‘Abudu kwa Roho na Kweli’
Asubuhi
3:40 Muziki
3:50 Wimbo Na. 85 na Sala
4:00 “Baba Anawatafuta Watu wa Namna Hiyo”
4:15 Mfululizo: ‘Abudu kwa Roho’
• Unapojitahidi Kuelewa Mwongozo Ambao Yehova Anatoa
• Unapohisi Umevunjika Moyo
• Unapojitahidi Kufanya Mengi Zaidi Katika Utumishi wa Yehova
5:05 Wimbo Na. 88 na Matangazo
5:15 Jinsi ya ‘Kuifanya Kweli Iwe Wazi’
5:35 Ubatizo: Maana ya Ubatizo Wako
6:05 Wimbo Na. 51
Alasiri
7:20 Muziki
7:30 Wimbo Na. 72 na Sala
7:35 Hotuba ya Watu Wote: Unawezaje Kutofautisha Mema na Mabaya?
8:05 Muhtasari wa Mnara wa Mlinzi
8:35 Wimbo Na. 56 na Matangazo
8:45 Mfululizo: ‘Abudu kwa Kweli’
• Katika Familia
• Katika Ulimwengu Uliogawanyika
• Unapokabili Hali Ngumu za Kiuchumi
9:30 “Inunue Kweli Wala Usiiuze Kamwe”
10:00 Wimbo Na. 29 na Sala