Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 126
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Sayuni itarudishwa kwa shangwe

        • ‘Yehova ametenda mambo makubwa’ (3)

        • Kisha kulia, kutakuwa shangwe (5, 6)

Zaburi 126:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ezr 1:2, 3; Zab 85:1

Zaburi 126:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ezr 3:11; Zab 106:47; Isa 49:13; Yer 31:12
  • +Yosh. 2:9, 10; Ne 6:15, 16

Zaburi 126:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ezr 7:27, 28; Isa 11:11

Zaburi 126:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mabonde ya kusini.”

Zaburi 126:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    22/9/2002, uku. 22

    Munara wa Mulinzi (2001),

    15/7/2001, uku. 18-19

Zaburi 126:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 30:5; Isa 61:1-3
  • +Isa 9:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2001),

    15/7/2001, uku. 18-19

Maandiko ingine

Zb. 126:1Ezr 1:2, 3; Zab 85:1
Zb. 126:2Ezr 3:11; Zab 106:47; Isa 49:13; Yer 31:12
Zb. 126:2Yosh. 2:9, 10; Ne 6:15, 16
Zb. 126:3Ezr 7:27, 28; Isa 11:11
Zb. 126:6Zab 30:5; Isa 61:1-3
Zb. 126:6Isa 9:3
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 126:1-6

Zaburi

Wimbo wa Safari za Kupanda.

126 Wakati Yehova alikusanya na kurudisha watu wenye walikamatwa mateka wa Sayuni,+

Tuliwaza tulikuwa tunaota ndoto.

 2 Wakati huo kinywa chetu kilijaa kicheko

Na ulimi wetu vigelegele vya shangwe.+

Wakati huo walisema kati ya mataifa:

“Yehova amewatendea mambo makubwa.”+

 3 Yehova ametutendea mambo makubwa,+

Na tuko na furaha kubwa sana.

 4 Kusanya na urudishe watu wetu wenye walikamatwa mateka, Ee Yehova,

Kama mito midogo ya Negebu.*

 5 Wale wenye kupanda mbegu kwa machozi

Watavuna kwa vigelegele vya shangwe.

 6 Ule mwenye anaenda inje, hata kama iko* analia,

Akiwa amebeba mufuko wake wa mbegu,

Hakika atarudia kwa vigelegele vya shangwe,+

Akiwa amebeba mafungu yake ya mbegu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine