Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Yohana 4
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Yohana

      • Kujaribu maneno yenye yaliongozwa na roho (1-6)

      • Kumujua Mungu na kumupenda (7-21)

        • “Mungu ni upendo” (8, 16)

        • Hakuna woga katika upendo (18)

1 Yohana 4:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kila roho.”

  • *

    Tnn., “zile roho.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Tes. 2:1, 2; 1 Tim. 4:1
  • +Ufu 22:6
  • +2 Pe. 2:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2008, uku. 6-7

    1/3/2007, uku. 5

    1/9/2004, uku. 17

1 Yohana 4:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 1:14; 1 Kor. 12:3; Ufu 19:10

1 Yohana 4:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Yo. 2:22
  • +2 Tes. 2:7; 1 Yo. 2:18
  • +Mdo 20:29, 30

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2015, uku. 14

1 Yohana 4:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Yo. 5:4
  • +Yoh 17:21
  • +Efe 2:2

1 Yohana 4:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Yo. 5:19
  • +Yoh 15:19

1 Yohana 4:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 10:27
  • +Yoh 8:47
  • +1 Yo. 4:1

1 Yohana 4:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Pe. 1:22
  • +1 Yo. 4:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2006, uku. 21-22

1 Yohana 4:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 34:6; Mik 7:18; 1 Yo. 4:19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2015, uku. 16

    1/7/2003, uku. 14

    1/6/2002, uku. 6

    Mkaribie Yehova,

    uku. 14-15, 236-237

1 Yohana 4:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 1:14
  • +Yoh 3:16; Rom. 5:8; 8:32; 1 Yo. 5:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Watu Wote),

    Na. 2 2017 uku. 4

1 Yohana 4:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “njia ya kuleta maelewano.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 5:7
  • +Rom. 3:25; Ebr 2:17; 9:26; 1 Yo. 2:1, 2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2008, uku. 27

1 Yohana 4:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 18:33; Yoh 15:12; Rom. 13:8; 1 Yo. 3:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Endeleeni Kukesha!, uku. 29

1 Yohana 4:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 33:20; Yoh 1:18; 4:24; 6:46
  • +1 Yo. 2:5

1 Yohana 4:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 1:21; Yoh 3:17; 12:47; Mdo 5:31

1 Yohana 4:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 10:9
  • +1 Yo. 2:23, 24

1 Yohana 4:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 3:16
  • +1 Yo. 4:8
  • +Yoh 17:21

1 Yohana 4:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “tukuwe na uhakika.”

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 4:16; 1 Yo. 2:28

1 Yohana 4:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “unasukuma.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 8:15
  • +1 Yo. 2:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2004, uku. 29

1 Yohana 4:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Yo. 4:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2015, uku. 27

    Mkaribie Yehova,

    uku. 237-239

    “Upendo wa Mungu,” uku. 5

1 Yohana 4:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Yo. 2:4
  • +1 Yo. 3:17
  • +1 Yo. 4:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/9/2007, uku. 30

    1/12/2006, uku. 27

1 Yohana 4:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 22:37, 39; Yoh 13:34; 15:12

Maandiko ingine

1 Yoh. 4:12 Tes. 2:1, 2; 1 Tim. 4:1
1 Yoh. 4:1Ufu 22:6
1 Yoh. 4:12 Pe. 2:1
1 Yoh. 4:2Yoh 1:14; 1 Kor. 12:3; Ufu 19:10
1 Yoh. 4:31 Yo. 2:22
1 Yoh. 4:32 Tes. 2:7; 1 Yo. 2:18
1 Yoh. 4:3Mdo 20:29, 30
1 Yoh. 4:41 Yo. 5:4
1 Yoh. 4:4Yoh 17:21
1 Yoh. 4:4Efe 2:2
1 Yoh. 4:51 Yo. 5:19
1 Yoh. 4:5Yoh 15:19
1 Yoh. 4:6Yoh 10:27
1 Yoh. 4:6Yoh 8:47
1 Yoh. 4:61 Yo. 4:1
1 Yoh. 4:71 Pe. 1:22
1 Yoh. 4:71 Yo. 4:16
1 Yoh. 4:8Kut 34:6; Mik 7:18; 1 Yo. 4:19
1 Yoh. 4:9Yoh 1:14
1 Yoh. 4:9Yoh 3:16; Rom. 5:8; 8:32; 1 Yo. 5:11
1 Yoh. 4:101 Kor. 5:7
1 Yoh. 4:10Rom. 3:25; Ebr 2:17; 9:26; 1 Yo. 2:1, 2
1 Yoh. 4:11Mt 18:33; Yoh 15:12; Rom. 13:8; 1 Yo. 3:16
1 Yoh. 4:12Kut 33:20; Yoh 1:18; 4:24; 6:46
1 Yoh. 4:121 Yo. 2:5
1 Yoh. 4:14Mt 1:21; Yoh 3:17; 12:47; Mdo 5:31
1 Yoh. 4:15Rom. 10:9
1 Yoh. 4:151 Yo. 2:23, 24
1 Yoh. 4:16Yoh 3:16
1 Yoh. 4:161 Yo. 4:8
1 Yoh. 4:16Yoh 17:21
1 Yoh. 4:17Ebr 4:16; 1 Yo. 2:28
1 Yoh. 4:18Rom. 8:15
1 Yoh. 4:181 Yo. 2:5
1 Yoh. 4:191 Yo. 4:10
1 Yoh. 4:201 Yo. 2:4
1 Yoh. 4:201 Yo. 3:17
1 Yoh. 4:201 Yo. 4:12
1 Yoh. 4:21Mt 22:37, 39; Yoh 13:34; 15:12
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Yohana 4:1-21

Ya Kwanza ya Yohana

4 Wapendwa, musiamini kila neno lenye liliongozwa na roho,*+ lakini mujaribu maneno yenye yaliongozwa na roho* ili kuona kama yanatokana na Mungu,+ kwa maana manabii wengi wa uongo wameingia katika ulimwengu.+

2 Munaweza kujua kama neno lenye liliongozwa na roho limetoka kwa Mungu kwa njia hii: Kila neno lenye liliongozwa na roho lenye linakubali kama Yesu Kristo alikuja katika mwili linatokana na Mungu.+ 3 Lakini kila neno lenye liliongozwa na roho lenye halimukubali Yesu halitokane na Mungu.+ Zaidi ya hayo, hilo ndilo neno lenye liliongozwa na roho la ule mupinga-Kristo lenye mumesikia kwamba linakuja,+ na sasa tayari liko katika ulimwengu.+

4 Ninyi munatokana na Mungu, watoto wadogo, na mumewashinda,+ kwa sababu ule mwenye kuwa katika umoja na ninyi+ ni mukubwa kuliko ule mwenye kuwa katika umoja na ulimwengu.+ 5 Wao wanatokana na ulimwengu;+ ndiyo sababu wanasema mambo yenye yanatokana na ulimwengu na ulimwengu unawasikiliza.+ 6 Sisi tunatokana na Mungu. Mutu yeyote mwenye anamujua Mungu anatusikiliza;+ mutu yeyote mwenye hatokane na Mungu hatusikilize.+ Ni vile tunafanya tofauti kati ya neno la kweli lenye liliongozwa na roho na neno lenye kosa lenye liliongozwa na roho.+

7 Wapendwa, tuendelee kupendana,+ kwa sababu upendo unatoka kwa Mungu, na kila mutu mwenye anapenda amezaliwa kutokana na Mungu na anamujua Mungu.+ 8 Mutu yeyote mwenye hana upendo hajamujua Mungu, kwa sababu Mungu ni upendo.+ 9 Kwa jambo hili upendo wa Mungu ulifunuliwa kwetu, kwamba Mungu alimutuma Mwana wake muzaliwa-pekee+ katika ulimwengu ili tupate uzima kupitia yeye.+ 10 Ni hivi upendo uko, hapana kwamba sisi tumemupenda Mungu, lakini kwamba yeye alitupenda akamutuma Mwana wake kuwa zabihu ya kufunika*+ kwa ajili ya zambi zetu.+

11 Wapendwa, kama Mungu alitupenda hivi, basi sisi pia tunalazimika kupendana.+ 12 Hakuna mutu mwenye amemuona Mungu wakati wowote.+ Kama tunaendelea kupendana, Mungu anakaa ndani yetu na upendo wake unakamilishwa ndani yetu.+ 13 Kwa jambo hili tunajua kama tunakaa katika umoja naye, naye anakaa katika umoja na sisi, kwa sababu ametupatia roho yake. 14 Kwa kuongezea, sisi wenyewe tumeona na tunatoa ushahidi kwamba Baba amemutuma Mwana wake kuwa mwokozi wa ulimwengu.+ 15 Mutu yeyote mwenye anakubali kama Yesu ni Mwana wa Mungu,+ Mungu anakaa katika umoja na mutu huyo na yeye anakaa katika umoja na Mungu.+ 16 Na tumejua na tumeamini upendo wenye Mungu iko* nao kutuelekea.+

Mungu ni upendo,+ na mutu mwenye anakaa katika upendo anakaa katika umoja na Mungu, na Mungu anakaa katika umoja na yeye.+ 17 Kwa njia hii upendo umekamilishwa ndani yetu, ili tukuwe na uhuru wa kusema*+ katika siku ya hukumu, kwa sababu kama vile ule iko,* ni vile sisi wenyewe tuko katika ulimwengu huu. 18 Hakuna woga katika upendo,+ lakini upendo mukamilifu unatupa* woga inje, kwa sababu woga unatuzuia. Kwa kweli, mutu mwenye kuwa na woga hajakamilishwa katika upendo.+ 19 Sisi tunapenda, kwa sababu alitupenda kwanza.+

20 Kama mutu yeyote anasema: “Ninamupenda Mungu,” lakini anachukia ndugu yake, yeye ni muongo.+ Kwa maana mutu mwenye hamupendi ndugu yake+ mwenye amemuona, hawezi kumupenda Mungu mwenye hajaonaka.+ 21 Na tuko na amri hii kutoka kwake, kwamba mutu yeyote mwenye anamupenda Mungu anapaswa pia kumupenda ndugu yake.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine