Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 13
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Nehemia—Yaliyomo

      • Nehemia afanya marekebisho zaidi (1-31)

        • Sehemu za kumi zatolewa (10-13)

        • Sabato isichafuliwe (15-22)

        • Wakatazwa kuoa watu wa mataifa mengine (23-28)

Nehemia 13:1

Marejeo

  • +Kum 31:11; Ne 8:2, 3; Mdo 15:21
  • +Mwa 19:36-38
  • +Kum 23:3, 6

Nehemia 13:2

Marejeo

  • +Hes 22:4-6
  • +Hes 23:8; 24:10

Nehemia 13:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wenye asili mbalimbali.”

Marejeo

  • +Ezr 10:10, 11; Ne 9:1, 2

Nehemia 13:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “majumba ya kulia chakula.”

  • *

    Au “hekalu la.”

Marejeo

  • +Ne 10:37, 38
  • +Ne 3:1
  • +Ne 2:10

Nehemia 13:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “jumba la kulia chakula.”

Marejeo

  • +Kum 18:3, 4
  • +Hes 18:24
  • +Ne 12:44

Nehemia 13:6

Marejeo

  • +Ne 5:14
  • +Ezr 7:1; Ne 2:1

Nehemia 13:7

Marejeo

  • +Ne 12:10
  • +Ne 4:7

Nehemia 13:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “jumba la kulia chakula.”

Nehemia 13:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “majumba ya kulia chakula.”

Marejeo

  • +Ne 10:39
  • +Law 2:14, 15

Nehemia 13:10

Marejeo

  • +Ne 10:37; 12:47
  • +Mal 3:8
  • +Hes 35:2

Nehemia 13:11

Marejeo

  • +Ezr 9:2
  • +Ne 10:39

Nehemia 13:12

Marejeo

  • +Law 27:30; Hes 18:21
  • +Ne 10:38, 39; Mal 3:10

Nehemia 13:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “aliyenakili maandishi.”

Nehemia 13:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “utunzaji wake.”

Marejeo

  • +Ne 5:19
  • +Ebr 6:10

Nehemia 13:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “nikawaonya siku hiyo wasiuze bidhaa.”

Marejeo

  • +Kut 20:10; 34:21; 35:2
  • +Yer 17:21, 27

Nehemia 13:16

Marejeo

  • +Ne 10:31

Nehemia 13:18

Marejeo

  • +Kut 20:8-10

Nehemia 13:22

Marejeo

  • +Kum 5:12
  • +Ne 5:19; 13:14, 30, 31

Nehemia 13:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wamewaingiza ndani ya nyumba zao.”

Marejeo

  • +Yos 13:2, 3
  • +Kum 23:3, 4
  • +Ezr 9:1, 2; 10:10; 2Ko 6:14

Nehemia 13:25

Marejeo

  • +Kum 25:2; Ezr 7:26
  • +Kum 7:3, 4; Ne 10:30

Nehemia 13:26

Marejeo

  • +1Fa 3:12, 13; 2Nya 9:22
  • +2Sa 12:24
  • +1Fa 11:1-5

Nehemia 13:27

Marejeo

  • +Ezr 10:2

Nehemia 13:28

Marejeo

  • +Ne 12:10
  • +Ne 3:1; 13:4
  • +Ne 2:10; 6:14

Nehemia 13:29

Marejeo

  • +Kut 40:15; Hes 25:11-13
  • +Mal 2:4

Nehemia 13:30

Marejeo

  • +1Nya 23:6; 25:1

Nehemia 13:31

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “na kunipa kibali.”

Marejeo

  • +Ne 10:34
  • +Ne 5:19

Jumla

Neh. 13:1Kum 31:11; Ne 8:2, 3; Mdo 15:21
Neh. 13:1Mwa 19:36-38
Neh. 13:1Kum 23:3, 6
Neh. 13:2Hes 22:4-6
Neh. 13:2Hes 23:8; 24:10
Neh. 13:3Ezr 10:10, 11; Ne 9:1, 2
Neh. 13:4Ne 10:37, 38
Neh. 13:4Ne 3:1
Neh. 13:4Ne 2:10
Neh. 13:5Kum 18:3, 4
Neh. 13:5Hes 18:24
Neh. 13:5Ne 12:44
Neh. 13:6Ne 5:14
Neh. 13:6Ezr 7:1; Ne 2:1
Neh. 13:7Ne 12:10
Neh. 13:7Ne 4:7
Neh. 13:9Ne 10:39
Neh. 13:9Law 2:14, 15
Neh. 13:10Ne 10:37; 12:47
Neh. 13:10Mal 3:8
Neh. 13:10Hes 35:2
Neh. 13:11Ezr 9:2
Neh. 13:11Ne 10:39
Neh. 13:12Law 27:30; Hes 18:21
Neh. 13:12Ne 10:38, 39; Mal 3:10
Neh. 13:14Ne 5:19
Neh. 13:14Ebr 6:10
Neh. 13:15Kut 20:10; 34:21; 35:2
Neh. 13:15Yer 17:21, 27
Neh. 13:16Ne 10:31
Neh. 13:18Kut 20:8-10
Neh. 13:22Kum 5:12
Neh. 13:22Ne 5:19; 13:14, 30, 31
Neh. 13:23Yos 13:2, 3
Neh. 13:23Kum 23:3, 4
Neh. 13:23Ezr 9:1, 2; 10:10; 2Ko 6:14
Neh. 13:25Kum 25:2; Ezr 7:26
Neh. 13:25Kum 7:3, 4; Ne 10:30
Neh. 13:261Fa 3:12, 13; 2Nya 9:22
Neh. 13:262Sa 12:24
Neh. 13:261Fa 11:1-5
Neh. 13:27Ezr 10:2
Neh. 13:28Ne 12:10
Neh. 13:28Ne 3:1; 13:4
Neh. 13:28Ne 2:10; 6:14
Neh. 13:29Kut 40:15; Hes 25:11-13
Neh. 13:29Mal 2:4
Neh. 13:301Nya 23:6; 25:1
Neh. 13:31Ne 10:34
Neh. 13:31Ne 5:19
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Nehemia 13:1-31

Nehemia

13 Siku hiyo kitabu cha Musa kilisomwa watu wote wakisikia,+ na wakaona imeandikwa kwamba Mwamoni au Mmoabu+ hapaswi kamwe kuingia katika kutaniko la Mungu wa kweli,+ 2 kwa maana hawakuwapokea Waisraeli kwa mkate na maji, badala yake walimkodi Balaamu ili awalaani.+ Hata hivyo, Mungu wetu aliigeuza laana hiyo kuwa baraka.+ 3 Mara tu waliposikia Sheria, wakaanza kuwatenga watu wote wenye asili ya kigeni* ili wasichangamane na Waisraeli.+

4 Sasa kabla ya wakati huo, kuhani aliyesimamia maghala* ya nyumba ya* Mungu wetu+ alikuwa Eliashibu,+ mtu wa ukoo wa Tobia.+ 5 Alikuwa amempa ghala kubwa,* mahali ambapo zamani walipatumia kuweka toleo la nafaka, ubani, na vyombo na sehemu ya kumi ya nafaka, divai mpya, na mafuta,+ vitu ambavyo Walawi,+ waimbaji, na walinzi wa malango walipaswa kupewa, pamoja na michango kwa ajili ya makuhani.+

6 Wakati huo wote mimi sikuwa Yerusalemu, kwa maana nilirudi kwa mfalme katika mwaka wa 32+ wa utawala wa Mfalme Artashasta+ wa Babiloni; na baada ya muda fulani nikamwomba mfalme ruhusa ya kuondoka. 7 Kisha nikafika Yerusalemu, nami nikaona jambo baya sana ambalo Eliashibu+ alikuwa amefanya kwa kumpa Tobia+ ghala katika ua wa nyumba ya Mungu wa kweli. 8 Jambo hilo lilinikasirisha sana, basi nikavitupa nje ya ghala* vitu vyote vya nyumba ya Tobia. 9 Kisha nikatoa amri, nao wakayatakasa maghala;* nami nikavirudisha humo vyombo vya nyumba ya Mungu wa kweli,+ pamoja na toleo la nafaka na ubani.+

10 Pia, nikagundua kwamba Walawi+ hawakuwa wakipewa mafungu yao,+ hivyo Walawi na waimbaji waliofanya kazi walikuwa wameondoka, kila mmoja akaenda kwenye shamba lake.+ 11 Basi nikawakemea watawala wasaidizi+ na kuwauliza: “Kwa nini nyumba ya Mungu wa kweli imepuuzwa?”+ Kwa hiyo nikawakusanya na kuwarudisha kwenye kazi zao. 12 Na watu wote wa Yuda wakaleta kwenye maghala sehemu ya kumi+ ya nafaka, divai mpya, na mafuta.+ 13 Kisha nikawaweka kuhani Shelemia, Sadoki mwandishi,* na Pedaya aliyekuwa Mlawi wasimamie maghala, na msaidizi wao alikuwa Hanani mwana wa Zakuri mwana wa Matania, kwa maana walionwa kuwa wanaume wenye kutegemeka. Walikuwa na jukumu la kuwagawia ndugu zao.

14 Unikumbuke mimi,+ Ee Mungu wangu, kuhusu jambo hili, nawe usiyafutilie mbali matendo yangu ya upendo mshikamanifu ambayo nimetenda kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu na utumishi wake.*+

15 Siku hizo niliwaona watu huko Yuda wakikanyaga mashinikizo ya divai siku ya Sabato,+ wakileta marundo ya nafaka na kuyapakia juu ya punda, wakileta divai, zabibu, tini, na kuingiza kila aina ya mzigo Yerusalemu siku ya Sabato.+ Basi nikawaonya wasiuze bidhaa siku hiyo.* 16 Na Watiro walioishi jijini walikuwa wakileta samaki na bidhaa za kila aina na kuwauzia watu wa Yuda na Yerusalemu siku ya Sabato.+ 17 Basi nikawakemea wakuu wa Yuda na kuwaambia: “Ni uovu gani huu mnaofanya, hata mnaitia unajisi siku ya Sabato? 18 Je, mababu zenu hawakufanya hivyo, hivi kwamba Mungu wetu akatuletea sisi na pia jiji letu msiba huu wote? Sasa mnazidisha hasira yake inayowaka dhidi ya Israeli kwa kuitia unajisi Sabato.”+

19 Hivyo, mara tu vivuli vilipoanza kuangukia malango ya Yerusalemu kabla ya Sabato, niliamuru milango ifungwe. Pia niliwaambia kwamba hawapaswi kuifungua mpaka Sabato iishe, nami nikawaweka baadhi ya watumishi wangu mwenyewe malangoni ili mizigo yoyote isiingizwe siku ya Sabato. 20 Basi wafanyabiashara na wauzaji wa bidhaa za kila aina wakalala nje ya Yerusalemu mara moja au mbili. 21 Ndipo nikawaonya na kuwaambia: “Kwa nini mnalala mbele ya ukuta usiku? Mkifanya hivyo tena, nitawaondoa kwa nguvu.” Tangu wakati huo hawakuja tena siku ya Sabato.

22 Nikawaambia Walawi kwamba wanapaswa kujitakasa kwa ukawaida na kuja kulinda malango ili siku ya Sabato iendelee kuwa takatifu.+ Ee Mungu wangu, unikumbuke pia kwa jambo hili, na unihurumie kwa sababu ya upendo wako mwingi mshikamanifu.+

23 Siku hizo niliwaona pia Wayahudi waliokuwa wameoa* wanawake Waashdodi,+ Waamoni,+ na Wamoabu.+ 24 Nusu ya wana wao walizungumza Kiashdodi na lugha za mataifa mbalimbali, lakini hakuna yeyote kati yao aliyejua kuzungumza lugha ya Wayahudi. 25 Ndipo nikawakemea na kuwalaani, nikawapiga baadhi ya wanaume hao,+ nikazing’oa nywele zao na kuwaapisha hivi kwa Mungu: “Msikubali mabinti wenu waolewe na wana wao, na msikubali mabinti wao waolewe na wana wenu au ninyi wenyewe.+ 26 Je, Mfalme Sulemani wa Israeli hakutenda dhambi kwa sababu yao? Hakukuwa na mfalme kama yeye miongoni mwa mataifa mengi;+ naye alipendwa na Mungu wake,+ hivi kwamba Mungu akamweka kuwa mfalme wa nchi yote ya Israeli. Lakini wake wa kigeni walimfanya hata yeye atende dhambi.+ 27 Je, si jambo linaloshangaza kwenu kutenda uovu huu mkubwa kwa kutokuwa waaminifu kwa Mungu wetu kwa kuoa wanawake wa kigeni?”+

28 Mmoja wa wana wa Yoyada+ mwana wa kuhani mkuu Eliashibu+ alikuwa amemwoa binti ya Sanbalati+ Mhoroni. Kwa hiyo nikamfukuza kutoka mbele yangu.

29 Wakumbuke, Ee Mungu wangu, kwa sababu wamechafua ukuhani na agano la ukuhani+ na pia Walawi.+

30 Nami nikawatakasa kutokana na uchafu wote wa kigeni, nami nikawapa makuhani na Walawi majukumu yao, kila mmoja katika utumishi wake,+ 31 nami nikapanga ili kuni+ ziletwe wakati unaofaa na pia mazao ya kwanza yaliyokomaa.

Unikumbuke na kunitendea wema,* Ee Mungu wangu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki