasaidia,” asema Yehova, Mkombozi wenu,+ Mtakatifu wa Israeli.

15 “Tazama! Nimekufanya uwe kifaa cha kupuria,+

Kifaa kipya cha kupuria chenye meno yenye makali pande mbili.

Utaikanyaga-kanyaga milima na kuipondaponda

Na kuvifanya vilima viwe kama makapi.

16 Utawapepeta,

Na upepo utawapeperusha mbali;

Dhoruba ya upepo itawatawanya.

Utashangilia katika Yehova,+

Nawe utajigamba katika Mtakatifu wa Israeli.”+

17 “Wenye uhitaji na maskini wanatafuta maji, lakini hayapo.

Ulimi wao umekauka kwa sababu ya kiu.+

Mimi, Yehova, nitawajibu.+

Mimi, Mungu wa Israeli, sitawaacha.+

18 Nitafanya mito itiririke kwenye vilima visivyo na kitu+

Na chemchemi katika mabonde tambarare.+

Nitaigeuza nyika kuwa dimbwi la maji lenye matete

Na nchi isiyo na maji kuwa chemchemi za maji.+

19 Nitapanda mwerezi jangwani,

Mshita na mhadasi na msonobari,+

Nitapanda mberoshi katika jangwa tambarare,

Pamoja na mtidhari na mvinje,+

20 Ili watu wote waone na kujua

Wakaze fikira na kuelewa

Kwamba mkono wa Yehova umetenda hayo,

Na Mtakatifu wa Israeli ameliumba jambo hilo.”+

21 “Leteni kesi yenu,” asema Yehova.

“Toeni hoja zenu,” asema Mfalme wa Yakobo.

22 “Leteni ushahidi na mtuambie mambo yatakayotendeka.

Tuambieni kuhusu mambo ya zamani,*

Ili tuyatafakari* na kujua matokeo yake

Au mtutangazie mambo yanayokuja.+

23 Tuambieni mambo yatakayotokea wakati ujao,

Ili tujue kwamba ninyi ni miungu.+

Naam, fanyeni jambo, zuri au baya,

Ili tushangae tutakapoliona.+

24 Tazameni! Ninyi ni kitu kisichokuwepo,

Na mafanikio yenu si kitu.+

Mtu yeyote anayewachagua ninyi anachukiza.+

25 Nimemwinua mtu kutoka kaskazini, naye atakuja,+

Kutoka upande wa mapambazuko ya jua,*+ atakayeliitia jina langu.

Atawakanyaga-kanyaga watawala* kana kwamba wao ni udongo,+

Kama mfinyanzi anayeukanyaga-kanyaga udongo wenye maji.

26 Ni nani aliyesema jambo hilo tangu mwanzoni, ili tulijue,

Au kutoka nyakati za zamani, ili tuseme, ‘Yeye anasema kweli’?+

Kwa kweli, hakuna mtu aliyelitangaza!

Hakuna mtu aliyelisema!

Hakuna mtu aliyesikia lolote kutoka kwenu!”+

27 Nilikuwa wa kwanza kumwambia Sayuni: “Tazama! Wako hapa!”+

Na kwa Yerusalemu nitamtuma mtu anayepeleka habari njema.+

28 Lakini niliendelea kutazama, na hapakuwa na mtu;

Hakukuwa na mtu yeyote kati yao ambaye angetoa ushauri.

Nami niliendelea kuwaomba wanijibu.

29 Tazameni! Wote ni udanganyifu.*

Kazi zao si kitu.

Sanamu zao za chuma* ni upepo na ubatili.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki