Zaburi 51:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Unioshe kabisa kutokana na kosa langu,+Na unisafishe kutokana na zambi yangu.+ Isaya 1:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 “Sasa, mukuje, tunyooshe mambo kati yetu,” ni vile Yehova anasema.+ “Hata kama zambi zenu ziko na rangi nyekundu yenye kungaa,Zitafanywa kuwa nyeupe kama teluji;*+Hata kama ziko nyekundu kama kitambaa chekundu,Zitakuwa kama manyoya ya kondoo. 1 Yohana 1:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Hata hivyo, kama tuko tunatembea katika mwangaza kama vile yeye mwenyewe iko* katika mwangaza, tuko katika umoja mumoja na mwingine, na damu ya Yesu Mwana wake inatusafisha kutoka katika zambi yote.+
18 “Sasa, mukuje, tunyooshe mambo kati yetu,” ni vile Yehova anasema.+ “Hata kama zambi zenu ziko na rangi nyekundu yenye kungaa,Zitafanywa kuwa nyeupe kama teluji;*+Hata kama ziko nyekundu kama kitambaa chekundu,Zitakuwa kama manyoya ya kondoo.
7 Hata hivyo, kama tuko tunatembea katika mwangaza kama vile yeye mwenyewe iko* katika mwangaza, tuko katika umoja mumoja na mwingine, na damu ya Yesu Mwana wake inatusafisha kutoka katika zambi yote.+