12 Mwenye furaha ni mutu mwenye anaendelea kuvumilia jaribu,+ kwa sababu akiisha kukubaliwa atapokea taji la uzima,+ lenye Yehova* aliahidi wale wenye wanaendelea kumupenda.+
11 Muangalie! Tunaona wale wenye wamevumilia kuwa wenye furaha.*+ Mumesikia juu ya uvumilivu wa Yobu+ na mumeona matokeo yenye Yehova* alileta,+ kwamba Yehova* ni mwenye upendo mwingi sana* na mwenye rehema.+