-
Mambo ya Walawi 11:24Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
24 Kupitia viumbe hivyo mutajichafua. Kila mutu mwenye anagusa mizoga ya viumbe hivyo hatakuwa safi mupaka mangaribi.+
-
-
Mambo ya Walawi 22:4, 5Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
4 Muzao yeyote wa Haruni mwenye ukoma+ ao mwenye kuwa na mutiririko+ asikule vitu vitakatifu mupaka wakati atakuwa safi,+ wala mutu mwenye anagusa mutu yeyote ambaye amekuwa muchafu kupitia mutu mwenye amekufa,*+ wala mutu mwenye anatokwa na mbegu za uzazi,*+ 5 wala mutu mwenye anagusa kiumbe chenye hakiko safi chenye kupatikana kwa wingi+ wala mwenye anagusa mutu mwenye haiko safi kwa sababu yoyote na mwenye anaweza kumuchafua.+
-