-
1 Samweli 2:27, 28Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
27 Mutu wa Mungu akakuja kwa Eli na kumuambia, “Yehova anasema hivi: ‘Je, sikujifunua waziwazi kwa nyumba ya baba yako wakati walikuwa Misri wakiwa watumwa wa nyumba ya Farao?+ 28 Na alichaguliwa katikati ya makabila yote ya Israeli+ ili anitumikie akiwa kuhani wangu na kupanda juu ya mazabahu yangu+ ili kutoa zabihu, kutoa uvumba,* na kuvaa efodi mbele yangu; na nilipatia nyumba ya babu yako matoleo yote ya Waisraeli* yenye yanatolewa kwa njia ya moto.+
-