Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 11:24
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 24 Kupitia viumbe hivyo mutajichafua. Kila mutu mwenye anagusa mizoga ya viumbe hivyo hatakuwa safi mupaka mangaribi.+

  • Mambo ya Walawi 22:4, 5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 4 Muzao yeyote wa Haruni mwenye ukoma+ ao mwenye kuwa na mutiririko+ asikule vitu vitakatifu mupaka wakati atakuwa safi,+ wala mutu mwenye anagusa mutu yeyote ambaye amekuwa muchafu kupitia mutu mwenye amekufa,*+ wala mutu mwenye anatokwa na mbegu za uzazi,*+ 5 wala mutu mwenye anagusa kiumbe chenye hakiko safi chenye kupatikana kwa wingi+ wala mwenye anagusa mutu mwenye haiko safi kwa sababu yoyote na mwenye anaweza kumuchafua.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine