Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 55
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Sala ya mtu aliyesalitiwa na rafiki

        • Adhihakiwa na rafiki wa karibu (12-14)

        • “Mtupie Yehova mzigo wako” (22)

Zaburi 55:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Zaburi 55:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Na usijifiche ninaposali kukuomba msaada.”

Marejeo

  • +1Pe 3:12
  • +Zb 28:2; 143:7

Zaburi 55:2

Marejeo

  • +Zb 17:1
  • +Isa 38:14

Zaburi 55:3

Marejeo

  • +2Sa 16:5-7

Zaburi 55:4

Marejeo

  • +Zb 69:29
  • +Zb 18:4; 116:3; Isa 38:10

Zaburi 55:7

Marejeo

  • +2Sa 15:14
  • +1Sa 23:14

Zaburi 55:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ugawanye ndimi zao.”

Marejeo

  • +2Sa 15:31; 17:7

Zaburi 55:10

Marejeo

  • +2Sa 17:1

Zaburi 55:11

Marejeo

  • +Zb 109:2

Zaburi 55:12

Marejeo

  • +Zb 41:9; Mt 26:21; Yoh 13:18

Zaburi 55:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mwanadamu, mtu tunayelingana.”

Marejeo

  • +2Sa 15:12; 16:23
  • +Lu 22:21, 48

Zaburi 55:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +2Sa 17:23; 18:14; Zb 109:15; Mt 27:3, 5; Mdo 1:16, 18

Zaburi 55:16

Marejeo

  • +Zb 91:15

Zaburi 55:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nimevurugika.”

Marejeo

  • +Zb 119:147; Da 6:10
  • +Zb 5:3

Zaburi 55:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Atanikomboa.”

Marejeo

  • +2Nya 32:7; Zb 3:6

Zaburi 55:19

Marejeo

  • +Zb 143:12
  • +Kum 33:27; Zb 90:2
  • +Zb 36:1

Zaburi 55:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, rafiki yake wa zamani anayetajwa katika mstari wa 13 na 14.

Marejeo

  • +2Sa 15:12
  • +2Sa 5:3; Mhu 8:2

Zaburi 55:21

Marejeo

  • +2Sa 16:23
  • +Zb 28:3; 62:4

Zaburi 55:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ayumbeyumbe; apepesuke.”

Marejeo

  • +Zb 43:5; 1Pe 5:6, 7
  • +Zb 37:5; 68:19; Flp 4:6, 7
  • +Zb 37:23, 24; 62:2; 121:3

Zaburi 55:23

Marejeo

  • +Zb 55:15
  • +Zb 5:6; Met 10:27

Jumla

Zab. 55:11Pe 3:12
Zab. 55:1Zb 28:2; 143:7
Zab. 55:2Zb 17:1
Zab. 55:2Isa 38:14
Zab. 55:32Sa 16:5-7
Zab. 55:4Zb 69:29
Zab. 55:4Zb 18:4; 116:3; Isa 38:10
Zab. 55:72Sa 15:14
Zab. 55:71Sa 23:14
Zab. 55:92Sa 15:31; 17:7
Zab. 55:102Sa 17:1
Zab. 55:11Zb 109:2
Zab. 55:12Zb 41:9; Mt 26:21; Yoh 13:18
Zab. 55:132Sa 15:12; 16:23
Zab. 55:13Lu 22:21, 48
Zab. 55:152Sa 17:23; 18:14; Zb 109:15; Mt 27:3, 5; Mdo 1:16, 18
Zab. 55:16Zb 91:15
Zab. 55:17Zb 119:147; Da 6:10
Zab. 55:17Zb 5:3
Zab. 55:182Nya 32:7; Zb 3:6
Zab. 55:19Zb 143:12
Zab. 55:19Kum 33:27; Zb 90:2
Zab. 55:19Zb 36:1
Zab. 55:202Sa 15:12
Zab. 55:202Sa 5:3; Mhu 8:2
Zab. 55:212Sa 16:23
Zab. 55:21Zb 28:3; 62:4
Zab. 55:22Zb 43:5; 1Pe 5:6, 7
Zab. 55:22Zb 37:5; 68:19; Flp 4:6, 7
Zab. 55:22Zb 37:23, 24; 62:2; 121:3
Zab. 55:23Zb 55:15
Zab. 55:23Zb 5:6; Met 10:27
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 55:1-23

Zaburi

Kwa kiongozi; uimbwe kwa vinanda. Maskili.* Wa Daudi.

55 Sikiliza sala yangu, Ee Mungu,+

Na usiipuuze sala yangu ya kuomba rehema.*+

 2 Nisikilize na unijibu.+

Hangaiko langu linanisumbua,+

Nami nimefadhaika

 3 Kwa sababu ya mambo ambayo adui anasema

Na mkazo kutoka kwa mwovu.

Kwa maana wananirundikia taabu,

Na kwa hasira wana chuki kali kunielekea.+

 4 Moyo wangu una maumivu makali,+

Na hofu ya kifo inanilemea.+

 5 Hofu na kutetemeka hunijia,

Na woga hunishika.

 6 Daima ninasema: “Laiti ningekuwa na mabawa kama ya njiwa!

Ningeruka mbali na kukaa kwa usalama.

 7 Tazama! Ningekimbia na kwenda mbali sana.+

Ningekaa nyikani.+ (Sela)

 8 Ningeenda haraka mahali pa kujificha

Mbali na upepo mkali, mbali na dhoruba.”

 9 Wavuruge, Ee Yehova, na uvuruge mipango yao,*+

Kwa maana nimeona ukatili na mizozo jijini.

10 Usiku na mchana wanazunguka juu ya kuta zake;

Ndani yake kuna fitina na taabu.+

11 Uharibifu uko ndani yake;

Ukandamizaji na udanganyifu hauondoki kamwe katika uwanja wake.+

12 Kwa maana si adui anayenidhihaki;+

La sivyo ningevumilia.

Si adui aliyeinuka dhidi yangu;

La sivyo ningeweza kujificha.

13 Lakini ni wewe, mwanadamu kama mimi,*+

Rafiki yangu mwenyewe ninayemjua vizuri.+

14 Tulikuwa tukifurahia pamoja urafiki wa karibu sana;

Katika nyumba ya Mungu tulikuwa tukitembea pamoja na umati.

15 Na wapatwe na maangamizi!+

Na washuke Kaburini* wakiwa hai;

Kwa maana uovu hukaa miongoni mwao na ndani yao.

16 Lakini mimi, nitamlilia Mungu,

Na Yehova ataniokoa.+

17 Jioni na asubuhi na adhuhuri, ninahangaika na kulia kwa uchungu,*+

Naye huisikia sauti yangu.+

18 Ataniokoa* na kunipa amani mbali na wale wanaopigana nami,

Kwa maana umati huja kunishambulia.+

19 Mungu atasikia na kukabiliana nao,+

Yule anayeketi kwenye kiti cha ufalme tangu zamani.+ (Sela)

Watakataa kubadilika,

Wale ambao hawajamwogopa Mungu.+

20 Aliwashambulia* walio na amani pamoja naye;+

Alilivunja agano lake.+

21 Maneno yake ni laini kuliko siagi,+

Lakini mzozo umo moyoni mwake.

Maneno yake ni laini kuliko mafuta,

Lakini ni panga zilizochomolewa.+

22 Mtupie Yehova mzigo wako,+

Naye atakutegemeza.+

Hataruhusu kamwe mwadilifu aanguke.*+

23 Lakini wewe, Ee Mungu, utawashusha chini kwenye shimo lenye kina kabisa.+

Watu hao wenye hatia ya damu ambao ni wadanganyifu hawataishi nusu ya siku zao.+

Lakini mimi, nitakutumaini wewe.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki