Waroma 7:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hivyo, ndugu zangu, ninyi pia mlifanywa wafu kuhusiana na Sheria+ kupitia mwili wa Kristo, ili muwe wa mwingine,+ muwe wa yule aliyefufuliwa kutoka kwa wafu,+ ili tumzalie Mungu matunda.+ Waroma 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 ndivyo sisi, ingawa tuko wengi, ni mwili mmoja+ katika muungano na Kristo, lakini viungo ambavyo kila kimoja ni cha kile kingine.+ 1 Wakorintho 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa sababu kuna mkate mmoja, sisi, ingawa tuko wengi,+ ni mwili mmoja,+ kwa maana sisi sote tunakula huo mkate mmoja.+ 1 Wakorintho 12:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Basi ninyi ni mwili wa Kristo, nanyi ni viungo mkiwa mmoja-mmoja.+ Waefeso 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 kwa kusudi la kuwarekebisha+ upya watakatifu, kwa ajili ya kazi ya huduma, kwa ajili ya kuujenga mwili wa Kristo,+
4 Hivyo, ndugu zangu, ninyi pia mlifanywa wafu kuhusiana na Sheria+ kupitia mwili wa Kristo, ili muwe wa mwingine,+ muwe wa yule aliyefufuliwa kutoka kwa wafu,+ ili tumzalie Mungu matunda.+
5 ndivyo sisi, ingawa tuko wengi, ni mwili mmoja+ katika muungano na Kristo, lakini viungo ambavyo kila kimoja ni cha kile kingine.+
17 Kwa sababu kuna mkate mmoja, sisi, ingawa tuko wengi,+ ni mwili mmoja,+ kwa maana sisi sote tunakula huo mkate mmoja.+
12 kwa kusudi la kuwarekebisha+ upya watakatifu, kwa ajili ya kazi ya huduma, kwa ajili ya kuujenga mwili wa Kristo,+