Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 8:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Lakini, makuhani wenye kufanya uchawi wakafanya jambo lilelile kwa ufundi wao wa siri, na wakafanya vyura wakuje juu ya inchi ya Misri.+

  • Kumbukumbu la Torati 18:10-12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 Asipatikane katikati yako mutu yeyote mwenye kupitisha mutoto wake mwanaume ao mutoto wake mwanamuke katika moto,+ mutu yeyote mwenye kufanya uaguzi,+ mutu yeyote mwenye kufanya uchawi,+ mutu yeyote mwenye kutafuta alama za mambo yenye yatatokea,+ mulozi,+ 11 mutu yeyote mwenye anafunga wengine kwa uchawi, mutu yeyote mwenye anatafuta shauri kwa mutu mwenye kupashana habari na pepo wachafu+ ao mutu mwenye kutabiri matukio,+ ao mutu yeyote mwenye kuuliza habari kwa wafu.+ 12 Kwa maana kila mutu mwenye kufanya mambo hayo ni chukizo kwa Yehova, na kwa sababu ya mazoea hayo yenye kuchukiza, Yehova Mungu wako anafukuza mataifa hayo mbele yako.

  • Wagalatia 5:19, 20
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 19 Sasa matendo ya mwili yanaonekana wazi, nayo ni uasherati,*+ uchafu, mwenendo mupotovu wa bila haya,*+ 20 ibada ya sanamu, kupashana habari na pepo wachafu,+ uadui, mizozo, wivu, milipuko ya kasirani, magomvi, migawanyiko, mazehebu,*

  • Ufunuo 21:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Lakini wale wenye woga na wale wenye hawana imani+ na wale wenye kuchukiza katika uchafu wao na wauaji+ na waasherati*+ na wale wenye wanazoea kupashana habari na pepo wachafu na waabudu-sanamu na waongo wote,+ fungu lao litakuwa ndani ya lile ziwa lenye linawaka moto na kiberiti.+ Hili linamaanisha kifo cha pili.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine