Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Yohana 5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Yohana

      • Kumuamini Yesu kunaleta ushindi juu ya ulimwengu (1-12)

        • Maana ya kumupenda Mungu (3)

      • Uhakika katika nguvu za sala (13-17)

      • Kufanya angalisho katika ulimwengu muovu (18-21)

        • Ulimwengu muzima unakaa katika nguvu za ule muovu (19)

1 Yohana 5:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 3:3; 1 Pe. 1:3, 23; 1 Yo. 3:9

1 Yohana 5:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 1:12, 13; Rom. 8:14

1 Yohana 5:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 14:23
  • +Kum 30:11; Mik 6:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Biblia Inafundisha, uku. 186-187

    Mkaribie Yehova, uku. 311

    “Upendo wa Mungu,”

    uku. 5-13

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2009, uku. 25-26

    15/8/2009, uku. 19

    15/8/2005, uku. 27

    15/6/2002, uku. 22

1 Yohana 5:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kila kitu chenye kimezaliwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 16:33; 1 Yo. 5:18
  • +Efe 6:16; 2 Tim. 4:7; Ufu 12:10, 11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 8

1 Yohana 5:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Yo. 4:4
  • +Yoh 20:31

1 Yohana 5:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 3:13
  • +Mdo 20:28; Efe 1:7; 1 Pe. 1:19
  • +Mt 3:16; Yoh 1:32, 33

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2008, uku. 27-28

1 Yohana 5:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Watu Wote),

    Na. 4 2016 uku. 6-7

    Amuka!,

    Na. 6 2016 uku. 11

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2014, uku. 15

    15/12/2008, uku. 27-28

    “Kila Andiko,” uku. 256

1 Yohana 5:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 3:22; 4:18
  • +Lu 3:21
  • +Ebr 9:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2008, uku. 27-28

    “Kila Andiko,” uku. 256

1 Yohana 5:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 3:33

1 Yohana 5:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 17:3
  • +Yoh 5:26

1 Yohana 5:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 3:36

1 Yohana 5:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Yo. 1:2
  • +Yoh 20:31

1 Yohana 5:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “uhuru wa kusema.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 4:16; 1 Yo. 3:21
  • +Mez. 15:29

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/1/2009, uku. 30

    15/8/2004, uku. 18

1 Yohana 5:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 11:13; Yoh 14:13

1 Yohana 5:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yak 5:15; 1 Yo. 1:9
  • +Mt 12:31; Mk 3:29; Lu 12:10; Ebr 6:4-6; 10:26

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2001),

    1/12/2001, uku. 30-31

1 Yohana 5:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Yo. 3:4

1 Yohana 5:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, Yesu Kristo, Mwana wa Mungu.

  • *

    Ao “hamushike kwa nguvu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 17:15

1 Yohana 5:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 13:19; Lu 4:6; Yoh 12:31

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/5/2014, uku. 16

    1/5/2013, uku. 4

    1/7/2010, uku. 22

    1/11/2002, uku. 15

1 Yohana 5:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “uwezo wa kufikiri; uwezo wa akili.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tim. 3:16
  • +Yoh 17:20, 21
  • +Yoh 17:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2012, uku. 6

    15/10/2004, uku. 30-31

1 Yohana 5:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 10:14

Maandiko ingine

1 Yoh. 5:1Yoh 3:3; 1 Pe. 1:3, 23; 1 Yo. 3:9
1 Yoh. 5:2Yoh 1:12, 13; Rom. 8:14
1 Yoh. 5:3Yoh 14:23
1 Yoh. 5:3Kum 30:11; Mik 6:8
1 Yoh. 5:4Yoh 16:33; 1 Yo. 5:18
1 Yoh. 5:4Efe 6:16; 2 Tim. 4:7; Ufu 12:10, 11
1 Yoh. 5:51 Yo. 4:4
1 Yoh. 5:5Yoh 20:31
1 Yoh. 5:6Mt 3:13
1 Yoh. 5:6Mdo 20:28; Efe 1:7; 1 Pe. 1:19
1 Yoh. 5:6Mt 3:16; Yoh 1:32, 33
1 Yoh. 5:8Lu 3:22; 4:18
1 Yoh. 5:8Lu 3:21
1 Yoh. 5:8Ebr 9:14
1 Yoh. 5:10Yoh 3:33
1 Yoh. 5:11Yoh 17:3
1 Yoh. 5:11Yoh 5:26
1 Yoh. 5:12Yoh 3:36
1 Yoh. 5:131 Yo. 1:2
1 Yoh. 5:13Yoh 20:31
1 Yoh. 5:14Ebr 4:16; 1 Yo. 3:21
1 Yoh. 5:14Mez. 15:29
1 Yoh. 5:15Lu 11:13; Yoh 14:13
1 Yoh. 5:16Yak 5:15; 1 Yo. 1:9
1 Yoh. 5:16Mt 12:31; Mk 3:29; Lu 12:10; Ebr 6:4-6; 10:26
1 Yoh. 5:171 Yo. 3:4
1 Yoh. 5:18Yoh 17:15
1 Yoh. 5:19Mt 13:19; Lu 4:6; Yoh 12:31
1 Yoh. 5:201 Tim. 3:16
1 Yoh. 5:20Yoh 17:20, 21
1 Yoh. 5:20Yoh 17:3
1 Yoh. 5:211 Kor. 10:14
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Yohana 5:1-21

Ya Kwanza ya Yohana

5 Kila mutu mwenye anaamini kwamba Yesu ni Kristo amezaliwa kutokana na Mungu,+ na kila mutu mwenye anamupenda ule mwenye alitokeza kuzaliwa anapenda ule mwenye amezaliwa kutokana na huyo. 2 Kupitia jambo hili sisi tunajua kama tunapenda watoto wa Mungu,+ wakati tunamupenda Mungu na kushika amri zake. 3 Kwa maana kumupenda Mungu kunamaanisha hivi, kwamba tushike amri zake;+ na bado amri zake haziko muzigo muzito,+ 4 kwa sababu kila mutu mwenye amezaliwa* kutokana na Mungu anashinda ulimwengu.+ Na huu ndio ushindi wenye umeshinda ulimwengu, imani yetu.+

5 Ni nani mwenye anaweza kushinda ulimwengu?+ Je, haiko ule mwenye anaamini kama Yesu ni Mwana wa Mungu?+ 6 Huyu ndiye mwenye alikuja kupitia maji na damu, Yesu Kristo, haiko kwa maji tu,+ lakini kwa maji na kwa damu.+ Na roho inatoa ushahidi,+ kwa sababu roho ndiyo kweli. 7 Kwa maana kuko vitu tatu (3) vyenye vinatoa ushahidi: 8 roho+ na maji+ na damu;+ na hivyo vitatu (3) vinakubaliana.

9 Kama tunakubali ushahidi wa wanadamu, ushahidi wa Mungu ni mukubwa zaidi. Kwa sababu huu ndio ushahidi wenye Mungu anatoa, ushahidi wenye ametoa juu ya Mwana wake. 10 Mutu mwenye anamuamini Mwana wa Mungu, iko* na ushahidi ndani yake mwenyewe. Mutu mwenye hamuamini Mungu amemufanya yeye kuwa muongo,+ kwa sababu haamini ushahidi wenye Mungu alitoa juu ya Mwana wake. 11 Na huu ndio ushahidi, kwamba Mungu alitupatia uzima wa milele,+ na uzima huu uko ndani ya Mwana wake.+ 12 Mutu mwenye kuwa na Mwana iko* na uzima huu; mutu mwenye hana Mwana wa Mungu hana uzima huu.+

13 Ninawaandikia mambo haya ili mujue kama muko na uzima wa milele,+ ninyi wenye kuwa na imani katika jina la Mwana wa Mungu.+ 14 Na huu ndio uhakika* wenye tuko nao kwake,+ kwamba hata kama tunaomba nini kulingana na mapenzi yake, yeye anatusikia.+ 15 Na kama tunajua kwamba anatusikia kuhusiana na kitu chochote chenye tunaomba, tunajua kwamba tutapata mambo yenye tuliomba, kwa kuwa tumeyaomba kwake.+

16 Kama mutu yeyote anamuona ndugu yake akifanya zambi yenye hailete kifo, yeye ataomba, na Mungu atapatia huyo uzima,+ ndiyo, kwa wale wenye hawafanye zambi yenye inaleta kifo. Kuko zambi yenye inaleta kifo.+ Simuambie aombe juu ya zambi hiyo. 17 Kila ukosefu wa haki ni zambi,+ na bado kuko zambi yenye hailete kifo.

18 Tunajua kama kila mutu mwenye alizaliwa kutokana na Mungu hazoee kufanya zambi, lakini ule mwenye alizaliwa kutokana na Mungu* anamulinda, na ule muovu hawezi kumushika.*+ 19 Tunajua kama tunatokana na Mungu, lakini ulimwengu muzima unakaa katika nguvu za ule muovu.+ 20 Hata hivyo, tunajua kama Mwana wa Mungu amekuja,+ na ametupatia ufahamu* ili tuweze kujua ule mwenye kuwa wa kweli. Na tuko katika umoja na ule mwenye ni wa kweli,+ kupitia Mwana wake, Yesu Kristo. Ule ndiye Mungu wa kweli na uzima wa milele.+ 21 Watoto wadogo, mujiepushe na sanamu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine