Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hosea 11
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Hosea—Yaliyomo

      • Mungu ampenda Israeli tangu utotoni (1-12)

Hosea 11:1

Marejeo

  • +Kum 7:8
  • +Kut 4:22; Mt 2:14, 15

Hosea 11:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, manabii na watu wengine waliotumwa kuwafundisha Waisraeli.

Marejeo

  • +Isa 30:9-11
  • +Amu 2:13; 3:7; 1Fa 16:30-32; 18:19; 2Fa 17:13, 16; Ho. 2:13
  • +1Fa 12:32, 33; Ho. 13:1, 2

Hosea 11:3

Marejeo

  • +Kum 8:2
  • +Kum 1:31; 33:27; Isa 46:3

Hosea 11:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kamba za fadhili,” kama zile zinazotumiwa na mzazi.

Marejeo

  • +Isa 63:9

Hosea 11:5

Marejeo

  • +2Fa 17:3
  • +2Fa 17:13, 14; Amo 4:6

Hosea 11:6

Marejeo

  • +Law 26:31
  • +Isa 31:1

Hosea 11:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, kwenye ibada iliyokwezwa.

Marejeo

  • +Zb 78:57, 58; Yer 3:6

Hosea 11:8

Marejeo

  • +Ho. 6:4
  • +Mwa 10:19; Kum 29:22, 23
  • +Kum 32:36; Yer 31:20

Hosea 11:9

Marejeo

  • +Yer 30:11

Hosea 11:10

Marejeo

  • +Yoe 3:16
  • +Zek 8:7

Hosea 11:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nitafanya wakae katika nyumba zao.”

Marejeo

  • +Isa 11:11, 12; 60:8, 9; Zek 10:10
  • +Yer 23:6; Eze 28:25, 26; 37:21; Amo 9:14

Hosea 11:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wanatembea.”

Marejeo

  • +Mik 6:12
  • +2Fa 18:1, 6; 2Nya 29:1, 2; Ho. 4:15

Jumla

Hos. 11:1Kum 7:8
Hos. 11:1Kut 4:22; Mt 2:14, 15
Hos. 11:2Isa 30:9-11
Hos. 11:2Amu 2:13; 3:7; 1Fa 16:30-32; 18:19; 2Fa 17:13, 16; Ho. 2:13
Hos. 11:21Fa 12:32, 33; Ho. 13:1, 2
Hos. 11:3Kum 8:2
Hos. 11:3Kum 1:31; 33:27; Isa 46:3
Hos. 11:4Isa 63:9
Hos. 11:52Fa 17:3
Hos. 11:52Fa 17:13, 14; Amo 4:6
Hos. 11:6Law 26:31
Hos. 11:6Isa 31:1
Hos. 11:7Zb 78:57, 58; Yer 3:6
Hos. 11:8Ho. 6:4
Hos. 11:8Mwa 10:19; Kum 29:22, 23
Hos. 11:8Kum 32:36; Yer 31:20
Hos. 11:9Yer 30:11
Hos. 11:10Yoe 3:16
Hos. 11:10Zek 8:7
Hos. 11:11Isa 11:11, 12; 60:8, 9; Zek 10:10
Hos. 11:11Yer 23:6; Eze 28:25, 26; 37:21; Amo 9:14
Hos. 11:12Mik 6:12
Hos. 11:122Fa 18:1, 6; 2Nya 29:1, 2; Ho. 4:15
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Hosea 11:1-12

Hosea

11 “Israeli alipokuwa mvulana, nilimpenda,+

Nikamwita mwanangu atoke Misri.+

 2 Kadiri walivyowaita,*

Ndivyo walivyoenda mbali nao.+

Waliendelea kutoa dhabihu kwa sanamu za Baali+

Na kutoa dhabihu kwa sanamu za kuchongwa.+

 3 Lakini mimi ndiye niliyewafundisha Waefraimu kutembea,+ nikawabeba mikononi mwangu;+

Lakini hawakutambua kwamba niliwaponya.

 4 Niliendelea kuwavuta kwa kamba za wanadamu,* kwa kamba za upendo;+

Nami nilikuwa kwao kama mtu anayeinua nira kutoka kwenye mataya yao,

Na kwa upole nikamletea kila mmoja wao chakula.

 5 Hawatarudi katika nchi ya Misri, lakini watatawaliwa na Ashuru,+

Kwa sababu walikataa kunirudia.+

 6 Na upanga utavuma dhidi ya majiji yao+

Na kuharibu makomeo yao na kuwanyafua kwa sababu ya njama zao.+

 7 Watu wangu wana mwelekeo wa kutokuwa waaminifu kwangu.+

Ingawa waliwaita wapande juu,* hakuna yeyote anayeinuka.

 8 Enyi Waefraimu, kwa nini niwaache?+

Enyi Waisraeli, kwa nini niwatie mikononi mwa maadui wenu?

Kwa nini niwatendee kama Adma?

Kwa nini niwafanye kama Seboiimu?+

Moyo wangu umebadilika;

Na pia nimechochewa kuwahurumia.+

 9 Sitamwaga hasira yangu inayowaka.

Sitawaangamiza tena Waefraimu,+

Kwa maana mimi ni Mungu, mimi si mwanadamu,

Mtakatifu aliye miongoni mwenu;

Nami sitawashambulia kwa hasira.

10 Watatembea wakimfuata Yehova, naye atanguruma kama simba;+

Atakaponguruma, wanawe watakuja wakitetemeka kutoka magharibi.+

11 Watatoka Misri wakitetemeka kama ndege,

Kama njiwa kutoka nchi ya Ashuru;+

Nami nitawapa makao katika nyumba zao,”* asema Yehova.+

12 “Waefraimu wamenizingira wakisema uwongo,

Na nyumba ya Israeli kwa udanganyifu.+

Lakini watu wa Yuda bado wanazunguka huku na huku* pamoja na Mungu,

Nao ni waaminifu kwangu mimi, niliye Mtakatifu Zaidi.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki