1 Samweli 2:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Analinda hatua za washikamanifu wake;+Lakini waovu watanyamazishwa katika giza,+Kwa maana haiko nguvu ndiyo inafanya mwanadamu ashinde.+ Zaburi 145:20 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 20 Yehova analinda wale wote wenye kumupenda,+Lakini ataharibu waovu wote.+
9 Analinda hatua za washikamanifu wake;+Lakini waovu watanyamazishwa katika giza,+Kwa maana haiko nguvu ndiyo inafanya mwanadamu ashinde.+