28 Kama vile Mwana wa binadamu hakukuja ili watu wamutumikie, lakini ili yeye atumikie wengine+ na atoe uzima wake* kuwa bei ya ukombozi pa nafasi ya wengi.”+
16 Kupitia jambo hili, sisi tumejua upendo, kwa sababu huyo alitoa uzima wake* kwa ajili yetu,+ na sisi tunalazimika kutoa uzima wetu* kwa ajili ya ndugu zetu.+