Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 31:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  3 Kwa maana wewe ni mwamba wangu na ngome yangu;+

      Kwa ajili ya jina lako,+ utaniongoza na kunielekeza.+

  • Zaburi 79:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  9 Utusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+

      Kwa ajili ya jina lako lenye utukufu;

      Utuokoe na usamehe* zambi zetu kwa ajili ya jina lako.+

  • Zaburi 109:21
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Lakini wewe, Yehova Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi,

      Tenda kwa faida yangu kwa ajili ya jina lako.+

      Uniokoe, kwa sababu upendo wako mushikamanifu ni mwema.+

  • Zaburi 143:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Ee Yehova, linda uzima wangu kwa ajili ya jina lako.

      Katika haki yako, uniokoe mimi* katika taabu.+

  • Ezekieli 36:22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 “Kwa hiyo ambia nyumba ya Israeli, ‘Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema hivi: “Sitende kwa ajili yenu, Ee nyumba ya Israeli, lakini kwa ajili ya jina langu takatifu, lenye mumechafua kati ya mataifa kwenye mumeenda.”’+

  • Danieli 9:19
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 19 Ee Yehova, usikie. Ee Yehova, usamehe.+ Ee Yehova, ukaze uangalifu na utende! Usikawie, kwa ajili yako mwenyewe, Ee Mungu wangu, kwa maana jina lako mwenyewe limeitwa juu ya muji wako na juu ya watu wako.”+

  • Matayo 6:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 “Basi ninyi munapaswa kusali hivi:+

      “‘Baba yetu mwenye kuwa mbinguni, jina lako+ litakaswe.*+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine