ANDIKO LA MWAKA
1915, “Je! mwaweza kunywea kikombe nitakachonywea mimi?” (Mt 20:20-23):
1945, “Kwa hiyo nendeni mkafanye wanafunzi kutoka kwa watu wa mataifa yote” (Mt 28:19): w07 9/1 11
1953, “Mwabuduni BWANA kwa uzuri wa utakatifu” (Zb 29:2, UV): w97 5/1 28
1978, “Hawatakushinda; maana mimi [Yehova] nipo pamoja nawe, . . . ili nikuokoe” (Yer 1:19, UV):
1987, “Kwa habari yangu mimi na nyumba yangu, sisi tutamtumikia Yehova” (Yos 24:15):
1988, “Tumaini katika Yehova na shika njia yake” (Zb 37:34):
1989, “Hofuni Mungu na kumpa yeye utukufu” (Ufu 14:7):
1990, “Mwe wenye moyo mkuu na kusema: ‘Yehova ndiye msaidiaji wangu’” (Ebr 13:6):
1991, “Asikiaye na aseme, Njoo!” (Ufu 22:17, UV):
1992, “Kwa tumaini mkifurahi. . . . Katika kusali, mkidumu” (Ro 12:12, UV):
1993, “Unifunze mimi Ee Yehova . . . Ungamanisha moyo wangu kuhofu jina lako” (Zb 86:11):
1994, “Mtumaini [Yehova] kwa moyo wako wote” (Mit 3:5, UV):
1995, “[M]kiunganishwa katika upendo” (Kol 2:2, UV):
1996, “Iweni watendaji wa neno” (Yak 1:22):
1997, “Unifundishe kuyatenda mapenzi yako” (Zb 143:10, UV): w96 12/15 14-19
1998, “Kila mtu aitiaye jina la Yehova ataokolewa” (Ro 10:13, bi7): w97 12/15 16-21
1999, “Tazameni! Sasa ndiyo siku ya wokovu” (2Ko 6:2, bi7): w98 12/15 15-20
2000, “Sisi si namna irudiyo nyuma . . . bali namna iliyo na imani” (Ebr 10:39, bi7): w99 12/15 14-24
2001, ‘Simameni mkiwa kamili na kwa usadikisho imara katika mapenzi yote ya Mungu’ (Kol 4:12): w01 1/15 11; w00 12/15 19-24
2002, ‘Njooni kwangu, . . . nami hakika nitawaburudisha nyinyi’ (Mt 11:28, bi7): w02 1/15 8-9; w02 4/1 28; w01 12/15 9-20
2003, “Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia” (Yak 4:8): yb07 53-54; w02 12/15 8-18
2004, “Endeleeni kukesha . . . Iweni tayari” (Mt 24:42, 44): yb04 4; w03 12/15 14-24
2005, “Msaada wangu unatoka kwa Yehova” (Zb 121:2): w04 12/15 12-22
2006, “Lazima tumtii Mungu kuwa mtawala kuliko wanadamu” (Mdo 5:29): yb06 2; w05 12/15 19-24
2007, “Siku kuu ya Yehova iko karibu” (Sef 1:14): yb07 2; w06 12/15 15-19
2008, “Simameni imara muuone wokovu wa Yehova” (Kut 14:13): yb08 2; w07 12/15 16-20
2009, ‘Toa ushahidi kamili kuhusu habari njema’ (Mdo 20:24): w08 12/15 16-20
2010, ‘Upendo huvumilia mambo yote. Upendo haushindwi kamwe’ (1Ko 13:7, 8): yb11 3-4; w10 6/15 4; yb10 2; w09 12/15 24-28
2011, ‘Pata kimbilio katika jina la Yehova’ (Sef 3:12): w11 1/15 3-7; w11 8/15 21; yb11 2
2012, “Neno Lako ni Kweli” (Yoh 17:17): w12 1/15 4-8; w12 8/15 18-19; yb12 2