Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 86
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Hakuna mungu aliye kama Yehova

        • Yehova yuko tayari kusamehe (5)

        • Mataifa yote yatamwabudu Yehova (9)

        • ‘Nifundishe kuhusu njia yako’ (11)

        • “Unganisha moyo wangu” (11)

Zaburi 86:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Inama chini na unisikilize.”

Marejeo

  • +Zb 34:6; Isa 66:2

Zaburi 86:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Ilinde nafsi yangu.”

Marejeo

  • +Zb 37:28
  • +2Nya 16:9

Zaburi 86:3

Marejeo

  • +Zb 57:1
  • +Zb 25:5

Zaburi 86:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ninakuinulia wewe nafsi yangu.”

Zaburi 86:5

Marejeo

  • +Zb 25:8; 145:9; Lu 18:19
  • +Isa 55:7; Mik 7:18
  • +Zb 130:7

Zaburi 86:6

Marejeo

  • +Zb 17:1

Zaburi 86:7

Marejeo

  • +Zb 18:6
  • +Zb 116:1

Zaburi 86:8

Marejeo

  • +Kut 15:11; Zb 96:5; 1Ko 8:5, 6
  • +Kum 3:24; Zb 104:24

Zaburi 86:9

Marejeo

  • +Isa 2:2, 3; Zek 14:9; Ufu 7:9, 10
  • +Ufu 15:4

Zaburi 86:10

Marejeo

  • +Zb 72:18; Da 6:27
  • +Kum 6:4; Zb 83:18; Isa 44:6; 1Ko 8:4

Zaburi 86:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nipe moyo ambao haujagawanyika.”

Marejeo

  • +Zb 27:11; 119:33; 143:8; Isa 54:13
  • +Zb 43:3
  • +Mhu 12:13; Yer 32:39

Zaburi 86:12

Marejeo

  • +Mt 22:37

Zaburi 86:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “umeiokoa nafsi yangu.”

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Ayu 33:28; Zb 56:13; 116:8

Zaburi 86:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wanaitafuta nafsi yangu.”

  • *

    Au “hawajakuweka mbele yao.”

Marejeo

  • +2Sa 15:12
  • +Zb 10:4; 54:3

Zaburi 86:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “neema.”

  • *

    Au “kweli.”

Marejeo

  • +Kut 34:6; Ne 9:17; Yon 4:2

Zaburi 86:16

Marejeo

  • +Zb 25:16
  • +Zb 28:7

Zaburi 86:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “uthibitisho wa.”

Jumla

Zab. 86:1Zb 34:6; Isa 66:2
Zab. 86:2Zb 37:28
Zab. 86:22Nya 16:9
Zab. 86:3Zb 57:1
Zab. 86:3Zb 25:5
Zab. 86:5Zb 25:8; 145:9; Lu 18:19
Zab. 86:5Isa 55:7; Mik 7:18
Zab. 86:5Zb 130:7
Zab. 86:6Zb 17:1
Zab. 86:7Zb 18:6
Zab. 86:7Zb 116:1
Zab. 86:8Kut 15:11; Zb 96:5; 1Ko 8:5, 6
Zab. 86:8Kum 3:24; Zb 104:24
Zab. 86:9Isa 2:2, 3; Zek 14:9; Ufu 7:9, 10
Zab. 86:9Ufu 15:4
Zab. 86:10Zb 72:18; Da 6:27
Zab. 86:10Kum 6:4; Zb 83:18; Isa 44:6; 1Ko 8:4
Zab. 86:11Zb 27:11; 119:33; 143:8; Isa 54:13
Zab. 86:11Zb 43:3
Zab. 86:11Mhu 12:13; Yer 32:39
Zab. 86:12Mt 22:37
Zab. 86:13Ayu 33:28; Zb 56:13; 116:8
Zab. 86:142Sa 15:12
Zab. 86:14Zb 10:4; 54:3
Zab. 86:15Kut 34:6; Ne 9:17; Yon 4:2
Zab. 86:16Zb 25:16
Zab. 86:16Zb 28:7
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 86:1-17

Zaburi

Sala ya Daudi.

86 Tega sikio lako,* Ee Yehova, nawe unijibu,

Kwa maana ninateseka nami ni maskini.+

 2 Ulinde uhai wangu,* kwa maana mimi ni mshikamanifu.+

Mwokoe mtumishi wako anayekutumaini,

Kwa maana wewe ni Mungu wangu.+

 3 Nionyeshe kibali, Ee Yehova,+

Kwa maana ninakulilia wewe mchana kutwa.+

 4 Mfanye mtumishi wako ashangilie,

Kwa maana ninakugeukia wewe,* Ee Yehova.

 5 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ni mwema+ na uko tayari kusamehe;+

Una upendo mwingi mshikamanifu kwa wote wanaokuitia.+

 6 Ee Yehova, sikiliza sala yangu;

Na usikilize sihi zangu za kuomba msaada.+

 7 Ninakuitia wewe katika siku ninayotaabika,+

Kwa maana utanijibu.+

 8 Hakuna yeyote aliye kama wewe kati ya miungu, Ee Yehova,+

Hakuna kazi zilizo kama kazi zako.+

 9 Mataifa yote uliyoyaumba

Yatakuja na kuinama mbele zako, Ee Yehova,+

Nayo yatalitukuza jina lako.+

10 Kwa maana wewe ni mkuu, nawe unafanya mambo yanayostaajabisha;+

Wewe ni Mungu, wewe peke yako.+

11 Nifundishe, Ee Yehova, kuhusu njia yako.+

Nitatembea katika kweli yako.+

Unganisha moyo wangu* ili niliogope jina lako.+

12 Ninakusifu, Ee Yehova Mungu wangu, kwa moyo wangu wote,+

Nami nitalitukuza jina lako milele,

13 Kwa maana upendo wako mshikamanifu ni mkuu kwangu,

Nawe umeuokoa uhai wangu* kutoka katika vina vya Kaburi.*+

14 Ee Mungu, watu wenye kimbelembele wanainuka dhidi yangu;+

Kundi la wanaume wakatili wanataka kuniua,*

Nao hawakuheshimu kamwe.*+

15 Lakini wewe, Ee Yehova, ni Mungu mwenye rehema na huruma,*

Si mwepesi wa hasira, nawe una upendo mwingi mshikamanifu na uaminifu.*+

16 Nigeukie na kunionyesha kibali.+

Mpe mtumishi wako nguvu zako,+

Na umwokoe mwana wa kijakazi wako.

17 Nionyeshe ishara ya* wema wako,

Ili wale wanaonichukia waione na kuaibika.

Kwa maana wewe, Ee Yehova, ni msaidizi wangu na mfariji wangu.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki