Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 147
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Kuzisifu kazi za Mungu za upendo na zenye nguvu

        • Huwaponya waliovunjika moyo (3)

        • Huziita nyota zote kwa majina (4)

        • Hutoa theluji kama sufu (16)

Zaburi 147:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Haleluya!” “Yah” ni ufupisho wa jina Yehova.

  • *

    Au “kumpigia muziki.”

Marejeo

  • +Zb 135:3

Zaburi 147:2

Marejeo

  • +Zb 102:16
  • +Kum 30:1-3; Eze 36:24

Zaburi 147:4

Marejeo

  • +Isa 40:26

Zaburi 147:5

Marejeo

  • +Nah 1:3
  • +Isa 40:28; Ro 11:33

Zaburi 147:6

Marejeo

  • +Zb 37:11

Zaburi 147:8

Marejeo

  • +1Fa 18:45; Yer 14:22; Mt 5:45
  • +Ayu 38:25-27; Isa 30:23

Zaburi 147:9

Marejeo

  • +Zb 136:25
  • +Ayu 38:41; Lu 12:24

Zaburi 147:10

Marejeo

  • +Isa 31:1; Ho. 1:7
  • +1Sa 16:7

Zaburi 147:11

Marejeo

  • +Mal 3:16
  • +Zb 33:18

Zaburi 147:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mafuta ya ngano.”

Marejeo

  • +Law 26:6; Isa 60:17
  • +Kum 8:7, 8; Zb 132:14, 15

Zaburi 147:16

Marejeo

  • +Ayu 37:6
  • +Ayu 38:29

Zaburi 147:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Huitupa chini barafu yake.”

Marejeo

  • +Yos 10:11
  • +Ayu 37:10

Zaburi 147:18

Marejeo

  • +Zb 148:8

Zaburi 147:19

Marejeo

  • +Kum 4:5

Zaburi 147:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Haleluya!” “Yah” ni ufupisho wa jina Yehova.

Marejeo

  • +Kut 19:5; 31:16, 17; Kum 4:8; 1Nya 17:21; Ro 3:1, 2
  • +Ufu 19:6

Jumla

Zab. 147:1Zb 135:3
Zab. 147:2Zb 102:16
Zab. 147:2Kum 30:1-3; Eze 36:24
Zab. 147:4Isa 40:26
Zab. 147:5Nah 1:3
Zab. 147:5Isa 40:28; Ro 11:33
Zab. 147:6Zb 37:11
Zab. 147:81Fa 18:45; Yer 14:22; Mt 5:45
Zab. 147:8Ayu 38:25-27; Isa 30:23
Zab. 147:9Zb 136:25
Zab. 147:9Ayu 38:41; Lu 12:24
Zab. 147:10Isa 31:1; Ho. 1:7
Zab. 147:101Sa 16:7
Zab. 147:11Mal 3:16
Zab. 147:11Zb 33:18
Zab. 147:14Law 26:6; Isa 60:17
Zab. 147:14Kum 8:7, 8; Zb 132:14, 15
Zab. 147:16Ayu 37:6
Zab. 147:16Ayu 38:29
Zab. 147:17Yos 10:11
Zab. 147:17Ayu 37:10
Zab. 147:18Zb 148:8
Zab. 147:19Kum 4:5
Zab. 147:20Kut 19:5; 31:16, 17; Kum 4:8; 1Nya 17:21; Ro 3:1, 2
Zab. 147:20Ufu 19:6
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 147:1-20

Zaburi

147 Msifuni Yah!*

Ni vema kumwimbia sifa* Mungu wetu;

Jinsi inavyopendeza na jinsi inavyofaa sana kumsifu yeye!+

 2 Yehova analijenga Yerusalemu;+

Huwakusanya pamoja watu wa Israeli waliotawanywa.+

 3 Huwaponya waliovunjika moyo;

Huyafunga majeraha yao.

 4 Huhesabu idadi ya nyota;

Zote anaziita kwa majina.+

 5 Bwana wetu ni mkuu naye ana nguvu nyingi;+

Uelewaji wake haupimiki.+

 6 Yehova huwainua wapole,+

Lakini huwatupa chini waovu.

 7 Mwimbieni Yehova kwa shukrani;

Mwimbieni sifa Mungu wetu kwa kinubi,

 8 Yeye anayezifunika mbingu kwa mawingu,

Yeye anayeiletea dunia mvua,+

Yeye anayechipusha majani+ milimani.

 9 Anawapa wanyama chakula,+

Kunguru wachanga wanaokililia.+

10 Hapendezwi na nguvu za farasi;+

Wala havutiwi na miguu yenye nguvu ya mwanamume.+

11 Yehova anafurahishwa na wale wanaomwogopa,+

Wale wanaongojea upendo wake mshikamanifu.+

12 Mtukuze Yehova, Ee Yerusalemu.

Msifu Mungu wako, Ee Sayuni.

13 Huyafanya makomeo ya malango ya jiji lako yawe imara;

Huwabariki wana wako walio ndani yako.

14 Huleta amani katika eneo lako;+

Hukushibisha kwa ngano bora kabisa.*+

15 Huituma amri yake duniani;

Neno lake hukimbia upesi sana.

16 Hutoa theluji kama sufu;+

Hutawanya theluji nyembamba kama majivu tu.+

17 Huyatupa chini mawe yake ya mvua* kama chembe za mkate.+

Ni nani anayeweza kustahimili baridi yake?+

18 Hulituma neno lake, nayo inayeyuka.

Huufanya upepo wake uvume,+ maji yanatiririka.

19 Anamtangazia Yakobo neno lake,

Na Israeli masharti yake na hukumu zake.+

20 Hajalifanyia hivyo taifa lingine lolote;+

Hawajui lolote kuhusu hukumu zake.

Msifuni Yah!*+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki