WIMBO NA. 16
Msifuni Yah kwa Mwana Wake Mtiwa Mafuta
- 1. Yehova ameteua, - Mwanaye atawale. - Ana haki ya kutawala, - Mapenzi yatatendeka. - (KORASI) - Enyi Kondoo, Msifuni - Yehova na Kristo Yesu, - Mfuateni siku kwa siku, - na kumtii yeye. - Msifuni Yah kwa Mfalme, - mtiwa-mafuta wake, - atakayelitukuza jina - la Mungu takatifu. 
- 2. Yehova ameteua, - Ndugu za Kristo Yesu. - Watawale pamoja naye, - Na kuleta Paradiso. - (KORASI) - Enyi Kondoo, Msifuni - Yehova na Kristo Yesu, - Mfuateni siku kwa siku, - na kumtii yeye. - Msifuni Yah kwa Mfalme, - mtiwa-mafuta wake, - atakayelitukuza jina - la Mungu takatifu. 
(Ona pia Met. 29:4; Isa. 66:7, 8; Yoh. 10:4; Ufu. 5:9, 10.)