-
Waroma 13:8, 9Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 Musikuwe na deni lolote kwa mutu yeyote isipokuwa kupendana;+ kwa maana kila mutu mwenye anamupenda mwanadamu mwenzake ametimiza sheria.+ 9 Kwa maana sheria zenye kusema, “Haupaswe kufanya uzinifu,+ haupaswe kuua,+ haupaswe kuiba,+ haupaswe kutamani,”+ na amri ingine yoyote yenye iko, zinatajwa kwa kifupi katika maneno haya: “Unapaswa kumupenda jirani yako kama wewe mwenyewe.”+
-