18 Lakini kuko wengine wenye wanapandwa katikati ya miiba. Hawa ni wale wenye wamesikia neno,+ 19 lakini mahangaiko+ ya mupangilio huu wa mambo, na nguvu za udanganyifu za utajiri,+ na tamaa+ ya mambo mengine yote vinaingia na kufinya lile neno, na halizae matunda.