Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 “‘Haupaswe kulipiza kisasi+ wala kuwekea kinyongo wana wa watu wako, na unapaswa kumupenda mwenzako kama wewe mwenyewe.+ Mimi ni Yehova.

  • Matayo 7:12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 “Kwa hiyo, mambo yote yenye munataka watu wawatendee, ninyi pia lazima muwatendee wao.+ Kwa kweli, hiyo ndiyo maana ya Sheria na Manabii.+

  • Matayo 22:39
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 39 Ya pili kama hiyo, ni hii, ‘Unapaswa kumupenda jirani yako kama wewe mwenyewe.’+

  • Waroma 13:8, 9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Musikuwe na deni lolote kwa mutu yeyote isipokuwa kupendana;+ kwa maana kila mutu mwenye anamupenda mwanadamu mwenzake ametimiza sheria.+ 9 Kwa maana sheria zenye kusema, “Haupaswe kufanya uzinifu,+ haupaswe kuua,+ haupaswe kuiba,+ haupaswe kutamani,”+ na amri ingine yoyote yenye iko, zinatajwa kwa kifupi katika maneno haya: “Unapaswa kumupenda jirani yako kama wewe mwenyewe.”+

  • Yakobo 2:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Sasa, kama munatimiza ile sheria ya kifalme kulingana na andiko, “Unapaswa kumupenda jirani yako kama wewe mwenyewe,”+ munafanya muzuri kabisa.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine