Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 141
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Sala ya kuomba ulinzi

        • ‘Sala yangu ikuwe kama uvumba’ (2)

        • Karipio la mwenye haki ni kama mafuta (5)

        • Waovu wanaanguka ndani ya nyavu zao wenyewe (10)

Zaburi 141:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 31:17
  • +Zab 40:13; 70:5
  • +Zab 39:12

Zaburi 141:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 30:34-36
  • +Lu 1:9, 10; Ufu 5:8; 8:3, 4
  • +Kut 29:41

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2014, uku. 16

Zaburi 141:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 13:3; 21:23; Yak 1:26

Zaburi 141:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 8:58; Zab 119:36

Zaburi 141:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 12:7, 9; Mez. 17:10; Gal 6:1
  • +Mez. 6:23; Yak 5:14
  • +Mez. 9:8; 19:25; 25:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2015, uku. 31

Zaburi 141:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Sheoli,” ni kusema, kaburi la wanadamu wote. Angalia Maana ya Maneno.

Zaburi 141:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Usimwange nafsi yangu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 20:12; Zab 25:15

Zaburi 141:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Mataya ni mifupa ya kinywa yenye kubeba meno.

Zaburi 141:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “makila yao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Est 7:10; Zab 7:14, 15; 9:15; 57:6

Maandiko ingine

Zb. 141:1Zab 31:17
Zb. 141:1Zab 40:13; 70:5
Zb. 141:1Zab 39:12
Zb. 141:2Kut 30:34-36
Zb. 141:2Lu 1:9, 10; Ufu 5:8; 8:3, 4
Zb. 141:2Kut 29:41
Zb. 141:3Mez. 13:3; 21:23; Yak 1:26
Zb. 141:41 Fal. 8:58; Zab 119:36
Zb. 141:52 Sa. 12:7, 9; Mez. 17:10; Gal 6:1
Zb. 141:5Mez. 6:23; Yak 5:14
Zb. 141:5Mez. 9:8; 19:25; 25:12
Zb. 141:82Nya 20:12; Zab 25:15
Zb. 141:10Est 7:10; Zab 7:14, 15; 9:15; 57:6
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 141:1-10

Zaburi

Muziki wa Daudi.

141 Ee Yehova, ninakuitia.+

Kuja haraka unisaidie.+

Sikiliza wakati ninakuita.+

 2 Sala yangu ikuwe kama uvumba+ wenye kutayarishwa mbele yako,+

Mikono yangu yenye kuinuliwa ikuwe kama toleo la nafaka la mangaribi.+

 3 Weka mulinzi kwa ajili ya kinywa changu, Ee Yehova,

Weka ulinzi kwenye mulango wa midomo yangu.+

 4 Usiache moyo wangu uelekee kwenye jambo lolote la mubaya,+

Ili nisishiriki katika matendo maovu pamoja na watu waovu;

Nisikule hata kidogo vyakula vyao vitamu.

 5 Kama mwenye haki ananipiga, hilo litakuwa tendo la upendo mushikamanifu;+

Kama ananikaripia, hilo litakuwa kama mafuta kwenye kichwa changu,+

Yenye kichwa changu hakitakataa hata kidogo.+

Sala yangu itaendelea hata wakati wa misiba yao.

 6 Hata kama waamuzi wao wanatupwa chini kutoka kwenye muteremuko mukali,

Watu watasikiliza maneno yangu, kwa maana ni yenye kupendeza.

 7 Kama vile wakati mutu analima na kuvunja-vunja udongo,

Ni vile mifupa yetu imesambazwa kwenye kinywa cha Kaburi.*

 8 Lakini macho yangu yanakuangalia, Ee Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova.+

Nimekukimbilia.

Usiondoe uzima wangu.*

 9 Unilinde kutokana na mataya* ya mutego wenye wamenitegea,

Kutokana na mitego ya watenda-maovu.

10 Waovu wataanguka wote pamoja ndani ya nyavu zao* wenyewe+

Lakini mimi nitapita karibu nayo kwa usalama.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine