Zaburi 40:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Mwenye furaha ni mutu mwenye anamutegemea YehovaNa mwenye hatumainie watu wenye wako kichwa-nguvu ao watu wadanganyifu.* Zaburi 146:3, 4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Musitumainie wakubwa*Wala mwana wa binadamu, mwenye hawezi kuleta wokovu.+ 4 Roho* yake inatoka, anarudia kwenye udongo;+Siku ileile mawazo yake yanapotea.+ Yeremia 17:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Yehova anasema hivi: “Amelaaniwa mutu* mwenye anategemea wanadamu bure,+Mwenye anategemea nguvu za mwanadamu,*+Na mwenye moyo wake unageuka na kumuacha Yehova.
4 Mwenye furaha ni mutu mwenye anamutegemea YehovaNa mwenye hatumainie watu wenye wako kichwa-nguvu ao watu wadanganyifu.*
3 Musitumainie wakubwa*Wala mwana wa binadamu, mwenye hawezi kuleta wokovu.+ 4 Roho* yake inatoka, anarudia kwenye udongo;+Siku ileile mawazo yake yanapotea.+
5 Yehova anasema hivi: “Amelaaniwa mutu* mwenye anategemea wanadamu bure,+Mwenye anategemea nguvu za mwanadamu,*+Na mwenye moyo wake unageuka na kumuacha Yehova.