Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 23:16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Mutahesabu siku makumi tano (50)+ mupaka siku yenye inafuata Sabato ya saba (7), na kisha mutamutolea Yehova toleo mupya la nafaka.+

  • Kumbukumbu la Torati 16:9-11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 “Utahesabia majuma saba (7). Unapaswa kuanza kuhesabia majuma saba kuanzia wakati unatia mundu* kwa mara ya kwanza kwenye nafaka yenye kusimama.+ 10 Kisha utafanya Sikukuu ya Majuma kwa ajili ya Yehova Mungu wako+ kupitia toleo la kujipendea kutoka katika mukono wako, lenye utatoa kulingana na namna Yehova Mungu wako anakubariki.+ 11 Na unapaswa kushangilia mbele ya Yehova Mungu wako, wewe na mutoto wako mwanaume, mutoto wako mwanamuke, mutumwa wako mwanaume, mutumwa wako mwanamuke, Mulawi mwenye kuwa ndani ya miji yako,* mukaaji mugeni, mutoto mwenye hana baba,* na mujane, wenye kuwa katikati yako, mahali kwenye Yehova Mungu wako atachagua jina lake likae.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine