Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 31
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kutoka—Yaliyomo

      • Mafundi wajazwa roho ya Mungu (1-11)

      • Sabato, ishara kati ya Mungu na Waisraeli (12-17)

      • Mabamba mawili ya mawe (18)

Kutoka 31:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nimemwita kwa jina.”

Marejeo

  • +Kut 37:1
  • +Kut 35:30-34; 1Nya 2:20

Kutoka 31:5

Marejeo

  • +Kut 28:9-11
  • +2Nya 2:13, 14

Kutoka 31:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wenye hekima moyoni.”

Marejeo

  • +Kut 38:23
  • +Kut 36:1

Kutoka 31:7

Marejeo

  • +Kut 36:8
  • +Kut 37:1
  • +Kut 37:6

Kutoka 31:8

Marejeo

  • +Kut 37:10
  • +Kut 37:17, 24
  • +Kut 37:25

Kutoka 31:9

Marejeo

  • +Kut 38:1; 40:6
  • +Kut 30:18; 38:8

Kutoka 31:10

Marejeo

  • +Kut 28:2, 15; 39:1, 27; Law 8:7

Kutoka 31:11

Marejeo

  • +Kut 30:25, 35; 37:29

Kutoka 31:13

Marejeo

  • +Kut 20:8; Law 19:30; Kol 2:16, 17

Kutoka 31:14

Marejeo

  • +Kum 5:12
  • +Kut 35:2; Hes 15:32, 35

Kutoka 31:15

Marejeo

  • +Kut 16:23; 20:10

Kutoka 31:17

Marejeo

  • +Kut 31:13
  • +Mwa 2:2

Kutoka 31:18

Marejeo

  • +Kut 24:12; 32:15; Kum 4:13; 9:15
  • +Mt 12:28; Lu 11:20; 2Ko 3:3

Jumla

Kut. 31:2Kut 37:1
Kut. 31:2Kut 35:30-34; 1Nya 2:20
Kut. 31:5Kut 28:9-11
Kut. 31:52Nya 2:13, 14
Kut. 31:6Kut 38:23
Kut. 31:6Kut 36:1
Kut. 31:7Kut 36:8
Kut. 31:7Kut 37:1
Kut. 31:7Kut 37:6
Kut. 31:8Kut 37:10
Kut. 31:8Kut 37:17, 24
Kut. 31:8Kut 37:25
Kut. 31:9Kut 38:1; 40:6
Kut. 31:9Kut 30:18; 38:8
Kut. 31:10Kut 28:2, 15; 39:1, 27; Law 8:7
Kut. 31:11Kut 30:25, 35; 37:29
Kut. 31:13Kut 20:8; Law 19:30; Kol 2:16, 17
Kut. 31:14Kum 5:12
Kut. 31:14Kut 35:2; Hes 15:32, 35
Kut. 31:15Kut 16:23; 20:10
Kut. 31:17Kut 31:13
Kut. 31:17Mwa 2:2
Kut. 31:18Kut 24:12; 32:15; Kum 4:13; 9:15
Kut. 31:18Mt 12:28; Lu 11:20; 2Ko 3:3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Kutoka 31:1-18

Kutoka

31 Yehova akaendelea kumwambia Musa: 2 “Tazama, nimemchagua* Bezaleli+ mwana wa Uri mwana wa Huru wa kabila la Yuda.+ 3 Nitamjaza roho ya Mungu, na kumpa hekima, uelewaji, na ujuzi katika kila aina ya ufundi, 4 ili abuni kazi za usanii akitumia dhahabu, fedha, na shaba, 5 ili achonge na kupamba kwa mawe,+ na kutengeneza vifaa vya mbao vya kila aina.+ 6 Pia, nimemchagua Oholiabu+ mwana wa Ahisamaki wa kabila la Dani ili amsaidie, nami ninaweka hekima katika mioyo ya wote wenye ustadi,* ili watengeneze kila kitu nilichokuamuru:+ 7 hema la mkutano,+ sanduku la Ushahidi+ na kifuniko chake,+ vyombo vyote vya hema, 8 meza+ na vyombo vyake, kinara cha taa cha dhahabu safi na vyombo vyake vyote,+ madhabahu ya uvumba,+ 9 madhabahu ya dhabihu za kuteketezwa+ na vyombo vyake vyote, beseni na kinara chake,+ 10 yale mavazi bora yaliyofumwa, mavazi matakatifu ya kuhani Haruni, mavazi ya wanawe ya kutumikia wakiwa makuhani,+ 11 mafuta yanayotumiwa kutia mafuta, na ule uvumba wenye manukato kwa ajili ya mahali patakatifu.+ Watafanya mambo yote niliyokuamuru.”

12 Yehova akaendelea kumwambia Musa: 13 “Waambie Waisraeli, ‘Mnapaswa hasa kushika sabato zangu,+ kwa maana ni ishara kati yangu pamoja nanyi katika vizazi vyenu ili mjue kwamba mimi, Yehova, ninawatakasa ninyi. 14 Ni lazima mshike Sabato kwa sababu ni takatifu kwenu.+ Mtu yeyote atakayeitia unajisi ni lazima auawe. Mtu yeyote atakayefanya kazi siku hiyo, ni lazima auawe kutoka kati ya watu wake.+ 15 Mnaweza kufanya kazi kwa siku sita, lakini siku ya saba ni sabato ya pumziko kamili.+ Ni takatifu kwa Yehova. Mtu yeyote atakayefanya kazi siku ya Sabato ni lazima auawe. 16 Ni lazima Waisraeli washike Sabato; ni lazima waadhimishe Sabato katika vizazi vyao vyote. Ni agano la kudumu. 17 Ni ishara ya kudumu kati yangu na Waisraeli,+ kwa sababu katika siku sita mimi, Yehova, niliziumba mbingu na dunia na katika siku ya saba nilipumzika na kustarehe.’”+

18 Sasa mara tu alipomaliza kuzungumza naye kwenye Mlima Sinai, alimpa Musa mabamba mawili ya Ushahidi,+ mabamba ya mawe yaliyoandikwa kwa kidole cha Mungu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki