Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matendo 11
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Matendo

      • Petro anatoa ripoti kwa mitume (1-18)

      • Barnaba na Sauli katika Antiokia ya Siria (19-26)

        • Wanafunzi wanaitwa Wakristo kwa mara ya kwanza (26)

      • Agabo anatabiri juu ya njaa (27-30)

Matendo 11:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 10:45; Gal 2:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2003, uku. 21-22

Matendo 11:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “aina fulani ya chombo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 10:10-16

Matendo 11:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 10:17-20

Matendo 11:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 71

Matendo 11:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 10:30-33

Matendo 11:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 2:1, 4; 10:44, 45

Matendo 11:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 3:11; Mk 1:8; Lu 3:16; Mdo 1:5
  • +Yoe 2:28; Yoh 1:33; Mdo 2:17

Matendo 11:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 10:47

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 73

Matendo 11:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wakabakia kimya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 11:10; Mdo 17:30; Rom. 10:12; 15:8, 9

Matendo 11:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 8:1
  • +Mt 10:5, 6

Matendo 11:20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 74

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2000, uku. 24-25

Matendo 11:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 2:47; 9:35

Matendo 11:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 4:36, 37

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2000, uku. 25

Matendo 11:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 13:43; 14:21, 22

Matendo 11:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 2:47; 4:4; 5:14; 9:31

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2000, uku. 25

Matendo 11:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 21:39

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2000, uku. 25

Matendo 11:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 9:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 74-76

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2000, uku. 25-26

Matendo 11:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 12:28; Efe 4:11

Matendo 11:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 21:10, 11
  • +Mt 24:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    4/2011, uku. 11

    Kutoa Ushahidi, uku. 74-76

Matendo 11:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “utumishi wa kupeleka misaada.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 8:12
  • +Gal 2:10

Matendo 11:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 12:25

Maandiko ingine

Mdo. 11:2Mdo 10:45; Gal 2:12
Mdo. 11:5Mdo 10:10-16
Mdo. 11:11Mdo 10:17-20
Mdo. 11:13Mdo 10:30-33
Mdo. 11:15Mdo 2:1, 4; 10:44, 45
Mdo. 11:16Mt 3:11; Mk 1:8; Lu 3:16; Mdo 1:5
Mdo. 11:16Yoe 2:28; Yoh 1:33; Mdo 2:17
Mdo. 11:17Mdo 10:47
Mdo. 11:18Isa 11:10; Mdo 17:30; Rom. 10:12; 15:8, 9
Mdo. 11:19Mdo 8:1
Mdo. 11:19Mt 10:5, 6
Mdo. 11:21Mdo 2:47; 9:35
Mdo. 11:22Mdo 4:36, 37
Mdo. 11:23Mdo 13:43; 14:21, 22
Mdo. 11:24Mdo 2:47; 4:4; 5:14; 9:31
Mdo. 11:25Mdo 21:39
Mdo. 11:26Mdo 9:2
Mdo. 11:271 Kor. 12:28; Efe 4:11
Mdo. 11:28Mdo 21:10, 11
Mdo. 11:28Mt 24:7
Mdo. 11:292 Kor. 8:12
Mdo. 11:29Gal 2:10
Mdo. 11:30Mdo 12:25
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Matendo 11:1-30

Matendo ya Mitume

11 Sasa mitume na ndugu wenye walikuwa Yudea wakasikia kama watu wa mataifa pia walikuwa wamekubali neno la Mungu. 2 Basi wakati Petro alipanda mupaka Yerusalemu, wale wenye waliunga mukono kutahiriwa+ wakaanza kubishana naye, 3 kwa kusema: “Uliingia katika nyumba ya watu wenye hawatahiriwe na ukakula pamoja nao.” 4 Halafu Petro akawaelezea mambo kwa urefu, na kusema:

5 “Nilikuwa katika muji wa Yopa nikisali, na nikaona katika maono kitu fulani* kinashuka kama kitambaa kikubwa cha kitani, kilikuwa kinateremushwa kutoka mbinguni kwenye pembe zake ine (4), na kikakuja moja kwa moja mupaka mahali nilikuwa.+ 6 Wakati niliangalia ndani yake kwa uangalifu, nikaona wanyama wa dunia wenye miguu ine (4), wanyama wa pori, viumbe vyenye kutambaa, na ndege wa mbinguni. 7 Nikasikia pia sauti ikiniambia, ‘Petro, simama, chinja na ukule!’ 8 Lakini nikasema, ‘Hapana Bwana, kwa sababu kitu chochote kichafu ao chenye hakiko safi hakijaingia katika kinywa changu hata siku moja.’ 9 Mara ya pili, ile sauti kutoka mbinguni ikajibu: ‘Wewe acha kuita vitu vyenye Mungu ametakasa kuwa ni vichafu.’ 10 Hilo likatokea mara ya tatu (3), na vyote vikakokotwa tena juu kuelekea mbinguni. 11 Wakati uleule pia, wanaume watatu (3) walikuwa wamesimama karibu na nyumba yenye tulikuwa tunakaa ndani; walikuwa wametumwa kwangu kutoka Kaisaria.+ 12 Kisha roho ikaniambia niende pamoja nao, bila kuwa na mashaka hata kidogo. Lakini hawa ndugu sita (6) pia walienda pamoja na mimi, na tukaingia katika nyumba ya mwanaume huyo.

13 “Alituelezea namna alimuona malaika amesimama katika nyumba yake na kusema, ‘Tuma watu waende Yopa waite Simoni mwenye kuitwa Petro,+ 14 na atakuambia namna wewe na watu wote wa nyumba yako munaweza kuokolewa.’ 15 Lakini wakati nilianza kusema, roho takatifu ikawaangukia kama vile ilituangukia pale mwanzo.+ 16 Halafu nikakumbuka maneno ya Bwana, namna alikuwa anasema: ‘Yohana alibatiza kwa maji,+ lakini ninyi mutabatizwa kwa roho takatifu.’+ 17 Kwa hiyo, kama Mungu alipatia hao zawadi ileile ya bure kama vile alitupatia sisi wenye tumemuamini Bwana Yesu Kristo, mimi ni nani ili niweze hata kumuzuia Mungu?”+

18 Wakati walisikia mambo hayo, wakaacha kupinga,* na wakamutukuza Mungu, na kusema: “Kwa hiyo basi, Mungu amepatia watu wa mataifa pia musamaha wenye unaongoza kwenye uzima.”+

19 Sasa wale wenye walikuwa wametawanywa+ kwa sababu ya taabu yenye ilitokea juu ya mambo yenye yalimupata Stefano wakaenda mupaka Foinike, Kipro, na Antiokia, lakini walisema lile neno kwa Wayahudi tu.+ 20 Hata hivyo, wamoja kati ya wanaume hao wenye walikuwa wametoka Kipro na Kirene walikuja Antiokia na wakaanza kuzungumuza na watu wenye kusema Kigiriki, wakitangaza habari njema ya Bwana Yesu. 21 Zaidi ya hayo, mukono wa Yehova* ulikuwa pamoja nao, na wengi wakakuwa waamini na wakageuka na kuwa upande wa Bwana.+

22 Habari juu yao ikafika katika masikio ya kutaniko kule Yerusalemu, na wakamutuma Barnaba+ mupaka Antiokia. 23 Wakati alifika na kuona fazili zenye hazistahiliwe za Mungu, akafurahi na akaanza kuwatia wote moyo waendelee kuwa waaminifu kwa Bwana kwa moyo wote;+ 24 kwa maana Barnaba alikuwa mutu muzuri mwenye kujaa roho takatifu na imani. Na watu wengi sana wakaongezwa kwa Bwana.+ 25 Basi akaenda Tarso ili kumutafuta Sauli.+ 26 Kisha kumupata, akamuleta Antiokia. Basi kwa mwaka muzima wakakusanyika pamoja nao katika kutaniko na kufundisha watu wengi, na ni kule Antiokia ndiko kwa mara ya kwanza wanafunzi waliitwa Wakristo kupitia muongozo wa Mungu.+

27 Katika siku hizo manabii+ walishuka kutoka Yerusalemu na kuja Antiokia. 28 Mumoja wao mwenye kuitwa Agabo+ akasimama na kutabiri kupitia roho kwamba njaa kali ilikuwa karibu kuja juu ya dunia yote yenye kuikaliwa na watu,+ yenye kwa kweli, ilitokea wakati wa Klaudio. 29 Basi wanafunzi wakaamua, kila mumoja kulingana na uwezo wake,+ kutuma misaada*+ kwa ndugu wenye kuishi Yudea; 30 na walifanya vile, wakatuma misaada kwa wazee kupitia mukono wa Barnaba na Sauli.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine