Zaburi 37:28 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 28 Kwa maana Yehova anapenda haki,Na hataacha washikamanifu wake.+ ע [Ayin] Watalindwa sikuzote;+Lakini wazao wa waovu wataharibiwa.+ Zaburi 97:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Enyi wenye kumupenda Yehova, muchukie mambo ya mubaya.+ Analinda uzima wa* washikamanifu wake;+Anawaokoa katika mukono wa* waovu.+
28 Kwa maana Yehova anapenda haki,Na hataacha washikamanifu wake.+ ע [Ayin] Watalindwa sikuzote;+Lakini wazao wa waovu wataharibiwa.+
10 Enyi wenye kumupenda Yehova, muchukie mambo ya mubaya.+ Analinda uzima wa* washikamanifu wake;+Anawaokoa katika mukono wa* waovu.+