Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 118
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Kushukuru kwa sababu ya ushindi wa Yehova

        • ‘Nilimuitia Yah, naye akanijibu’ (5)

        • “Yehova iko upande wangu” (6, 7)

        • Jiwe lenye lilikataliwa litakuwa jiwe kubwa la pembe (22)

        • ‘Ule mwenye kuja katika jina la Yehova’ (26)

Zaburi 118:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 19:17

Zaburi 118:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Haleluya!” “Yah” ni kifupi cha jina Yehova.

  • *

    Ao “mahali penye nafasi kubwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 18:19

Zaburi 118:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 27:1
  • +Isa 51:12; Rom. 8:31; Ebr 13:6

Zaburi 118:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

  • *

    Ao pengine, “pamoja na wale wenye kunisaidia.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 26:52, 53
  • +Zab 54:7

Zaburi 118:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 40:4; 146:3, 4; Yer 17:5

Zaburi 118:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 29:6, 7

Zaburi 118:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 20:15, 17

Zaburi 118:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 14:11

Zaburi 118:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “Ulinisukuma kwa nguvu.”

Zaburi 118:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 15:2; Zab 18:2; Isa 12:2

Zaburi 118:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ushindi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 89:13; Isa 63:12

Zaburi 118:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 15:6; Isa 40:26

Zaburi 118:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 6:5; 71:17

Zaburi 118:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 66:10; 94:12
  • +Zab 16:10

Zaburi 118:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 26:2; Ufu 22:14

Zaburi 118:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 24:3, 4

Zaburi 118:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 116:1

Zaburi 118:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kichwa cha pembe.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 28:16; Lu 20:17; Mdo 4:11; 1 Kor. 3:11; Efe 2:19, 20; 1 Pe. 2:4-7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    12/2017, uku. 9-10

    Yesu—Ni Njia,

    uku. 246-247

    Munara wa Mulinzi,

    15/8/2011, uku. 12-13

    15/7/2000, uku. 14

    “Kila Andiko,” uku. 253

Zaburi 118:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 5:31
  • +Mk 12:10, 11

Zaburi 118:25

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    12/2017, uku. 9

Zaburi 118:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 21:7-9; 23:39; Mk 11:7-10; Lu 19:37, 38

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    12/2017, uku. 9

    Yesu—Ni Njia, uku. 254

Zaburi 118:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 18:28; 1 Pe. 2:9
  • +Law. 23:34; Zab 42:4
  • +Kut 27:2

Zaburi 118:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 15:2; Isa 25:1

Zaburi 118:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 50:23
  • +Ezr 3:11; Zab 118:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2002, uku. 13

Maandiko ingine

Zb. 118:1Mt 19:17
Zb. 118:5Zab 18:19
Zb. 118:6Zab 27:1
Zb. 118:6Isa 51:12; Rom. 8:31; Ebr 13:6
Zb. 118:7Mt 26:52, 53
Zb. 118:7Zab 54:7
Zb. 118:8Zab 40:4; 146:3, 4; Yer 17:5
Zb. 118:9Eze 29:6, 7
Zb. 118:102Nya 20:15, 17
Zb. 118:122Nya 14:11
Zb. 118:14Kut 15:2; Zab 18:2; Isa 12:2
Zb. 118:15Zab 89:13; Isa 63:12
Zb. 118:16Kut 15:6; Isa 40:26
Zb. 118:17Zab 6:5; 71:17
Zb. 118:18Zab 66:10; 94:12
Zb. 118:18Zab 16:10
Zb. 118:19Isa 26:2; Ufu 22:14
Zb. 118:20Zab 24:3, 4
Zb. 118:21Zab 116:1
Zb. 118:22Isa 28:16; Lu 20:17; Mdo 4:11; 1 Kor. 3:11; Efe 2:19, 20; 1 Pe. 2:4-7
Zb. 118:23Mdo 5:31
Zb. 118:23Mk 12:10, 11
Zb. 118:26Mt 21:7-9; 23:39; Mk 11:7-10; Lu 19:37, 38
Zb. 118:27Zab 18:28; 1 Pe. 2:9
Zb. 118:27Law. 23:34; Zab 42:4
Zb. 118:27Kut 27:2
Zb. 118:28Kut 15:2; Isa 25:1
Zb. 118:29Zab 50:23
Zb. 118:29Ezr 3:11; Zab 118:1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 118:1-29

Zaburi

118 Mumushukuru Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+

Upendo wake mushikamanifu unadumu milele.

 2 Israeli aseme sasa:

“Upendo wake mushikamanifu unadumu milele.”

 3 Watu wa nyumba ya Haruni waseme sasa:

“Upendo wake mushikamanifu unadumu milele.”

 4 Wale wenye kumuogopa Yehova waseme sasa:

“Upendo wake mushikamanifu unadumu milele.”

 5 Nilimuitia Yah* katika taabu yangu;

Yah akanijibu na kunipeleka mahali salama.*+

 6 Yehova iko* upande wangu; sitaogopa.+

Mwanadamu anaweza kunifanya nini?+

 7 Yehova iko* upande wangu akiwa musaidizi wangu;*+

Nitaangalia kwa furaha kushindwa kwa wale wenye kunichukia.+

 8 Ni muzuri kumukimbilia Yehova

Kuliko kutegemea wanadamu.+

 9 Ni muzuri kumukimbilia Yehova

Kuliko kutegemea wakubwa.+

10 Mataifa yote yalinizunguka,

Lakini katika jina la Yehova,

Niliyafukuza.+

11 Yalinizunguka, ndiyo, yalinizunguka kabisa,

Lakini katika jina la Yehova,

Niliyafukuza.

12 Yalinizunguka kama nyuki,

Lakini yalizimwa haraka kama moto kati ya miiba.

Katika jina la Yehova,

Niliyafukuza.+

13 Nilisukumwa kwa nguvu* ili nianguke,

Lakini Yehova alinisaidia.

14 Yah ni mahali pangu pa kujificha na nguvu zangu,

Na amekuwa wokovu wangu.+

15 Sauti ya shangwe na wokovu*

Iko katika mahema ya wenye haki.

Mukono wa kuume wa Yehova unaonyesha nguvu zake.+

16 Mukono wa kuume wa Yehova unajiinua;

Mukono wa kuume wa Yehova unaonyesha nguvu zake.+

17 Sitakufa, hapana, nitaishi,

Ili nitangaze kazi za Yah.+

18 Yah alinitia nizamu kwa ukali,+

Lakini hakunitia katika mukono wa kifo.+

19 Munifungulie milango mikubwa ya haki;+

Nitaingia ndani na kumusifu Yah.

20 Huu ni mulango mukubwa wa Yehova.

Wenye haki wataingia kupitia mulango huo.+

21 Nitakusifu, kwa maana ulinijibu+

Na ukakuwa wokovu wangu.

22 Jiwe lenye wajenzi walikataa

Limekuwa jiwe kubwa la pembe.*+

23 Hili limetoka kwa Yehova;+

Ni la ajabu mbele ya macho yetu.+

24 Hii ndiyo siku yenye Yehova amefanya;

Tutaifurahia na kuishangilia.

25 Yehova, utuokoe, tafazali, tunakulilia!

Yehova, utupatie ushindi, tafazali!

26 Amebarikiwa ule mwenye anakuja katika jina la Yehova;+

Tunakubariki kutoka katika nyumba ya Yehova.

27 Yehova ni Mungu;

Anatupatia mwangaza.+

Mujiunge na maandamano ya sikukuu mukiwa na matawi katika mikono,+

Mupaka kwenye pembe za mazabahu.+

28 Wewe ni Mungu wangu, na nitakusifu;

Mungu wangu, nitakutukuza.+

29 Mumushukuru Yehova,+ kwa maana yeye ni mwema;

Upendo wake mushikamanifu unadumu milele.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine